Wakuu kwema?
Nilikua na muhusiano na mwanamke mmoja hivi.. ikatokea siku tuligombana akanitamkia maneno kadhaa ambayo yalichoma moyo wangu sana.
"sina hisia na wewe"
".sijawahi kukupenda"
"Nina...
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako...
Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.
Sasa...
Zingatia hicho kichwa hapo juu
Wanaume wengi muna tembea na laana za wanawake ndio maana wengi wenu hamfanikiwi kiuchumi wala kiroho na hata mkifanikiwa hamli matunda ya mafanikio yenu muna kufa...
Hivi wenzangu mnawezaje kuishi na mtu mnafki? Yaan anajifanya yupo na upendo nawe afu kumbe anaumia ndani Kwa ndani.Mi huwa nikigundua huyu mtu siyo...anajitesa tu na kuforce maigizo ya kunipenda...
Habari zenu wana JF.
Nitajaribu kuifupisha kadri niwezavyo ili nisiwachoshe, sitaingia kweny details sana.
Kuna kipindi wakati bado nipo chuo nilibahatika kuingia katika mahusiano na mrembo...
Yes mpenzi H nmeshindwa sasa , its cool to admit
this break up i swear it will not be easy ,it'll do me dirty but my heart no longer beat for her.
Yes ni vile uliniona ni great guy with sense...
Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?
Hii sio kweli.
Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani...
Matokea mengi ya vinasaba au DNA yanaonyesha katika ndoa nyingi kuna mtoto ambaye baba yake si wa ndoa hiyo pasipo kujua.
Je tatizo ni uaminifu katika ndoa au kuna tatizo lingine likiwepo na...
1. Don’t ever beat your wife for any reason. Prov.19:11, Prov. 20:3
2. Don’t ever forget that your wife is your greatest asset. Prov. 12:4, Prov. 18:22
3. Don’t ever forget to check the level...
Uki refer heading ni namaana ya kuuliza ya kuwa huu msemo unaosambaa ya baba mwenye nyumba kulala na binti yake au mama kulala na kijana.
Hivi haya mambo kweli yapo au inakuaje. Sasa huo tuseme...
Habari Wana JF.Ni kijana wenu nimekuja Tena kuleta experience yangu ya kuishi na mama mpaka umri wangu huu wa utu uzima.Bila kuwapotezea muda niliyoyagundua ni haya kutoka Kwa Mama na Baba japo...
TANZIA :
YONA FARES MARO AMETANGULIA, AMEACHA UJUMBE HUU
"Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa kwa miaka 4, kila wiki nikipambana na mke mlevi na mzinzi.
"Tukio la jana usiku na leo asubuhi...
jamani naombe mtupe moyo na maneno ya faraja ili kuvumilia changamoto kwa sisi ambao tunadate na wanaume ambao hawajatusua bado.
wa kwangu nimemaliza nae chuo,wote tunasaka ajira na pia...
Nimekuwa nikipendwa sana na wake/madem wa watu, na kwakuwa najiheshimu mno ni wachache sana ambao wamebahatika kugegegwa nami.
Hawajawahi kujuta kuwa nami, wakiamini nawagegeda barabara kuliko...
Nimemsoma dada mmoja kwa masikitiko sana jinsi ambavyo ameahidi kwenda kugawa sehemu yake ambayo inapaswa iwe ya siri huyu dada aliolewa akawa anafanya tendo la ndoa na mumewe sababu ndo analala...
Ndugu hawa damu, Kyle na Brianna wana-trend mitandaoni kwa kuchumbiana.
Wanapanga kuoana na kupata watoto pamoja huku Mama yao anaunga mkono uamuzi wao.
Hata hivyo, hawakujua kama wana undugu wa...
Habari wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza billnass amepatia sana kumuoa nandy. Kwa sababu zifuatazo
1. Same Purpose kwenye maisha kati yao billnass na nandy. Wote wana passion na muziki...
Miaka kadhaa huko nyuma nikiwa chuo mkoa flan jiran yetu kulikuwa na Chuo cha Tpsc(wanaita Uhazil enzi hizo)
Walikuwa kila term wanaletwa wapya(wakawa wanaita kontena imemwaga) Basi wakija wapya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.