Kama kuna kitu huwa sipendi nikiwa na mwanamke ni pale anaanza kunipa umbea. Hii inatokea sana baada ya game nono (CHAPUTA hamtojua hili)
Sasa bwana, usiku wa juzi kwenye kutuliza kichwa huyo...
katika harakati zangu za kisiasa, kura za maoni kivyama huko Jimboni, mara hiyo tupo mjini na, ni wakati wa kulala huko guest house.
Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini...
Habari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha...
Nanukuu maneno yake: “Mimi ni mdada wa Miaka 24 na ninaishi na boyfriend wangu wa Miaka 28. Tuna mihemko mikubwa sana ya kingono na tunakutana kimwili mara kwa mara.
Wote tunafanya kazi eneo Moja...
Kumekuwa na kesi nyingi za akinamama na wanawake kwa ujumla za kuumwa mara kwa mara UTI na magonjwa mengine ya zinaa na kibaya zaidi magonjwa hayo kujirudia hata baada ya kupata matibabu.
Nipo...
Mama wanastahili sifa nyingi kwa jukumu kubwa wanalocheza katika familia kwa ujumla. Wana nguvu, uvumilivu, na upendo usio na kifani.
Ni muhimu sana kutambua na kuthamini kazi kubwa wanayofanya...
Niaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu...
Wagonjwa wapo hospitali, kwa huruma yake mungu atawaponya[emoji120].
Day one naingia shule A mwaka B mkoa X vijijini uko, kama kawaida kuku mgeni hakosi kamba mguuni maaana nilichelewa wiki tano...
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi.
Leo marafiki zake wakaribu...
Wana JF mko poa tupeane pole juu ya hizi mvua zinazoendelea Nchini.
Kwa muda sasa hii hali imekua ikinitatiza huku nikibaki bila kujua hatma ya hii hali itanitoka lini na sijui hata ni nini...
wakuu wasaalamu.
Kama kichwa cha Habari kinavyosema. Nimeona wanaume wengi sana wenye wake zaidi ya mmoja, Lakini kitu kinachonishangaza Hawa wanaume utakuta Mke mkubwa anaishi wilaya hii mwingine...
Kwa jamii zetu za kitanzania ni suala la kawaida Kwa wazazi wetu kukushauri masuala ya future especially ndoa. Kwa kukuambia makabila ya kuoa/ kuolewa nayo ...ukiachana na wale wa kishua ambao...
TOFAUTI KATI YA UHUSIANO NA MAHUSIANO
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
CHALINENEE
Kuna changamoto kubwa binadamu anaipata nanapojikuta katika uhusiano badala kuwa na mahusiano, kwa tafsiri...
Kutokana na vijana wengi kukosa nguvu za kiume, story nyingi zimezuka kwenye vijiwe vya kahawa kuhusu mbinu mbalimbali za kumzalisha mwanamke,
1. Style ya kifo cha mende, hii imepata alama nyingi...
Za masiku! Mimi naona sisi ma brother tunakosea pakubwa mno kuwashauri hawa madogo zetu waache punyeto... najua wanaume wengi hasa marijali tumepita huko, na baadhi tunashtua japo siyo kama...
Sijui kama wanasaikolojia wana neno la kitaalamu kwa hii hali, ila katika uzoefu wangu wa mahusiano mwanamke ukimpa sana attention atakusumbua na kama hamjaanza mahusiano basi hata tunda hupati...
Huu ni ujumbe wangu kwenu wana-MMU wenzangu.
Kuna baadhi ya level huwezi kufika kuna mafanikio huwezi kuyafikia,kuna hela huwezi kuzipata kama umezungukwa na watu basic.
Kuanzia asubuhi mpaka...
Habarini za leo, poleni na majukumu.
Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa...
MWANAMKE ZAKE SIFA.
Kipindi wamtokea, ulimsifia kwanza.
Ndipo kakukubalia, leo ndio wake mwenza.
Upendo unafifia, kusifu ukipunguza.
Mwanamke yake sifa, usiache kusifia.
Sio mali kutumia, eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.