Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Siku hizi hakuna kupoteza muda unatongoza saa 12 jion saa 2 usiku unapiga au hutongozi kabisa unashika tu kiufupi wamekuwa Maharage ya mbeya..
9 Reactions
18 Replies
651 Views
Kama kuna kitu huwa sipendi nikiwa na mwanamke ni pale anaanza kunipa umbea. Hii inatokea sana baada ya game nono (CHAPUTA hamtojua hili) Sasa bwana, usiku wa juzi kwenye kutuliza kichwa huyo...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
katika harakati zangu za kisiasa, kura za maoni kivyama huko Jimboni, mara hiyo tupo mjini na, ni wakati wa kulala huko guest house. Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini...
15 Reactions
88 Replies
3K Views
Habari wakuu, Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo. Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha...
18 Reactions
99 Replies
9K Views
Nanukuu maneno yake: “Mimi ni mdada wa Miaka 24 na ninaishi na boyfriend wangu wa Miaka 28. Tuna mihemko mikubwa sana ya kingono na tunakutana kimwili mara kwa mara. Wote tunafanya kazi eneo Moja...
7 Reactions
90 Replies
8K Views
Kumekuwa na kesi nyingi za akinamama na wanawake kwa ujumla za kuumwa mara kwa mara UTI na magonjwa mengine ya zinaa na kibaya zaidi magonjwa hayo kujirudia hata baada ya kupata matibabu. Nipo...
3 Reactions
15 Replies
842 Views
Mama wanastahili sifa nyingi kwa jukumu kubwa wanalocheza katika familia kwa ujumla. Wana nguvu, uvumilivu, na upendo usio na kifani. Ni muhimu sana kutambua na kuthamini kazi kubwa wanayofanya...
1 Reactions
2 Replies
301 Views
Niaje wana gwan? Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu...
10 Reactions
65 Replies
3K Views
Wagonjwa wapo hospitali, kwa huruma yake mungu atawaponya[emoji120]. Day one naingia shule A mwaka B mkoa X vijijini uko, kama kawaida kuku mgeni hakosi kamba mguuni maaana nilichelewa wiki tano...
11 Reactions
39 Replies
3K Views
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi. Leo marafiki zake wakaribu...
28 Reactions
201 Replies
4K Views
Wana JF mko poa tupeane pole juu ya hizi mvua zinazoendelea Nchini. Kwa muda sasa hii hali imekua ikinitatiza huku nikibaki bila kujua hatma ya hii hali itanitoka lini na sijui hata ni nini...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
wakuu wasaalamu. Kama kichwa cha Habari kinavyosema. Nimeona wanaume wengi sana wenye wake zaidi ya mmoja, Lakini kitu kinachonishangaza Hawa wanaume utakuta Mke mkubwa anaishi wilaya hii mwingine...
8 Reactions
109 Replies
3K Views
Kwa jamii zetu za kitanzania ni suala la kawaida Kwa wazazi wetu kukushauri masuala ya future especially ndoa. Kwa kukuambia makabila ya kuoa/ kuolewa nayo ...ukiachana na wale wa kishua ambao...
18 Reactions
478 Replies
31K Views
TOFAUTI KATI YA UHUSIANO NA MAHUSIANO Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA CHALINENEE Kuna changamoto kubwa binadamu anaipata nanapojikuta katika uhusiano badala kuwa na mahusiano, kwa tafsiri...
1 Reactions
4 Replies
748 Views
Kutokana na vijana wengi kukosa nguvu za kiume, story nyingi zimezuka kwenye vijiwe vya kahawa kuhusu mbinu mbalimbali za kumzalisha mwanamke, 1. Style ya kifo cha mende, hii imepata alama nyingi...
6 Reactions
47 Replies
7K Views
Za masiku! Mimi naona sisi ma brother tunakosea pakubwa mno kuwashauri hawa madogo zetu waache punyeto... najua wanaume wengi hasa marijali tumepita huko, na baadhi tunashtua japo siyo kama...
22 Reactions
205 Replies
13K Views
Sijui kama wanasaikolojia wana neno la kitaalamu kwa hii hali, ila katika uzoefu wangu wa mahusiano mwanamke ukimpa sana attention atakusumbua na kama hamjaanza mahusiano basi hata tunda hupati...
16 Reactions
63 Replies
6K Views
Huu ni ujumbe wangu kwenu wana-MMU wenzangu. Kuna baadhi ya level huwezi kufika kuna mafanikio huwezi kuyafikia,kuna hela huwezi kuzipata kama umezungukwa na watu basic. Kuanzia asubuhi mpaka...
15 Reactions
33 Replies
3K Views
Habarini za leo, poleni na majukumu. Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa...
0 Reactions
90 Replies
10K Views
MWANAMKE ZAKE SIFA. Kipindi wamtokea, ulimsifia kwanza. Ndipo kakukubalia, leo ndio wake mwenza. Upendo unafifia, kusifu ukipunguza. Mwanamke yake sifa, usiache kusifia. Sio mali kutumia, eti...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Back
Top Bottom