Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ananisilimulia best yangu mmoja siku nyingi zilizopita " nilitoka na madam kwenda nae kwao mume wake alikuwa hayupo, akatoa godoro chumbani kwao na kuja nalo sebuleni na tukamalizana" mwisho wa...
8 Reactions
10 Replies
960 Views
Zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake. 1. Mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao...
6 Reactions
75 Replies
48K Views
Habari wakuu, Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu. Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba...
17 Reactions
113 Replies
4K Views
1.A-age(younger than you but not too young atmost 6years) 2.B-beauty(lazima awe mzuri) 3.C-character(lazima awe na tabia nzuri) 4.D-distance(umbali unakomtolea mpenzi wako ni jambo muhimu sana...
2 Reactions
80 Replies
10K Views
Usiwemwepesi wa kukimbilia kuingia kwenye taasisi ya ndoa kama haujui ni kwanini unataka kuingia kwenye ndoa. Note: Kumbuka hapa nazungumzia Ndoa, na si tendo la ndoa. Vijana wengi (hasa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana Jf Naomba nitoe wito kwa kina dada ambao bado mama zao bado wako hai au mama wazazi wanao walea au ndugu wa karibu kama walezi ili wajifunze naswala mengi ya muhimu ya ndani, imekuwa aibu...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za Jumapili wana JF? Ni story ya kusogeza weekend. Sio Tanzania ni huko Zimbabwe. Mwanaume mmoja alifiwa na rafiki yake kipenzi ambaye pia ni jirani yake. Walikuwa na urafiki wa karibu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana. Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota...
21 Reactions
103 Replies
9K Views
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi". Nikiwacheki hao wanaume wengine...
40 Reactions
222 Replies
26K Views
Leo naomba kulizungumzia hili suala kama ifuatavyo: Kwenye challenge ya NoFap wanaume tunajitutumua kuhakikisha kuwa hakuna ngono wala punyeto, lakini kiuhalisia watu wanaumia sana na kupitia...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Sisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko. Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke. 1: Chakula. 2: Mavazi. 3: Ngono. Kabla...
15 Reactions
56 Replies
2K Views
sabakheri ! mwaka 2000 nilikuwa na dada mmoja ambaye tulikuwa tunapendana ila yeye alikuwa tayari ana jamaa yake. faida nliyokuwa nayo mimi ni kuwa jamaa yake alikuwa anakaa mbali wakati mimi...
14 Reactions
33 Replies
11K Views
Ulizingatia umri wako na wake, nidhamu, heshima na utii, uaminifu, upendo, hekima, busara, fedha, mali, kazi yake, hali na maisha ya familia yake au cheo chake... Au ulizingatia siha na tabia...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Kila mtu anajujua tabia zake, kama wewe ni mwanamke je uko tayari mtoto wako wa kiume aowe mwanamke mwenye tabia zako? Na wewe mwanaume uko tayari mtoto wako wa kike aolewe na mwanaume mwenye...
5 Reactions
89 Replies
3K Views
Jana ilikuwa moja ya siku za kughafirisha sana kwangu. Kuna kiwanja (lodge) huwa nachezea match za kujipima nguvu kabla ya kucheza mechi za ligi (ukioa usibweteke nenda kucheza match za nje kupima...
33 Reactions
54 Replies
11K Views
Mtu mmoja aliniuliza kwa nini mara kadhaa umekuwa ukiwasema wanawake wanapoonesha udhaifu. nlimjibu ni sababu napenda sana wanawake kuliko kitu kingine chochote. katika maisha ya sasa vijana...
78 Reactions
165 Replies
27K Views
Jana usiku katika kusherehekea mambo ya muungano, ikabidi nitoke na bebi wangu tukaenda kiwanja kimoja; tukawa tunapiga maji yetu machungu kama kawaida yetu. Kutokana na mazingira kuwa na 'vibe'...
2 Reactions
59 Replies
2K Views
"Ex Anakusumbua? Jifunze Jinsi ya Kumwacha Aende! Ever feel stuck, haunted by an ex who won't let go? It's tough, especially when building a new relationship. Moving on isn't easy. There might...
3 Reactions
25 Replies
954 Views
Siku hizi wanawake wanavyoonekana makazini sivyo walivyo majumbani kwao. Ukimshitukiza mwanamke nyumbani kwake anaweza kagoma kutoka nje kwa kuwa anakuwa kwenye muonekano halisi ambao...
1 Reactions
6 Replies
365 Views
Uchumba sugu ni uchumba unaokaa kipindi kirefu (zaidi ya mwaka) tangu kuchumbiana hadi kufunga ndoa kamili (wedding) na kuoana (mariage). Uchumba sugu sio kitu kizuri kwasababu ni chanzo...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom