Ananisilimulia best yangu mmoja siku nyingi zilizopita " nilitoka na madam kwenda nae kwao mume wake alikuwa hayupo, akatoa godoro chumbani kwao na kuja nalo sebuleni na tukamalizana" mwisho wa...
Zifuatazo ni sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume kamili anapenda kuziona ama kuzikuta kwa mwenza wake.
1. Mwanamke anapaswa kuwa na maisha yake na sio maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao...
Habari wakuu,
Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu.
Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba...
1.A-age(younger than you but not too young atmost 6years)
2.B-beauty(lazima awe mzuri)
3.C-character(lazima awe na tabia nzuri)
4.D-distance(umbali unakomtolea mpenzi wako ni jambo muhimu sana...
Usiwemwepesi wa kukimbilia kuingia kwenye taasisi ya ndoa kama haujui ni kwanini unataka kuingia kwenye ndoa.
Note: Kumbuka hapa nazungumzia Ndoa, na si tendo la ndoa.
Vijana wengi (hasa...
Wana Jf
Naomba nitoe wito kwa kina dada ambao bado mama zao bado wako hai au mama wazazi wanao walea au ndugu wa karibu kama walezi ili wajifunze naswala mengi ya muhimu ya ndani, imekuwa aibu...
Habari za Jumapili wana JF?
Ni story ya kusogeza weekend.
Sio Tanzania ni huko Zimbabwe.
Mwanaume mmoja alifiwa na rafiki yake kipenzi ambaye pia ni jirani yake. Walikuwa na urafiki wa karibu...
Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota...
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".
Nikiwacheki hao wanaume wengine...
Leo naomba kulizungumzia hili suala kama ifuatavyo:
Kwenye challenge ya NoFap wanaume tunajitutumua kuhakikisha kuwa hakuna ngono wala punyeto, lakini kiuhalisia watu wanaumia sana na kupitia...
Sisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko.
Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke.
1: Chakula.
2: Mavazi.
3: Ngono.
Kabla...
sabakheri ! mwaka 2000 nilikuwa na dada mmoja ambaye tulikuwa tunapendana ila yeye alikuwa tayari ana jamaa yake. faida nliyokuwa nayo mimi ni kuwa jamaa yake alikuwa anakaa mbali wakati mimi...
Ulizingatia umri wako na wake, nidhamu, heshima na utii, uaminifu, upendo, hekima, busara, fedha, mali, kazi yake, hali na maisha ya familia yake au cheo chake...
Au ulizingatia siha na tabia...
Kila mtu anajujua tabia zake, kama wewe ni mwanamke je uko tayari mtoto wako wa kiume aowe mwanamke mwenye tabia zako?
Na wewe mwanaume uko tayari mtoto wako wa kike aolewe na mwanaume mwenye...
Jana ilikuwa moja ya siku za kughafirisha sana kwangu. Kuna kiwanja (lodge) huwa nachezea match za kujipima nguvu kabla ya kucheza mechi za ligi (ukioa usibweteke nenda kucheza match za nje kupima...
Mtu mmoja aliniuliza kwa nini mara kadhaa umekuwa ukiwasema wanawake wanapoonesha udhaifu. nlimjibu ni sababu napenda sana wanawake kuliko kitu kingine chochote. katika maisha ya sasa vijana...
Jana usiku katika kusherehekea mambo ya muungano, ikabidi nitoke na bebi wangu tukaenda kiwanja kimoja; tukawa tunapiga maji yetu machungu kama kawaida yetu.
Kutokana na mazingira kuwa na 'vibe'...
"Ex Anakusumbua? Jifunze Jinsi ya Kumwacha Aende!
Ever feel stuck, haunted by an ex who won't let go? It's tough, especially when building a new relationship. Moving on isn't easy. There might...
Siku hizi wanawake wanavyoonekana makazini sivyo walivyo majumbani kwao. Ukimshitukiza mwanamke nyumbani kwake anaweza kagoma kutoka nje kwa kuwa anakuwa kwenye muonekano halisi ambao...
Uchumba sugu ni uchumba unaokaa kipindi kirefu (zaidi ya mwaka) tangu
kuchumbiana hadi kufunga ndoa kamili (wedding) na kuoana (mariage).
Uchumba sugu sio kitu kizuri kwasababu ni chanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.