Habari wana Jamii forums.
Naingia kwenye jukwaa hili kwa mara ya kwanza nami kutafuta ushauri juu ya yanayonisibu. Najua Jamii forums ni elimu tosha kwa kuwepo watu wa aina tofauti tofauti...
the more chances you give someone the less respect they will start to have for you, they will begin to ignore the standards that you have set because theyll know another chance will always be...
naomba tu nishee huu ushauri unaweza ukakufaa wewe au nduguyo au rafiki yako mana ndo mtindo wakisasa....
kama mwanamke wako tayari ni mjamzito subiri ajifungue ndio ufunge ndoa. ukifunga ndoa...
Habari wakuu.
Jamani wadau ni kweli kwamba wanawake hawajali sana physical appearance kama wanaume mfano sura na umbo,wakinadada jamana ebu mwageni sera.
Kila siku najiuliza kwanini tunawapenda watu ambao wanatudanganya sana,wanatusaliti na kuendelea kuwa nao?
Ni kwasababu tuna matumaini ipo siku watabadilika na kuwa kama tunavyotaka au kuwa kama...
Upendo kwenu wana MMU.
SABABU 3 NILIZO NAZO NI HIZI:
1. Kupenda ni hisia inayo weza badirika- kama itakuwa ni primary reason ya mahusiano husika basi siku hisia hizi zikibadirika mahusiano...
Natumai wote ni wazima katika siku zangu chache hapa Jamii Forums.
Hasa Jukwaa la Mahusiano Mapenzi na Urafiki nimegundua jambo ambalo naona ni vizuri nikasema ninavyoliona;
Ukisoma katikati ya...
Wakuu habari.
Hii nimekuwa nasikia sana kuwa unapoenda kutoa mahari huwa hatumalizi unatoa robo tatu ya ile uliyo pangiwa, hata mimi nilitoa nusu mpaka leo sijamalizia sijui kwa wenzangu...
Habari wana Jamii Forums.
Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri kabisa, mpo mnawaza mambo mawili matatu kwa ajili ya kuendesha gurudumu la Maisha.Sasa nina tatizo nitaomba ushauri uliojaa busara...
Nishawahi soma hapa jf hasara za kuwa na mahusiano au mapenzi na ndoa za mbali.
NIMESHUHUDIA-jamaa yangu alipata mchumba ambaye walikuwa wanasoma naye chuo fulani huko morogoro, mara baada ya...
Unakutana na binti kavaa suruali yake au vazi lolote zuri kapendeza unampenda hatimae mnaazisha uhusiano mpaka ndoa.
Ukishamtia mikononi mwako unamzuia mavazi fulani kuvaa ikiwemo yale uliyomkuta...
Namwongelea na najua atajiskia vibaya but please kaa mbali na ndoa yangu usijekunivurugia kama ulivyoharibu ya kwako.
Najua tuna urafiki wa muda mrefu,siri zako nyingi nazijua nawe wazifahamu...
Kijana mmoja shija kasamwa mwenye umri wa miaka 28,leo mchana amejikuta akipata masahibu ambayo iwapo atapona kamwe hatayasahau kabisa ktk maisha yake.
Kijana huyo mkazi wa mkoa wa Shinyanga ktk...
Habari zenu ndugu zangu.
Jana jioni hapa nilipopanga kuna mzee mmoja chumba cha pili akaonesha kadi na dawa za kuongeza siku mbele ya wapangaji wote hapa kuwa yeye anaishi na maambukizi.Sasa mi...
Duniani kuna mambo,hivi hii ingekuwaje kwa hapa Tanzania? Kwa mfano MUME akifa,JE MKE wake angekubali kukutwa KIDOLE,na vipi MKE angekufa MUME angekubali kukatwa KIDOLE??
Maana watu wakiwa hai...
Unapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu.
Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au...
Shalom,
Kuna wanawake ama mademu wa ajabu sana kijitu kinavaa vichupi uchi uchi maeneo ambayo watu tunabwax kinakupa namba then kinajifanya sijui mbona mapema hivyo kuhusu sex dadake Yesu wewe...
Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.
Na sherehe inafana...
Kusema ule ukweli kabisa toka nimpe moyo dada mmoja akauvunja basi nahisi kabisa kuwa nimepata ulemavu wa kupenda tena.
Ni miaka mitatu sasa nimekosa hisia za kupenda na wala sioni dalili za...
Hello everyone,
I'm reaching out for advice and perspective on a challenging situation I've found myself in. My name is David, and for almost three years, I've been in a relationship with Sarah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.