Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana wa kiume niliyezaliwa katika familiya ya watoto watano, nimeajiriwa serikalini nina kaka yangu yeye hakusoma yuko yumbani anaishi na wazazi, huyu kaka yangu ni...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna wanawake wana papuchi za moto. Mpaka zinaunguza vifungashio. Angalia mwenyewe. Ama utasema ni nini? Tindikali? Ndo linatokea huko. Unaona chupi ilivyoungua? Sasa wewe kwa ubwege wako unapiga...
32 Reactions
163 Replies
11K Views
Mke wangu hawezi kutumia pesa yake kwa matumizi ya wote yaani hata nikikwama nikamuomba pesa ananiwekea na riba au hata nikiwa mbali yeye akanunua kitu ndani hata kama ni chumvi au sukari ukirudi...
11 Reactions
90 Replies
3K Views
Hey guys wa JamiiForums, Kuna kasumba moja sasa hivi, mwanamke anakuwa na mwanaume wengi kutokana na tamaa binafsi walizonazo wanajikuta wanapata mimba za kushtukiza. Kama mimba ni ya jamaa...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Wakuu mko poa lakini, Turuke moja kwa moja kwenye mada Ebanaee huyu manzi wa kuitwa Angel nimefahamiana nae miezi 5 kabla, kama zari tulianza kuwa kama marafiki tu wa kawaida. Taratibu tukaanza...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Ni sehemu ndogo sana ya wapenzi wanaoishi mbalimbali ambao hudumu kwenye uhusiano wao kwa muda mrefu. Hiki kinaonekana kuwa ni kitendawili kigumu sana kwa wapenzi wengi kuvumiliana kwenye...
14 Reactions
137 Replies
5K Views
Nyumba lazima iwe ya moto yaani wakati wowote kinahappen mara wametokea wamama wa vikoba wamefuata rejesho kwa mkeo maana bidada kakopa halafu kauchuna hataki kupeleka rejesho imebidi wamama...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari za wakati huu Kwa mujibu wa mwenendo wa maisha ya leo, ambapo athari nyingi hasa za kimfumo wa uzazi zinamwangukia mwanamke, ni vyema kuona anapata watoto mapema. Ni nadra kwa mwanamke wa...
3 Reactions
14 Replies
537 Views
tangu mwanzo wa uchumba hadi ndoa yako, mambo yalikua ya amani na furaha sana baina yenu na mahitaji yote muhimu yalitimizwa. kwasababu ya upendo wa dhati, itii na uamninifu wa kweli ulokua nao...
3 Reactions
26 Replies
893 Views
Nawauliza kwa wema tu nyie wanaume wenzangu. Huo ujassiri wa kuoa mke mwenye mshahara mnautoa wapi? Sababu zenu ni dhaifu eti maisha kusaidiana, au ukifa watoto wasiyumbe. Ahahahah Nyie si ndio...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Hali imezidi kuwa mbaya wakuu, huyu mama naona ni kama ataniacha sasa yaani hata dakika simalizi. Msaada kwa anayejua tiba tafadhali.
1 Reactions
14 Replies
726 Views
Wakuu habarini za asubuhi. Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini. Mathalan una mchumba na umekwishamtolea...
5 Reactions
52 Replies
2K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mwenzatu mwanadada yamemkutaaa. Mama wa watoto 2 wa utotoni, 27 years 2 kids. Mumewe...
15 Reactions
113 Replies
11K Views
Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kutundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini. Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk...
21 Reactions
67 Replies
4K Views
Mahari ni shukrani ambayo familia ya mwanaume inatoa kwenda kwa familia ya mwanamke kama fadhira ya kutunziwa mke, ieleweke kwamba kutunziwa sio gharama za kumsomesha, chakula n.k kutunziwa mke...
14 Reactions
117 Replies
5K Views
Habari wana JF poleni kwa majukumu ya kazi pamoja na adha ya Mvua nyingi za week hii. Weekend hii imekua poa kidogo japo mifukoni na wallet zimeteteleka kimtindo ila bado tunakomaa na maisha yetu...
1 Reactions
3 Replies
380 Views
Inaaminika kuwa ni ujanja kula Hela ya mtu na kukimbia na kutangaza kuwa sio taipu yangu, mshamba, kajipendekeza etc. Spiritually ( kiroho) mtu akikupa kitu chake, ukapokea, tayari...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Guys ninaomba ushauri, Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi. Wakati huo yeye alikuwa na kazi...
13 Reactions
71 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa, Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu...
3 Reactions
175 Replies
16K Views
Back
Top Bottom