Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
It's official: Condoms DON'T make sex less enjoyable Men did not find it difficult to maintain erections when putting on condoms, according to a U.S study Experts hope message will help stem...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Huweza kuanguka mahali hata usipotarajia...... Kama hujawahi kusikia au kama hujui, naomba nikwambie kwamba, wanawake wanaumia zaidi au ni rahisi kwao kuumia wakiwa kwenye mzunguko wa siku zao...
17 Reactions
65 Replies
5K Views
Habari wana jf mimi nina rafiki yangu wa karibu sana alikua ana mpenzi wake walikua wanapendana sana.Ila hasa hasa alieonesha upendo wa dhati ni binti ambae alijitorea mambo mengi kwa ajiri ya...
1 Reactions
57 Replies
5K Views
Wadau niaje? Mungu akipenda 2013 hii mwishon naweka ndani my college sweetheart.. Ila kusema kweli kaugonjwa cha kuchanganyikiwa nikiona miguu imebeba mzigo wa mdada.. Hata kama nitapotezea...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Jamani salama lakini?.. Awali ya yote tutakiane heri ya mwaka mpya wa 2013...! Ndugu wana-jf naamini kabisa kuna watu humu jamvini wana maisha ya kawaida kabisa ya kitanzania ambayo hata mim...
13 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakubwa zangu shikamooni! Peopleeeeeeees! Kama kawa kama dawa nimeletakwenu Mada dume, mada champions league! Lazima pachimbike hapa! Hii ni kazi chafu ila lazima mtu aifanye, na huyo mtu ndo...
12 Reactions
318 Replies
20K Views
Imekuwa kawaida kwa hawa wapenzi wetu (hasa wa kike) wa siku hizi kuwa na mazoea ya kudhani mapenzi ni pesa tu. Ni ngumu kuamini, lakin wangu amefikia hatua ya kuniomba credit mara 3 kwa siku...
3 Reactions
65 Replies
5K Views
Inadaiwa kwamba mwanaume anapooa mwanamke ambaye ana mafanikio na ambaye ni msomi au mwenye taaluma, ajue kwamba, ndoa yake imeegeshwa kwenye mawe. Tafiti za hivi karibuni kabisa zinaonyesha...
16 Reactions
210 Replies
17K Views
Kuna rafiki yangu ameachana na mzazi mwenza kwa zaidi ya mwaka na walikuwa kwenye mahusiano zaidi ya miaka mitano. Kinachomuumiza rafiki yangu ni kwamba huyo mzazi mwenza hana neno lolote zuri...
0 Reactions
6 Replies
911 Views
H/ri za mda huu wanaJF wote! Nimekuwa na mijadala huku mtaani,kuhusu maisha kwa kuuliza watu wa lika mbalimbali!KUHUSU UJANA MZURI,kwani kuna tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa kuna mambo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
hufika hatua mapenzi yakawa sio mapenzi. wengine hulia jinsi walivyohumizwa, kumbe kuondoka kwa mpezi wako ni hatua nzuri ya kuanza kuishi maisha yako na atakuja mwingine, utakayempenda zaidi naye...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Goodmorning ladies and gentlemen of MMU, how are y'all this sexy morning. Ok lets get to the point. What's yo biggest turnoffs to the opposite SEX, yani kipi haswaa ukikiona labda...
1 Reactions
59 Replies
5K Views
Nina boyfriend wangu ambaye ni miezi 3 hivi tangu tuanze mahusiano ninampenda kweli lakini siku hizi amebadilika tuna kama wiki sasa hatuwasiliani vizuri, nikimtumia sms hajibu, nikimpigia hapokei...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
wana JF habari!! Ninakaa na wapangaji fulani (mume na mke) ambao ni jirani zangu kwa maana ya kuwa tunakaa nyumba moja, ila wao wanaka vyumba vya nje (uani) na mimi nakaa vyumba vya ndani (main...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Closed
Taratibu za imani ya kiislam zinaruhusu wanaume wa kiislam kuoa mpaka wanawake wanne.Ukiongea na wanawake wengi wa kiislam huwa hawakubali na hata wakikubali wanakubali kwa shingo upande ndoa za...
2 Reactions
98 Replies
17K Views
Jamani naombeni ushauri. Mimi mkazi wa Admonton Canada, sasa nipo chuo ila nimepanga nikimaliza chuo baada ya 2 years nije kwetu kuolewa na Mzanzibari because hao wa huku nilowaona sijawapenda...
1 Reactions
48 Replies
3K Views
Nimekutana na huu ubunifu nimechoka!!! Haya mambo huku kwetu Katavi hayako, huku ni mambo natural!!!
1 Reactions
39 Replies
7K Views
asilimia kubwa ya wanaume wanatunza watoto ambao si wao na hii imefanyika utafiti karibia mikoa kumi ...watoto wengi wamekutwa wanalelewa na baba ambae kwa namna moja amesakiziwa mtoto bila...
0 Reactions
70 Replies
8K Views
Jamani nimeipata mahali fulani kwa rafiki yangu,anaomba mchango wa mawazo ili amshauri kaka yake. NDOA YA KAKA WA RAFIKI YANGU;MREJESHO;VITA YAHAMIA KWA MTOTO Ndugu,huu ni mtandao wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mume: Hello baby! Mke: Hi swt! Mume: Nitachelewa kurud leo Mke: Nishajua uko kwa vijanamke vyako, ww ni mznzi sana cjui ilikuaje ukanioa nakuchukia! Mume: Ujue niko benki mpnz.... Mke: Haa...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom