Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kichwa cha khabari chajieleza..karibuni kwa michango yenyu bhana
0 Reactions
157 Replies
55K Views
Men: will you allow a woman to help you Put on a Condom? Tell us Why? Wemen: Will you help you partner put on a condom? Tell us why? Mods. I dont think whether this should go to that Southern...
2 Reactions
90 Replies
7K Views
Habari za jion mabibi na mabwana! Poleni na majukumu ya kutwa nzima. PEOPLEEEEEEEEEEZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ !!!!!!!!........ source lara 1 Back to topic...... Hivi ukiwa na mpenzi au mwenza ambaye...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Daima atakuwepo mwanamke mzuri kuliko mke au mpenzi wako na daima atakuwepo mwanaume mwenye fedha kuliko mumeo au mpenzi wako. Cha msingi na cha muhimu ndugu yangu inakubidi ujifunze tu...
9 Reactions
87 Replies
5K Views
Heshima kwenu Wakubwa.. Mimi ni Kijana wa Kiume,Nimempenda dada Mmoja hivi Ila Tunalingana Umri(wote tuko 24) na Nafikiria Kumuoa, MUNGU akipenda.. Hebu Fungukeni na Maushauri yenu...Hivi Imekaa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani kuna watu hawana heshima kabisa, Mimi ni mwanaume, nina mke na watoto wawili. Pia nafanya kazi sehemu moja na rafiki yangu (pia mwanaume, naye ana familia). Hajahamisha familia yake, kwa...
1 Reactions
61 Replies
5K Views
Kuna dada mmoja tunasoma naye kozi moja hapa Hamburg kwao ni Berlin mbali kidogo na mji huu kwa weliowahi kufika ujerumani wanafahamu miji hii miwili. kinacho nifanya niombe msaada ni kwamba...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Good friday guys and i wish you an enjoyable weekend as well.Jamani nina kisa hiki nataka ku-share na nyinyi na naomba experience zenu hasa kwa wale ambao ni vijana/wadada wa 90's au mapema...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 24 mwezi wa December kuna msichana nilikutana naye wakati natoka morogoro kuja Dar es salaam katika basi ,nikapiga naye stori mwisho wa siku tukabadilishana namba za simu...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Leo mwanangu katimiza miezi minne. Namshukuru Mungu. Jioni saa kumi na mbili nitamuogesha ikifika 2 atakuwa kalala. Mie nitacheki Isidingo na movies kadhaa nilale saa 6. Kesho nitamtrain...
0 Reactions
101 Replies
6K Views
When I got home that night as my wife served dinner, I held her hand and said, I've got something to tell you. She sat down and ate quietly. Again I observed the hurt in her eyes. Suddenly I...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Me ni kijana miaka 19 and nimeanza mapenz mwaka jana sa cjui story za kuongea na demu wangu akija geto mi nabaki kimya tu ad tutakapo jisikia kufanya sex.naomben msaada nifanye nn
0 Reactions
70 Replies
27K Views
Wakuu habari za jioni? Mumeshinda swalamaa? Naombeni kujua, ni kitu gani wewe unaesoma mada hii unaogopa kupita maelezo. Mimi bwana nina vitu vitatu. 1. Radi- mama weeee. Mvua ikinyesha huwa...
1 Reactions
113 Replies
7K Views
Bubu jana kaniendesha balaa. Kama kawa Bubu kafungasha mzigo ki ukweli kadidadisha. Mbaya zaidi ni bubu wa kitaa. Jana nikakutana naye mtaa fulani hivi nikaimbisha kwa mikono akaelewa. Nikamvuta...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimesoma hii article mara 3, nimeishiwa nguvu: Majivu yatumika kupanga uzazi na utoaji mimba Mbeya « JamiiForums|TMF Blogs Tutafika kweli? Some other worrying quotes: -Baadhi ya wanawake...
3 Reactions
32 Replies
7K Views
Jamani ati kweli mwanaume anataka kujua kama chungu au tamu. Swali kwani huwa chungu mbona inatisha hiii nitaogopa kuolewa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
si maneno yangu, ni Yvonne chakachaka aliwaambia wanawake wanaopenda kuchukuliwa na waume za watu You knew that you were doing wrong To love another woman's man You're always there when he needs...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
YALIANZA kuumbwa maisha halafu mapenzi ndiyo yakafuata. Aliumbwa Adam, baadaye akaletewa Hawa kisha mapenzi ndiyo yakaanza. Hii ina maana kuwa maisha yalianza kwa upande wa Adam kabla ya mapenzi...
4 Reactions
30 Replies
13K Views
MWANAMKE MPUMBAVU 1.Anamkomoa mmewe 2.Analala mapema kabla ya mmewe 3.Anachelewa kuamka kabla mmewe 4.Mbishi,anahisi kuonewa mda wote 5.Anadhani kumnyima mmewe uny- Umba ni kumkomoa 6.Mmekaa...
14 Reactions
21 Replies
3K Views
Hi WanaMMU, Kunayeyote amewahi kupractice hii kitu? maana inaonekana faida ni nyingi hasa za suluhu za matatizo ya kisaikolojia ikiwepo matatizo ya mahusiano. Is this practical? umewahi kufanya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom