Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana MMU. Kwa ufupi ni kwamba nina bint mmoja ambaye nina uhusiano nae takriban miezi 8 sasa na huwa anakuja geto mara moja moja weekend kwa ajili ya kugegeduana, sasa huyu binti kwa kweli...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
KWA NINI WANAUME/AKINA BABA WENGI WANAFIKIRI WAO NDIO WAAMUZI/WAFALME WA NYUMBA? Suala hili limekuwa likinikera sana akilini mwangu kwa miaka mingi. Ya kwamba akina baba/wanaume wao wanafikiri...
0 Reactions
95 Replies
7K Views
Wadauzi em nipeni siha za waschana wa kifipa jamaaani
0 Reactions
73 Replies
17K Views
nina jamaa yangu tangia tumalize shule hatujawahi kuonana jan ndio tumeonana baada ya kutoka wilayani kuja jijini kwa lengo la kutafuta madawa ya kuongeza urefu wa kifaa na unene wake kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habariiiiiiiiiiiiii! Sikumbuki kama nilipobisha hodi nilikaribishwa na wote au sikubisha kabisa hodi humu, mnisamehe bure! Kuna mambo yananikera imebidi tu niyawasilishe ili tuweze kurekebishana...
11 Reactions
44 Replies
4K Views
Jamaani nampenda saaana mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nne sasa lakini hatujawahi kuduu cause baba ake ameamua kumtransfer mwenzangu kwenda shule nyingine so tunaonana mara 2 kwa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Niko katika mahusiano ya kimapenzi kwa muda sasa mpaka kumchumbia huyu niliye naye na kuishi naye.Juzi kuna message ya kimapenzi imeingia kwenye simu yake.Cha kushangaza amekuwa...
0 Reactions
99 Replies
9K Views
Ni story ambayo nabishana na bestfriend wangu mpaka kesho.. I believe mwanaume huyo ni mtu mzuri na wanaendana sana. Ila mapenzi nyuma, akili mbele. Ni kawaida sana kwa wanawake wa kiswahili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi kwa wooote... Ndugu zangu msinichose wala nisiwachose kwa maneno mengiii maana mficha uchi azai na mficha ugonjwa maradhi yatamuumbua....Naomba kujua wapi ntapata dawa ya mapenzi ya kienyezi...
1 Reactions
22 Replies
24K Views
Mke/mume mwema hutoka kwa Mungu, wapi?,hatujui bt kwa MUNGU Hiyo ndo imani yetu...ok,kwanini wanaume wengi wa umri 45yrs na kuendelea akiwa kwenye umri huo akiachana na mke wake tu...basi hakawii...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu,leo kuna kitu cha ajabu kimenitokea.kuna my x flani nliachana nae toka mwaka jana mwez november,tangu wakati huo sikua na mawasliano nae ya aina yoyote ile.sasa leo nlikua nimejilaza...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii ni kwa hisani ya uchambuzi wa 'Lady Viva' kupitia - TAFAKARI: Kilichomo kwenye ulimbwende, urembo na uzuri Misemo imesheheni siku hizi utasikia “Mwanamke urembo”! Hivi uzuri au urembo wa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nampenda sana mpenz wangu ambaye naishi naye kwa sasa ila amekuwa mkali sana kwangu anaondoka anarudi usiku nikimuuliza anakuwa mkali sana kwa sasa nimejaribu kumchunguza kupitia watu mbalimbali...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, Naombeni ushauri wenu kuhusu tatizo hili. Niligundua mume wangu ametoka nje ya ndoa baada ya kukuta sms za mapenzi ktk cm yake, nikamuuliza akakiri kweli anamahusiano na binti...
2 Reactions
57 Replies
8K Views
Natumai wote ni buheri wa afya na mnaendelea kuvuta hewa ya bure tuliyopendelewa na mwenyezi Mungu. Kwa kweli hili limenifanya nishindwe kuvumilia. Leo mida ya saa 3 asubuhi nilipita mahali...
3 Reactions
67 Replies
6K Views
Yani nyinyi wake zetu mnatia aibu sana, nimetoka kusuluhisha ugomvi kwa jamaa yangu, ugomvi ulikuwa mkubwa sana ila source mshkaji kachoka kutandikiwa kitanda na beki tatu so akamuuliza mkewe kama...
1 Reactions
380 Replies
23K Views
Hili suala lipo takribani ofisi zote ambazo ni rasmi,baada y akufanya interview na ukafanikiwa kupata iyo kazi watakuita kwa ajili ya kupima afya yako.......... mbaya au nzuri utapewa tu barua na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ziada, Sikudhani, Siwema, Mkejina, Siwatu, Semeni, Siasa, Kichipu... NA WENGINE?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ilikuwa mara yake ya kwanza kudate na kijana, ilikuwa nzuri sana kwake. Walienda kwa restaurant nzuri sana. Pindi walipokuwa wanakula chakula, aka sneezed kisha akapiga bonge la chafya na makamasi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom