Kuna mtu hapa kwenye viti virefu anajipongeza kwa kujenga nyumba mwaka 2012 na anakribia kuhamia kwenye kiwanja cha mkewe Mbweni Hukooo! Anadai sio nyumba ila Jumbaaa!
Hivi kweli nyie Men of...
Habari ya siku wapendwa,
Nisiwachoshe jamani ni hivi, nina sister wangu ni mtu mzima ana 42 yrs hivi, jana alipata mgeni ambae ana kama 26 yrs ni msichana ambae ameolewa 10 months now, mgeni...
AT 18 a lady is like a football, 22 men behind her,
at 28 a basketball, 10 men behind her,
at 38 a golf ball, 1 man behind her,
at 48 a TT ball, 1 man pushing her to the other
Wadau kuna ka...
Wakuu naombeni ushauri kuna mpenzi wangu tuna muda wa miezi mitatu sasa katika mahusiano yetu, ila simuelewi nikimpigia simu anachelewa kupokea au asipokee kabisa ni kimuuliza tatizo nini anatoa...
Umeoa, na umebahatika kupata kupata watoto wanne kwenye ndoa yako.
Wewe ni mwaminifu sana kwako, na kwa kweli hujawahi kutoka nje ya ndoa yenu iliyodumu kwa miaka kumi na moja.
Mwezi ulipita ukiwa...
Mwananchi mmoja ambaye anaumwa gonjwa la ukimwi yuko hatarini kupoteza maisha yake siyo kwa ukimwi bali kwa kipigo , kunyimwa chakula na vitendo vingine vya kunyanyapaliwa na mkewe...
KWANZA NITANGULIZE SAMAHANI LAKINI NGOJA TU NILISEME:
Kwa Wanawake na Wanaume,wote msikie,Kuna baadhi yenu mnatamani kuwa na Relationship nzuri,lakini,tatizo,hata Kissing tu ni...
Wanajamii natumaini mpo poa, kunakitu kimentatiza npo na bf tunakaribia kuanza taratibu za uchumba, yeye ana kaka yake ambae ameoa ila kwa sasa kaka yake huyo hayupo sawa na mkewe wametofautiana...
Ndugu yangu, kila kukicha kwenye mbuga za wanyama za Serengeti,
Nyumbu anapoamka tu anafahamu kwamba ni lazima aweze kukimbia zaidi
ya Simba mwenye mbio kuliko wote la sivyo atakamatwa na...
Ndio maana biashara ya kuuza miili katika nchi hizo ni kubwa ukilinganisha na kwetu...
Siku zote, mtu akizungumza na mtu wa Ulaya au Marekani kuhusu tabia za kujamiiana holela, atakwambia, tabia...
Habari zenu wana MMU, natumaini mu wazima wa afya!!!!!!!!!!!!
Leo katika pitapita zangu za hapa na pale nikakutana na mpenzi wangu wa zamani ambae tulitokea kuipendana sana,
ila tulikuja...
Habari ndugu wanajamvi.
Nipo katika wakati mgumu sana kwa sasa.Kuna binti tulikuwa katika mahusiano lakin yeye alikuwa na wivu sana.Nina marafiki wa kike na wafanyakaz wenzangu wa kike na...
Jana baada ya mihangaiko ya kutwa nzima, kabla ya kwenda geto niliamua kuvinjari mjini ambako nilipata "usafiri" wa kukodi. Baada ya kuukodi huu usafiri niliamua kwanza niende "Uvinza chumvini"...
Hili neno lilikua likinitatiza kwa mda mrefu...ni neno nalisikia sana hapa ofisini kutoka kwa vijana wadogo wenye ndoa, lakini sikuwai kujua wanamaanisha nini mpaka leo asubui hii niliposikia...
Hii ni kwenu wetu wale wa kucheat responsibly! Saa zingine hao mahawara zenu ni ma psycopath!
Culled from Sunnewsonline.com In what sounds like a movie tale, A woman in Obuno Umuochefu, Igbo-Ukwu...
You are driving down the road in your car on a wild,
stormy night,when you pass by a bus stop and you see
three people waiting for
the bus:
1. An old lady who looks as if she is about to...
habari zenu,jamani naomba mnisaide hapa,nina my best frnd tumekua wote yani,sasa hapo katikati nilikua na misunderstandings na my boyfrnd,tulivo solve akaniambia kua huyo best na yeye walikua na...
Habari zenu wana-jamvi? ni imani na faraja kwangu kuona yu mzima na kuweza kusoma, kutafakari na kutoa mchango wako wa kiushauri katika uzi huu. Nitaiheshimu michango yenu yote mtakayotoa ingawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.