jaman wana jamvi híi sio story imetokea kweli, yamemkuta mtu wangu wa karibu sana, ambaye alibadilika gafla akawa kama hajielewi nikambana sana ndo akanisimulia kifupi huyu dingi ni member hapa jf...
Girls;
Si kila Relationship ifikie ndoa...mm nachukia unamtokea Gal anakwambia "Km huna Plan ya kunioa bora useme mapemaaaa nijue moja''
Hivi mnadhani kuoa ni tendo la ghafla tu km mgao wa...
Wakuu,
Hivi kwauchunguzi wako na wewe mwenyewe sema hivi matumizi ya kondom yanazingatiwa??
Maana nachojua unatumia kawiki tu mwishowe unaanza kutembelea rimu(Ring)Hata wanawake wao ndo kabisa...
Truths, lies and antiretrovirals
Myth 4: ARVS give you a thin face and deform your body
Until recently, the most commonly used ARV regimen at government hospitals included an ARV known as...
wana MMU naomba mnisaidie katika kuna katabia fulani ka wanawake/wasichana kusingizia mimba, its either kwa x-bf wake, au rafiki, au bf wake, au mchumba wake, unakuta kanasa ujauzito toka kwingne...
Kila siku najiuliza hivi mapenzi ni nini hasa?
Najiuliza kwa nini watu wanapenda mapenzi?
Nashuhudia ili mapenzi yanoge je ni lazima kuwe na wivu ndani yake?
Nashuhudia watu wengi wanatoa roho zao...
Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na...
Naombeni mnisaidie ushauri katika hili jamani. Nina rafiki yangu wa kike (girl friend) na tulikubaliana kuoana mwaka huu 2013 Mungu akipenda. Ni mzuri sana kisura na mwonekano (so sexy) kiasi...
Kule kutoelewana kunakosababishwa na ndoa yako kuwa na watoto jinsia moja tu kumepata utatuzi.Sasa unaweza kuamua jinsia ya mtoto kwa njia rahisi tu.
Unatakiwa kujua umri wa mwanamke na mwezi...
hello JF! mm ni graduate frm udsm, niko mbeya ninatafuta kazi bado cjapata.. nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na dada flan kwa muda wa mwaka 1 na hatujawahi kutumia condom katk mahusiano...
WAKE KWA WAUME
Ukitaka kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi,Mafupi kama charge ya Blackberry Bold,basi Date na DIVA au SHAROBARO!
HAWANA FUTURE HAO,No Hurry like Africa Attitude ndo jadi yao,HAWANA...
Utafiti uliofanywa hivi karibuni umeitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi ambazo watu wake hupenda sana kuvumisha mambo na yakaonekana kama kweli. Pamoja na kuwa na vyombo vingi vya habari...
naimani penye wengu hapalibiki jambo nakukana mimba si vizuri ila kukubali mimba isiyo yako ni vibaya kuna mwenzangu alhamis nilikutana naye bahati mbaya kinga ikapasuka leo hii ananipigia sm...
POMBE ILISABABISHA NIKAAMBUKIZWA UKIMWI NAMI NIMEWAAMBUKIZA MAELFU
{Ni Jane naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na...
kama kawaida nikiwa nacheza na keyboard plus google nikaibamba hii somewhere. For those of us with our "bitter halfs" hebu tutoe maujuzi kama kweli hizi nondo zina ukweli wowote. how do you know...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.