Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
jamani wadu nimeona niwadokeze kuhusu hii issue,mtoe mawazo yenu,really imetokea je?madaktari humu au mdau yeyote mnasemaje? nawakilisha. White Woman Claims Watching 3D Film Made Her Pregnant w/...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eti kamebemendwa Kuna visa asili vingi ambavyo huwa wakati mwingine vinaniacha na maswali lukuki. Jambo ninalotaka kulizungumzia leo, limekuwa likiaminiwa sana na jamii yetu na limekuwa...
6 Reactions
20 Replies
6K Views
jamaa moja amekutwa kwenye zizi la ng'ombe akifanya malavidavi na punda jike, Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 4 usiku, Inasemekena kwamba huyo jamaa si mara yakwanza...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
.......mwanaume zima unashika shika mikoba ya wanawake!! we vipi??? Yalikuwa ni maneno yaliyonichoma barabara moyo wangu tena kutoka kwa mwanamke ninayempenda kuliko wote, yaani mke wangu...
4 Reactions
129 Replies
9K Views
Habarini wanajamvi. Kuna aina nyingi sana za marafiki..na urafiki inategemea mmeonana vp siyo..sasa naomba kujua kwa nini kama una rafiki yako mlikuwa hamuongei habari za hela wala kukopeshana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana MMU sitaki kuamini ila ndio Hali Halisi. Mwenza wangu niliedumu nae kwa Mwaka na Nusu Nikimsubiri yeye ili tuanze Maisha, Amenipigia Simu Nusu Saa Iliyopita eti hanihitaji tena. Nilidhani...
3 Reactions
189 Replies
15K Views
NIMEIONA MAHALI HII....ISOME NA WEWE USIJALI KAMA NI NDEFU SANA.... Mimi na girlfriend wangu tulikuwa tunapendana sana. Tulikuwa tumeishakuwa pamoja kwa mudawa miaka minne hivi, na hivyo tukawa...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Jamani fireworks zimepigwa marufuku. Hamna fataki wala mimoto angani. Angani giza limetanda kama tuko pangoni, lakini ndani mwa moyo wangu kuna mwanga mkali unaangaza. Unamulika kwenu huku...
8 Reactions
23 Replies
3K Views
  • Closed
Mtoto huyu anaitwa Benedicto Tungaraza. Amepotea leo tarehe 8/1/2013 maeneo ya kimara-baruti. Alikuwa amevaa shati la drafti mchanganyiko wa rangi nyeupe na damu ya mzee, suruali ya rangi ya...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kuna wazazi bado wapo mfumo wa zaman( analogia) wanajifanya busy na dil za kimaisha wanasahau watoto wao kimalez.watoto wanakuwa wa mahouse girls/boyz,mtoto miaka miwil boarding schools.mnalala na...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Habarini wanajamvi wenzangu ya leo tena ni kali kwani nimeingia kiditali kabisa kuwaasa na kuwaonya wale WANANDOA NA WASIO WANANDOA humu jamvini na kwingineko kule. Nina jambo nataka tulikumbuke...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Tiger Woods and ex-wife Elin Nordegren during the opening ceremonies at the AT&T National golf tournament B [Photo: AFP] Tiger Woods tries to 'win back ex-wife Elin with a Sh17b deal' Kwa ufupi...
10 Reactions
72 Replies
5K Views
Kamati ya Bunge - Afya / Ustawi wa Jamii waliotembelea kwenye ofisi ya mkemia mkuu, wameelezwa kuwa asilimia 60% ya wanaume waliopima vinasaba (DNA) wamegundua kuwa watoto wanaosaidikika kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu mnaonipa maujanja ya maisha...habari zenu! Jamani, hivi utajisikaje na kuchukua hatua gani iwapo wakati mko kunako 6x6 kwenye tendo la faragha mwenzio anaweweseka wakati wa tukio huku...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni dunia ya mikiki mikiki. Kuchelewa kufa ni kuona mengi lakini usiombe kukutana na viroja vya Wachawi wa Sumbawanga. Katika kipindi ambacho nimeishi kwenye ulimwengu ambao wengi wanadhani ni wa...
2 Reactions
65 Replies
66K Views
wanawake muache ukatili,kama ampendi kuzaa kwa nini mnafanya!! inasikitisha si bora umtelekeze kwenye nyumba ya kulelea watoto au sehemu za wazi,kuliko kumzika akiwa hai,uyu mtoto alizikwa na mama...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wana jf hususani wapenzi wa MMU, Heri ya mwaka mpya. Nina andika ujumbe huu baada ya uchunguzi wa muda mrefu wa nyuzi mbali mbali (threads) zinazo wekwa na wadau mbali mbali. Kwa muda mrefu...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Nimeona niweke special thread jinsi ya kuwasaidia vijana namna ya kupata wachumba, Nimeshuhudia vijana wengi sana wakiteseka katika harakati za kutafuta mwenzi wa maisha. Siku zote nimekuwa...
1 Reactions
3 Replies
10K Views
Habarini waungwana! Jana nilikutana na jamaa yangu mmoja ambaye ni muhudumu wa afya, akanipa ofa (si kawaida yake). Kwa hali hiyo ikabidi nimdadisi, ndo akaniambia amepewa ahsante baada ya...
3 Reactions
51 Replies
4K Views
Mimi ni kijana mwenye umri fulani tatizo linalo nisumbua ni kwamba sehemu tunapoishi kuna jamaa ameamia yeye pamoja na mke wake. Wakati wanaamia sehemu ambayo mimi naishi mara ya kwanza huyo...
0 Reactions
102 Replies
11K Views
Back
Top Bottom