Nikitu kisicho cha kawaida ila ni kisa kilichomtokea rafiki yangu baada ya kugundua kwamba anae mnengulia na kumpagawisha ni baba yake wa kumzaa story iko ivi huyu rafiki yangu tangu kuzaliwa...
naona imekuwa mtindo sikuhizi watu kuweka riwaya humu Jamii Forums,
utakuta mtu anaanzisha thread yenye heading nzuri, ukianza kuisoma kwanza utakuta ndefu, halafu utaona (itaendelea......)...
Is love enough in your life now? If not, what do you need to do, to be, to learn, or to receive so that you can honestly say to yourself that love is enough for you? :crazy:
Salaam jf
Hii dhana ya watu kutaka kuwa na wapenzi au wenza wa maisha wenye pesa inakuwa siku hadi siku inaonekana inakuwa kubwa kila kukicha
Kilamsiku tunasiKia, kuona kama sio kusoma watu...
Wanaume ndo wanajua siri ya kukimbilia mapangoni wakipatwa na shida au matatizo ya msongo wa mawazo na wakitoka huko wanakuwa bomba sana. Moja ya tofauti kubwa kati ya wanaume na wanawake ni jinsi...
Huu wimbo ni wa Diana Ross, akiwaimbia wanae... Naupenda sana.
I wanna call the stars down from the sky
I wanna live a day that never dies
I wanna change the world only for you
All the impossible...
Hi guys!
Wakati mwingine huwa najiuliza hivi ingekuwaje kama Mapenzi ingekuwa ni taaluma ya kusomea kama vile tunavyosomea Uhasibu, Uchumi, Sheria, Biashara, Sanaa nakadhalika hivi jamani si ndoa...
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia...
Wakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!
Natumaini mnachuma juani na kula kwa jasho lenu!!!!!!! Asiefanya kazi na asile! Kamjuavyo KAZI na DAWA sasa ndio nimewaletea dawa kidogo...
Nipo ndani ya Ndoa 2 yrs nw. Mume wangu hana kazi ni mwaka mmoja na miezi 9 sass,Tuna mtoto wetu mmoja na depend ants wawili, hivyo tukakubaliana nikope ofisini tufanye biashara azisimamie ili awe...
Hello, I get very emotional with this, but my husband has cheated on me, and now has a 3-year-old daughter, his girlfriend has told him I will tell your mom if you ever dared to leave me and...
Wadau! Kule fb kila kitu kimechange, mambo yanakera aisee! Nikiingia posts zinaonekana its all about love (zilizo nyingi) na picha za ajabu ajabu + matusi..fb ya 2009 na yasasa 2013 ni tofauti...
Imenitokea jana, jirani yangu alikuwa anampiga mke wake, sasa wakati kipigo kinaendelea huku mke wake akilia basi mimi huku nikawa nasisimka mwili kiasi hisia za mapenzi zikawa juu kweli kweli na...
Katika hesabu hii kokotoa mtu wako akipata zaidi ya sita ya huu wasifu basi jua yuko hatarini au tayari keshaibwa.............
1) Kama ana hulka ya kuiba basi kurudia inakuwa siyo kazi kubwa...
Vijana kabla hamja kamilisha ndoto zenu clear your heavy accent it's annoying .kuna mtu kaachwa kwa ajili hiyo mwanaume alichoka kusema "what what all the time "
Sura hiyo hapo ni ya mwanamke. Bila shaka umeshwahi kukutana na sura kama hii katika maisha yako. Kama hujawahi kukutana nayo huenda kuna siku utakutana nayo. Jaribu kuzingatia mdomo, meno, macho...
Wadauuuu
ni mimi mzee wa Monaco tena.....
poleni na majukumu,kuna tukio limetokea wiki chache zilizopita,kuna jamaa yangu tulikuwa nae tumepanga nyumba moja,tulikuwa vijana 3,tusiooa na 2 walikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.