Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Waungwana katika JF mimi ndo naingia ulingoni na huu ndio uzi wangu wa kwanza, pia ninaomba ushauri kwa kuwa wiki mbili zijazo natarajia kufunga ndoa na mara yangu ya kwanza kukutana na mwanamke...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
wakat wa kuagana na mpenz wk, mwanaume naye akalia, je ni sawa au ni kujshushia uaanaume?
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wandugu Hamjambo....jamani hebu nisaidieni vipi niweze kuishi na watu wa majungu ofisini, kuna huyu jamaa yuko imara kuona makosa na kuyafikisha kwa Boss hata kama madogo madogo ili mradi nisiheme...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Wanawake wengi walioolewa hutoka nje ya ndoa kwa sababu mbalimbali lakini nyingi zikiwa ni kutafuta ridhiko la kihisia. Dr. Ralph Meyering na Profesa Emeritus wa chuo kikuu cha Illinois huko...
8 Reactions
34 Replies
11K Views
Wakubwa zangu shikamooni! IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!! Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake...
10 Reactions
92 Replies
6K Views
wana mmu leo naomba tuthibitishe kauli kwamba "mapenzi ni sawa sawa na siasa"
1 Reactions
4 Replies
1K Views
mimi naishi na house boy ambaye uwa pia kama mlinzi nikiwa safari,baada ya kuona house girl wananitega na mimi sipend kutegeka,sasa nimetoka safari ya mbali nimefika tanzania usiku,na mimi uwa...
4 Reactions
49 Replies
5K Views
we all hear from church,wedding seminar etc that when searching for a wife,beauty should be a secondary factor while character primary,do u support this or not and why? why pastors,wedding...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
wadau nisaidieni katika hili inasemekena boyfriend au husband akiwa na wivu wa kupitiliza mara akukague kwenye cm mara cm ikipigwa mkiwa wote anataka apokee yy yani ule wivu wa kero mara...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mie ni kijana ambae nina miaka 26 sijaoa ila nina mpenzi ambae tupo mda mrefu,na kwa bahati mbaya au nzuri mie nakua nae mbali kwa mda mwingi saana yaani mi nipo zanzibar yeye yupo dar,nashukuru...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Valentine'S Day... Only a Month away.. Mkuu hebu 2fanye hesabu!.. Valentine Dress: 70,000 shs Salon: 30,000 shs Flowers: 20,000 shs Gift: 40,000 shs Dinner: 50,000 shs Drinks: 40,000 shs...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Jeshi la polisi mkoani Manyara, linamshikilia mkazi wa kijiji cha Gijachameda, Wilaya ya Babati, Bw John Barandi (35), kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mzazi mwenzake Mwanaisha Iddi (25), baada...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Da nimemic majambozi na mavituz kwa miezi mitatu baada ya kubwagana na kipenzi cha Roho yangu Mrembo XXX aliyenisaliti kwa kukimbilia mapedeshee wazee wenye Ukwasi. Athari zinazonipata sasa baada...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Mwanamke mkazi wa kijiji cha Matui, Wilayani Kiteto, Mkoani Manyara ameponea chupuchupu kuuawa baada ya mume wake kumchoma na chuma cha moto sehemu zake za siri, kutokana na wivu wa mapenzi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimesema sitaki mchumba,sitaki mke tutakutana mbele ya haki :: Hayo ni maneno ya rafiki yangu ambaye tumekutana nae baada ya kupotezana miaka miaka 8 iliyopita. Ni handsome kiasi,amejipanga...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamii, Jana nilikutana na marafiki zangu wakati wa jioni kwa kupiga domo na kujikumbusha ya kale na vituko vya nyumbani. Katika mazungumzo yetu likaja suali la yule jamaa alokuwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wachumba wengi hili hawataki kusikia Lakini ukweli lazima tuuanike hadharani Dunia yenu siyo ila ya enzi zetu kabisa Utetezi wenu kuwa mbona hatukupimwa Siyo utetezi kabisa, hiyo siyo busara lol...
12 Reactions
87 Replies
6K Views
Waungwana nisaidieni, nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam, wakwe wanasema sifa zooote ninazo ila dini yangu eti sisi wengi wetu ni magaidi, bibie yeye yuko radhi tufunge ndoa bila ridhaa ya wazazi...
0 Reactions
128 Replies
10K Views
Hebu nisaidieni wapendwa. Inapotokea wanandoa ambao ni rafiki na familia yako wanaachana, je ni vyema kuendelea na urafiki na wote wawili kama awali au niwapotezee na kuendelea na maisha yangu...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
MWANAMKE mkazi wa Kijiji cha Matui, wilayani Kiteto, mkoani Manyara ameponea chupuchupu kuuawa baada ya mume wake kumchoma na chuma cha moto sehemu za siri kutokana na wivu wa mapenzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom