Wadada fungukeni...Mume wako katoka Asubuh kwenda kazini umempulizia Manukato A,Jioni Akirudi ananukia Harufu Nzuri ya Manukato B....tusaidiane itakuwa ya Nyumba ndogo au ni Vijimambo tu.
Kwenu...
Naomba mnisaidie
nina msichana ni rafiki yangu sana, haipiti siku hatuja wasiliana. Lakini hatuja wahi zungumzia ndoa wala any deep relationship. Lakini kinacho nishangaza kuna wakati nikimwuliza...
mashosti zangu habari za asubuhi.
kutokana na ukweli kuwa wengi wetu huwa hawafiki kileleni wafanyapo mapenzi wewe huwa unatumia mbinu gani kuhakikisha kuwa umepata hiyo raha ya pekee? mind...
Siku zote imekuwa ni kawaida yetu sisi wana jamvi kupeana ushauri na kutiana moyo katika mambo mbalimbali yanajitokeza katika maisha yetu ya kila siku. Nafahamu kuwa humu tupo watu wenye itikadi...
Nimeish na mume wangu miaka 12 hadi sasa, tunawatoto 2,Nimegundua kuwa miaka 2 nyuma alinisaliti na kuzaa nje ya ndoa na alipohisi nitagundua akahofu nitavunja ndoa na kugawana mali hivyo...
UKIONA MPNZ WAKO ANAKUJIBU HIVI UJUE HATAKI MUWASILIANE NA YEYE HAPO MANAKE CHUKUA TIME UNAPOTEZA MUDA WAKO
SMS:sweet nimekukumbuka sana leo natamani tungekua
sote mida hi upo wap mpnz...
Nawatakia wadau wa MMU Eid njema,afya nzuri na furaha tele,kwa kipindi cha zaidi ya miaka 2 wa kuwa member hapa JF nimetokea kulipenda jukwaa hili na kufahamiana na wengi(thru keyboard),kuna...
Wana JF,
Hapa ofcni kuna mama amekuja kwa muda kutokea Cameroon
Nimemkuta akiwa katika hali kuwaza nikmuuliza
a) Mbona mama unaonekana unawaza au unahuzuni sana?
b) Umepa-miss nyumbani nini...
Salaam,
tumesuruhishaaaaaaaaaa wee , la kuvunda halina ubani. mwanamke mwisho wa yote ili kuhalalisha utashi wake wa kuachika anadai MUME HUYU HAJUI KUNANIHIIIIIIIIII , hapo...
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!!!1
Niajeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna tabia za kimagharibi za watu wazima, Over 18 hadi 80 hukooo kuwa na kawaida ya kuzama online na kucheki VITUS ama...
Nina kidemu changu cha uswahilini.
Jana kikaja gheto baada ya kuwa kinanikwepa kwa muda mrefu.
Baada ya stori za hapa na pale tukajikuta tu hatuna nguo,
nikavuta droo na kutoa pakiti ya kondom...
habari wana jamvi
nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapendana sana yeye kwao ni iringa na anasoma udom na mimi niko hapa dar,kiukweli tulikuwa tunapendana sana kiasi kwamba...
Habari zenu wana JF.
Mara nyingi nimekuwa naona akina dada siku ya harusi wakiwa ukumbini kuna kipindi wapambe wao wanapata shida sana kuwafuta machozi wakiwa wanalia, tena hata huko kwenye...
Habari zenu wakuu.
Wengi wetu natumaini tulikuwa tuna habari juu ya msiba mzito uliompata Smile wa kufiwa na mama yake. Kupitia thread ile alijulisha mazishi yalikuwa leo (Jumatano).
Baada ya...
Habari za leo wana jf wenzangu. Kwa mtazamo wangu sikuhiz kumekua na matatizo mengi katika ndoa ambayo hupelekea ndoa nyingi kuvunjika au hata uchumba mwingi kuishia hewani hewani.je tatizo ni...
Guys, I came across this while reading 48 Laws of Power by Robert Green and I thot it would be nice to share this with you as I found it so close to reality.
Nakaribisha pia michango kutoka kwa...
Mlioko kwenye ndoa hii sala inawafaa. Sala ya kuombea chupi ya mume baada ya kuifua
"Naiombea chupi ya mume wangu, naitakasa kwa damu yako Yesu, anapotoka katika nyumba hii ivaliwe hapa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.