1. Start at her head kissing and licking , sucking {ears, neck, mouth, cheeks, lips} touching her softly at this time is very important.
2. Move very slowly to her shoulders and chest. Kissing...
Wanawake wenzangu hata km mtanishambulia kwa hili ila lazima tuambizane ukweli HIVI HIYO HAKI SAWA TUNAYOPIGA NAYO KELELE KUNA SIKU ITAPATIKANA?kuna mambo tunajichosha nayo mwanaume ni mwanaume tu...
You know who your friends are when you're going through a relationship crisis. Maybe your husband is coming up to 40 and has started acting strangely; perhaps you've caught him texting another...
Wandugu
mimi nimeishi Nchi nyingi za kusini mwa Africa,nimegundua Wanawake wanaotokea nchi yetu ya Tanzania ukikutana nao huku ni matatizo matupu
mimi nilikuja huku nikiwa bado kijana sasa hivi...
Heshima yenu mmu.Mimi hadi sasa sijajua nini au ni siri gani iliyopo. Unakuta mtu mmesonga ugali hadi umeiva na kwa kua kazi ya kusonga ugali ni ngumu huna budi kupumzika kila baada ya kusonga...
Nipo chuo fulani hapa Dsm,kuna msichana nasoma nae nimezoeana nae sana because most of time we spend together,yeye kashaolewa na ana mtoto mmoja,kanizoea kiasi cha kuniita mimi husband...
Ndugu zangu nimepata sms ya muumini wangu imenishtua sana na mimi nimeileta kwenu mnisaidie kutoa ushauri...
sms yenyewe ilo hivi..
Habari Mchungaji,Naomba unisaidie,nina Mume wangu ambaye tuko...
WanaJF nawasalimia wote!
"Siku hazifanani" ni msemo wa kiswahili uliozoeleka sana na ni waukweli.
Kwa sababu hiyo, wiki, miezi, miaka, milongo na karne nazo haifanani pia kwa sababu zinaundwa na...
habari zenu wana MMU?my boyfriend who was going to be my husband jus broke up with me,sababu nimemwambia a postpone dowry/brideprice because hatupo in good terms yani,kila mara ananiambia its...
Wadau hebu nisaidieni nampenda sna mume wangu na tangu tumetengana kwa muda wa mwaka na nusu sasa sijathubutu kuwa na uhusiano wowote na mwanaume mwingine tatizo mume wangu ni bondia namaanisha...
Kuna wakati wanakuwa hawaelewani na kuna wakati wanaelewana ,sasa mimi naumia sana hiki kipindi wasichoelewana,nifanye nini?kama kuna mke asiyeelewana na mama mkwe wake umefanya nini kuiondoa hali...
Kuna topic nilileta hapa kwamba kuna dada, boyfriend wake alichukua kadi yake ya gari na kwenda kuchukulia mkopo wa riba huko mitaani. na alipogundua wanataka kuchukua gari aligombana sana na...
Yani kuna wadada wazuri jamani, yani wameumbika utadhani wamechorwa, yaani ukiwaona unafikiria mara mia mia yaani ukimpata sijui utamfanyafanyaje!!, nitamnyonganyonga, nitambinyabinya...., yaani...
Natumain wote wazima...
jaman ndugu zako naombeni ushauri wa bure hapa mtaani kwetu kuna mwanamke anasumbua sana, huyu mama ni mke wa babu wa mtaani kwetu hapa umri miaka kama 55 hivi.. Ana nyege...
Wakuu
mnakumbuka week iliyopita nilileta mada hapa jamvini inahusu kupendana na mwanamke msomi,wote mliochangia nilisoma na kuelewa comment zena na nashukuru sana kwa sababu kuna mambo mengi...
Naamini kuwa huu ukumbi kuna watalamu wa kila aina na katika nyanja mbalimbali.
Mimi nina wife wangu na tuna katoto kamoja mpaka sasa kenye mwaka mmoja. Sisi lile suala la kucha kurushana roho ati...
Hii barua nimeidaka mahali, imenigusa, nikaona nishiriki nanyi.
Hello Stephanie,First I want to say how much I love your blog. You are doing something really different here. Well done! Ill like...
"Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mweyewe" huu ujumbe nimekutana nao mara nyingi ila kwa siku hizi unanichanganya. Ni upumbavu upi hasa unaotajwa hapa?na je kuna wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.