Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly. Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo...
3 Reactions
118 Replies
12K Views
Samahani kwa kutuma hapa kwani nimeona wengi haawafungui majukwaa mengine zaidi ya hili naomba wanawake na madada wa jf nendeni mkatembelee jukwaa la biashara kuna kitu kizuri nituma kwa ajili...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Leo nimesahau simu nyumbani. Kwa kuwa kazi zangu haziniruhusu kutoka nimeshindwa kuifuata hivyo nimeona bora nimpigie kwa landline kumjulisha kuwa aniletee. Alichonijibu kuwa eti, ni kwamba simu...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Naandika uzi huu nikiwa na mawazo sana na hapa nisaidieni kukoa jahazi na kurekebisha makosa yangu chonde jalini hisia zangu. Mwanagu wa miaka 9 ni mvulana na alikuwa mara kwa mara anapigwa na...
7 Reactions
134 Replies
7K Views
Mum and Dad were watching TV when Mum said, "I'm tired, and it's getting late. I think I'll go to bed." She went to the kitchen to make sandwiches for the next day's lunches. Rinsed out the...
1 Reactions
0 Replies
763 Views
Wasalaam wana MMU, Ukiwa wewe ni mtu mwenye ndoa yako unayoipenda na kuiheshimu,upo katika pilika zako za kuitafutia ugali familia yako uipendayo,na jioni ikawa imefika upo mahali...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Most time I sat down thinking about this three subject in which all women must try to pass if she want to make a good wife. The subjects are:- Cooking, Bed activities, Good character. Looking at...
0 Reactions
3 Replies
887 Views
Pata muda uone hii manenooo inavyo umiza.....Lol.....Najuuuuuta kuwafahamu...lol..! Mmhhh duniani kuna mambo!! Nilienda kumzika ibilisi wangu! Ilikuwa ni ajali kubwa na hata mimi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I want to know je,mwanaume anayekupenda kwa dhati utamjuaje....coz i dated two guys at different time and all of them walikuwa na lengo moja just sex.....
0 Reactions
22 Replies
17K Views
Habari wana MMU? Naam, mwisho wa mwaka ndio huo na festival season yakaribia. Huwa napenda kusafiri kipindi hiki, ila kwa sasa naona nimeishiwa plans. Naomba kwa uzoefu wenu mnipe ushauri...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuna jamaa alitaka kumwumiza mpenzi wake kwa masihara. Kwakuwa walikuwa mbali mkoani alimwandikia barua mpenzi wake: “Nimepata mpenzi mwengine wewe sikutaki tena! Kwahiyo ile picha yangu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenye mapenzi ya ukweli na ukiwa na mpenzio cheki ( angalia you tube song by heather nova mwimbo unaitwa " london rain" .American version Kama haujisikii mbinguni na mpenzi wako wewe...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Jee unafahamu kuwa asilimia 41 ya wanawake hawazungumzi na mama wakwe zao. Mothers- in-law, Asilima 41 hawana mahusiano mazuri na mama za wabwana zao. Hawazungumzi nao...
8 Reactions
43 Replies
5K Views
Mimi najua kuna weredi wa mapenzi zaidi yangu ila kwa leo nitaomba nieleweshwe kitu ambacho mimi kwangu kinanipa shida sana hasa pale unapokutana na mpenzi mpya! Kwa kawaida upatapo mpenzi utakiwa...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Mwanzo wa mapenzi... kila kitu kinawezekana dini siyo tatizo, kabila siyo tatizo, utajiri/umaskini siyo tatizo, tofauti ya mitizamo kutokana na elimu siyo tatizo.. katikati ya mapenzi...Endelea..
0 Reactions
0 Replies
3K Views
USIKU WA MASHETANI Mtu ambaye atakufa ndani ya dakika kumi aliishikiria briefcase yake vizuri huku akitembea kutoka nje ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Julius Nyerere.Kwa mwendo wa...
7 Reactions
15 Replies
3K Views
Hallow wana JF,naomba kujuzwa kwa wale wenye uzoefu ktk uwanja huu wa mapenzi,wawe wadada au wakaka,eti ni kweli wanawake waenjoy zaidi wanapokuwa kwenye malavidavi kuliko wakaka?maana wapo...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
hivi hii inaweza kuwa kweli eti sikutaka nisikie anawatu nisiowajua namind mbaya
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Once upon a time, there was once a guy who was very much in love with this girl. This romantic guy folded 1,000 pieces of papercranes as a gift to his girl. Although, at that time he was just a...
1 Reactions
1 Replies
804 Views
Hiyo hapo juu ni sura ya mwanamke. Ni sura ambayo pengine umeshakutana nayo mahali au ambayo unaijua vizuri. Kama kuna mwanamke mwenye sura ya aina hiyo, ambaye unamjua vizuri au ambaye uko karibu...
9 Reactions
37 Replies
27K Views
Back
Top Bottom