Katika maisha wote tuna siri zilizotuzunguka na mambo mbalimbali ya kifamilia pengine yanayotia kinyaa ambayo huwa tunatamani yasijulikane kwa wengine au labda yafutike kabisa. Lakini inategemea...
chei chei wajameni, Hili swala la kujenga urafiki na waume zetu,linakuwa rahisi muda gani?mana wakati mwingine father house hata kukuangalia anakuiba? yani yupo zaidi ya serious!
Habari zenyu bana!inasikitisha kidogo,juzi usiku nimepokea sms kutoka kwa mpenzi wangu ananishauri tuwe marafiki kama zamani.Nilijaribu kumtafuta nimuulize,nilimpata kwenye simu hakutaka kuongea...
Ni ndoto ya mvulana wa kawaida(an average boy) anayekua ambaye hajafungwa kimaadili na kiimani(not commited moraly&spiritualy) kuwa na
msichana baada ya msichana kadiri atakavyoweza. Akitegemea...
Am asking this coz most of the time if a husband cheats he will blame his wife.
He will say that his wife shouts at him even a small mistake or sometimes he will say that his wife doesn't care...
napenda msome maneno ya wimbo huu kwa makini.......
Woman"
I worked late but you didn't wait up
My bones ache, I'm cleaning the place up
Sometimes I don't even know why I care...
jamani eeehh.....jifunzeni usafi na hasa hasa usafi wa sehemu special mwilini....wakati wa kuoga, jisafishe sana sehemu za marekani...tumia maji ya uvuguuvugu na ujichambishe.....sabuni nyingi si...
Kiukweli nimeona nilete hoja hii humu ndani tuijadili, kwanini wanaume wengi wamekuwa ni chanzo cha uvunjifu wa ndoa? kwa kawaida mwanaume anapoingia kwenye ndoa mwanzo humpenda sana mkewe na wala...
Urafiki ni moja ya jamii katika maisha yetu ya kila siku na tunaweza kusaidiana katika matatizo mbalimbali yanayo weza kutupata na kuweza kuyatatua au kushauliana jinsi ya...
Nimekuwa na mawazo ya muda kuandika huu uzi ila mambo yalikuwa mengi nikawa nahairisha mara kwa mara leo ndo nimeona ni muda sitahiki sasa twende kwenye mada.
Je unajua kama watoto ni zawadi...
Mke wangu anatabia mbaya hata kama anajua nimetoka kazini nimechoka akiniona tu baada ya muda ni hata kama anajua nimechoka hakuna kupeana pole kwa uchovu yeye atakachofanya ni kuanza kuniuliza...
Nashukuru sana jamii forums kwani imenisaidia sana katika mahusiano yangu bila jamii forums sijui msaada ningepata wapi pia nahitaji kujua mawasiliano hasa yale ya simu katika mapenzi yanaweza...
:bange:Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka yale yale...
Utajisikiaje ukijua umemletea mwenzio UKIMWI au Magonjwa ya zinaa hali yeye alikuwa ametulia? Kama ni mama yawezekana alikuwa ananyonyesha na mtoto alizaliwa mzima lakini baadaye kwa kuwa bado...
Hivi karibuni, kuliibuka tetesi kwamba mwanamme na mwanamke waligandana huko Temeke Mkoa wa Salidalama baada ya kusaliti ndoa zao. Jana niliskia kwenye redio moja kwamba kuna Mganga ameibuka...
Sijui au niseme sikumbuki kama jambo hili limewahi kujadiliwa hapa kwa mtazamo huu,kama tayari mnaweza kupotezea,kama bado tujaribu kuona kama lina manufaa kwetu
Nimepata wazo kuwa,katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.