Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Of coz nampenda sana my girl friend but ana matumizi makubwa sana ya pesa na mengine siyo ya muhim sana na ukizingatia mimi kijanan najijenga bado. Naomba ushauri wenu ,je nimnyime au nifanyeje?
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Sasa kumegunduliwa dawa aina ya homoni inayoweza kuwazuia wanaume kwenda nje, au kuwa na uhusiano wa pembeni, Dawa hii iliyovumbuliwa Ujerumani inaitwa FIDELITY HORMON. Dawa ya uaminifu! Au...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hali zenu wadau wa MMU Kwanza niwaombe radhi kwa yale ninayotaka kuuliza ili kupatiwa ufafanuzi.... Kwa utafiti mdogo niliofanya, nimegundua asilimia 99 ya ndoa za siku hizi hufungwa baada ya...
5 Reactions
74 Replies
5K Views
Kwani wanaume hamtakiwi kupenda sana?wanaume kaka zangu muwapende wake zenu,mpikie mkeo,mvalishe,mlipie plastic surgery Kama anataka.mkeo afanye kazi akitaka yeye na pesa yake iwe ya...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Wana JF please nisaidieni katika hili! Chondechonde msinicheke au kunikejeli, I am dead serious. Nina tatizo! Kiukweli sijui mpaka leo kupenda maana yake ni nini! What is Love? Mtu unapaswa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kuanzia muda wowote leo, yatafanyika mazishi ya mama wa member mwenzetu (mama SMILE) ambapo atalazwa katika nyumba yake ya milele, naomba kuwambusha wana jf wenzangu kupitia uzi huu tumuombee...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Watu wanaoana kila siku kama siyo kila saa, duniani kote. Kuoana kunachukuliwa kama suala la kimaumbile, yaani ambalo lisipofanywa, maisha nayo yatasimama. Ukweli ni kwamba maumbile hayajui...
13 Reactions
28 Replies
4K Views
Nimeamua kuanzisha uhusiano wa kimataifa na kasamsingi kamoja. Tabu kanalalamika sijui kuvaa na mimi nimejitahidi kuvunja kabati lakini wapi. Hivi ndivyo inavyokuwa au?...:pound::angry::A S 20:
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Miaka 2-3 iliyopita kulikuwa na mdada mzuri sana katika pitapita yangu nikawa nimejikwaa kwake baada ya kumwambia kilichoni nisababisha nijikwae akasema pole lakini hapa hata panadol sina ni bora...
3 Reactions
71 Replies
6K Views
If you love two people at the same ,you should choose to love the second because if you really loved the first one, you wouldn't have fallen for the second.-Johhny Depp. What is your view?????
1 Reactions
25 Replies
2K Views
WAPENDWA TUMEKUWA TUKIONGELEA SANA SWALA LA JINSI YA KUTUNZA ndoa ,,unyumba nk ni vyema tuwe wazi ndoa za sasa nyingi zinaumia na tatizo la ukosefu wa watoto ni wakati muafaka sasa kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za saa hizi,, hii tabia ya kwamba wenzetu wamejipumzisha na mbavu zao za maisha kimahaba then wengine tena wenye mbavu za kwao wanakuja kuchungulia chungulia madirishani "kupiga chabo" kwa...
0 Reactions
59 Replies
4K Views
Samahani sana wanajf wkwa maneno haya kwani imenibidi niseme hapa nashangazwa na hawa kaka zetu wanapokuwa na jambo la kutaka kusema wao wanabaki wanaumia rohoni wanashindwa kusema wanabaki...
1 Reactions
42 Replies
9K Views
Lazima tukubali ukweli kuwa watajwa hapo juu ni mwanzo mwisho! Ni kama vile kila msimu wanafanya usajili wa nguvu sambamba na kujifua kwa jasho, damu na machozi ili asiwepo wa kupoteza mechi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Inakuaje umeanza mahusiano na mnawiki moja mwenzi wako anakwambia anataka mzigo je hapa kunamapenzi ya kweli au kufanya mapenzi ndo kigezo cha upendo wa dhati naombeni kujua wadau
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Jamani wana wa MMU ni matumaini yangu mu wazima wa afya nawamisi xana mpaka nahisi nimesaulika humu jamvini bt am back now 1love @all
0 Reactions
3 Replies
945 Views
Happy blu mandei wana jf Jamani naomba niwaulize from experience niliyoishuhudia toka kwa ndugu na marafiki wanaunizunguka esp gals, nilikua na marafiki zangu wawili wadada kwa vipindi tofauti...
3 Reactions
78 Replies
7K Views
Je, kuna umuhimu wa kuwasiliana na x wako mara kwa mara ilhali uko kwenye mahusiano mengine? Na nini faida na hasara ya kuwasiliana nae?
0 Reactions
4 Replies
987 Views
Wana jamvi, tangu niingie humu jamvini nimejikuta as days went on huyu dada anahit sana in my mind mpaka nasujudu kuweka bayana jamvini ili yeye mwenyewe ajue kuwa kwa jinsi tu alivyo amekua...
3 Reactions
83 Replies
6K Views
Wapendwa wana familia wa JF, Napenda kuchukua nafasi hii kwanza kumshukuru Mwenye enzi yote kwa maisha yangu yote nilipokuwa kwenye kambi ya mabachela kwa miongo mitatu iliyopita Hatimaye sasa...
12 Reactions
105 Replies
6K Views
Back
Top Bottom