Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

nn hasa maana ya love coz dzain naona wabongo 2meyachukulia tofaut
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu, Mwenzenu niliugua ugonjwa wa amoeba kwa muda wa miezi kama mitano hivi. Kama baadhi mnaweza kujua kwamba ugonjwa huu, ukishaingia kutoka kwake ni kazi sana. Ilikuwa nakunywa dawa mara...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
1. wanaume wanapenda uhusiano wa kirafiki, wa kumaliza haja yake aende kwake. 2. wanapenda wakiwa na uhitaji wa ile kitu basi iwepo njia rahisi ya kuipata, kama kutafuta mwanamke na kushiba. 3...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nafikiria kuishi single sitaki kuolewa wala kupenda mwanamume kwa moyo wangu wote kwa lengo la kutoumizwa tena. Kiasi nilichoumia kinatosha na leo nina furaha maana niko huru. Naelewa nitahitaji...
1 Reactions
103 Replies
8K Views
Nimekaa katika nyumba ya kupanga huu mwaka wa nne. Na nimekaa kwa amani sana. Miezi mitano iliyopita kunampangaji mpya kaja jirani yangu, yeye ni mwanamziki fulani hapa nchini. Mimi huwaninachoka...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Good day JF. nlikuwa ninapitapita online nikakutana na hii stori. I lol'd and decided to ask wanajamii kama ina ukweli wowote. as usual keep it clean plz no matusi nk, if u have a sensible...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Asalam aleykum Jamii, Nimatumaini yangu amjambo wote ningeomba kuchua wasaa huu kuelezea machache yaliyopo moyoni mwangu! Ni majuzi tangu nilipoondokewa na mke wangu kipenzi , Subira Alfred...
36 Reactions
80 Replies
7K Views
Wana jf,leo nimekumbwa na mkasa,ni hivi nikiwa chumbani na mke wangu sim yake ikaita kwa bahati nzuri nilikuwa karibu nayo namba yenyewe imeandikwa my smile nilipo muuliza akaniambie eti ni rariki...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Rafiki yangu alikuwa na mpenzi wake kipindi anasoma secondari...alimpenda sana!ijapokuwa ilikuwa ni distance love ikifika likizo lakini rafiki yangu hakuthubutu kumsaliti mpenzi wake!aliamini...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
ilikuwa tarehe 21.08.2012 nlipotoka job, wife alinipa taarifa kuwa mdogo wangu wa kike (mwenye salon ya kike kimanga) alimpigia simu kuwa amepata msichana na atakuja nae home jioni akifunga...
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Jina langu: mathew Umri wangu: 21 Natafuta: marafiki wa kuchati nao Umri : miaka 18-150 nakuendelea. Jinsia : MSICHANA/MVULANA. Napenda: marafiki wa kuchati na kubadilishana mawazo, pia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu, Mwenzenu niliugua ugonjwa wa ameoba kwa muda wa miezi kama mitano hivi. Kama baadhi mnaweza kujua kwamba ugonjwa huu, ukishaingia kutoka kwake ni kazi sana. Ilikuwa nakunywa dawa mara...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Yaani mnamkuta mdada.. Asubuhi akiamka yuko Bar anakula supu mchana Bar tena chips jioni yuko ktk pedicure n manicure anajiandaa na mtoko. Usiku ukiingia yuko Bar tena nyama choma na bia. Sasa...
4 Reactions
68 Replies
6K Views
Heshima mbele wana JF na mapumziko marefu ya weekend and eid el fitr,naomba kuongeza upeo tu kupenda kujua kwa wapendanao au walio ndoa kwa jinsia zote utajuaje kama mwenza wako ametoka nje ya...
0 Reactions
209 Replies
22K Views
Wanawake wanamegwa na midume hovyo akiona hapati mtoto kutoka kwa mume wake wa ndoa. Chanzo cha jitihada hizi ni kukwepa lawama kutoka kwa mama mkwe na mafiwi. Pia wanaume wengi hawako tayari...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Jina langu: mathew Umri wangu: 21 Natafuta: marafiki wa kuchati nao Umri : miaka 18-150 nakuendelea. Jinsia : MSICHANA/MVULANA. Napenda: marafiki wa kuchati na kubadilishana mawazo, pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kisa hiki ni kwa ukweli napia kinahitaji sana ushauri wenu kabla ya kuchukua hatua maana tusipoangalia maisha ya huyu kijana ambae ni mdogo wangu yanaweza kuwa hatarini kuna kiongozi...
0 Reactions
87 Replies
6K Views
Wapenzi wa JF, nimeamua kushare nanyi kisa hiki cha ukweli kuhusu yale yaliyonisibu usiku wa kuamkia leo. Nimekuwa na huyu mchumba wangu kwa zaidi ya miaka 2 sasa. Ni kijana msomi, mtanashati...
2 Reactions
67 Replies
7K Views
Nakumbukuka sana tabasamu lako siku za mwanzo liliweza kabisa kutibu magonja yote niliyokuwa nayo hata bila ya Dr. Nakumbuka tulivyokua tunatembea tumeshikana mikono huku tunapiga story nzuri za...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Mu-hali gani wana MMU, mie hapa buheri wa afya, Juzi kati nilikuwa maeneo flani, meza iliyofuata waliketi watu wanne. Kati yao walikuwa wanawake wawili na wanaume wawili. Ni watu wa makamo hivi...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Back
Top Bottom