Katika mahusiano ya kimapenzi,je nivyema kuanza na mahusiano ya kingono kisha baadaye mipango ya kufunga ndoa.Au mipango kwanza kisha tendo baadaye?.Nawasilisha.
Talaka huumiza kuliko kifo, hata hivyo kwa baadhi ya wanawake walioolewa sasa wanaona talaka ni uhuru na maisha.
Hujiona wao young and beautiful, hakuna mtu wa kumwambia fanya hili au kile, no...
PAIR ADIMU
Mhindi na Mswahili
Msomali na Mswahili
Mhindi na Msomali
Mzungu na Mwarabu
PAIR KAWAIDA
Mswahili na Mswahili
Mzungu na Mswahili
Msomali na Mwarabu
Mwarabu na Mswahili
Huwa najiuliza...
Jana nimesikiliza simulizi ya dada mmoja kwenye kipindi cha njia panda cha Clouds Fm. Sababu hasa iliyonifanya nikisikilize ni yale matangazo yaliyokuwa yakikitangaza kipindi hicho kuhusu mwanamke...
Kuonyesha too much cleavage sio sexy hata kidogo na inapunguza mvuto.
Kuonyesha kidogo tu ndio yenyewe, kwani tunahitaji kuanza kutumia imagination
yetu!!!!!!!!
Ndio, baada ya kutafakari sana mmeamua kuvunja mahusiano, kwamba hakuna mapenzi kati yenu na tofauti zenu ni kubwa. Mmoja kwenye mahusiano (Tumwite X) anajiona yeye ndiye yeye........Kifupi ujeuri...
Kila mmoja anajua namna vile ambavyo zile hadithi za hovyo za kudai kuwa mtu mweusi eti amelaaniwa na hana akili (inakera sana hii) zilivyoshamiri na kuathiri makuzi yetu,ndo maana ukimkuta...
Josie alinusurika.................
Josie alivyo sasa...
Josie akiwa na baba yake
Familia ikiwa pamoja, Lin, Megan, Russell na Josie....Megan aliuawa na mama yao Lin naye aliuawa
Josie akiwa...
Kwa mwanamke, ni nani aliye na mamlaka ya juu kwako kati ya Mume au Baba yako mzazi?
Kwa mwanaume, ni nani mwenye kipaumbele kwako kati ya Mke au Mama mzazi?
Toa sababu ambazo mmoja anamzidi...
About one in seven residents of Madagascars main port city of Toamasina are sex workers.
In less than 20 years, the number of registered sex workers in the city of about 200,000 residents has...
Zimbabwes Prime Minister Morgan Tsvangirai on Saturday circumvented a court ruling blocking his wedding after an ex-lover tried to stop the union.
Tsvangirai, 60, dressed in a black suit and...
Miaka ya nyuma kidogo niliwahi kuwa na uhusiano na binti mmoja,alikuwa na miaka 20,alikuwa mnene kidogo,..tatizo lilikuwa yaani kwa uzoefu wangu wa kipindi hicho na mpaka sasa siwezi kujua kwa...
ni last week tu nimetoka home kuja huku ninako hangaikia maisha ya famila!jana nimeongea na wife kwa skype hadi saa 4 usiku!!asubuhi napigiwa simu na namba ya jirani 'nipigie mimi mkeo usiku...
ikiwa wewe ndo baba/mama, unatoka kazini, ukiwa hoi kutafuta chakula na ada ya mtoto wako wa kiume mmoja tu uliyejaliwa, na baada ya kumpata, uliapa kumlea na kufight kuhakikisha anapata elimu...
A couple had only been married for two weeks, but the husband, although
very much in love, couldn't wait to go out on the town and party with
his old buddies. So, he said to his new wife...
kwako leo najitosa, yamoyoni kuyasema
nitajitenda makosa, kama nikikaa kimya
kwangu wazidi kipusa, wa-watoto wangu mama
Hongera mke wangu, siku yako kuzaliwa
wazidi nipa hamasa, siku...
Hivi sasa nikiangalia, naona watu wengi wasio na furaha ni wale wanaojaribu kushindana na hali halisi. Mawazo yao iwe wanajua au hawajui huwaambia kwamba wanaweza kuthibiti hali halisi. Ukweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.