Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mambo wana JF? Mi nna mpenzi wng ambae kwakeli nilimpenda sana. Ila tatizo la uyo demu ni kwamba ye ni mtu wa dini sana kiasi cha kwamba nkimwambia tusex anakataa anasema 2subiri mpk ndoa. Sasa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
wana jf, habari zenu.. Ni matumaini yangu kuwa ni wazima na mnajiandaa vyema na weekend. Kama uzi unavyosomeka, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 ni mwanafunzi wa chuo hapa jijini dar...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
wakuu habarini, ninampango wa kuanza kuishi na mke wangu, nilioa muda yapata miaka 5 iliyopita, maisha yalikuwa ya kusoma na tulikuwa tukionana mara mbili hadi tatu kwa mwaka, yaani nyakati za...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Let's say its a weekend jumamosi flani tulivu hivi.. Siku hiyo uko njema vibaya mno umepiga magumashi yako taa ya kijani itawaka.. Mara Ukakumbuka kale kabinti unakokatoleaga udenda daily...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
1. Mwenye uwezo wa juu wa kukuhudumia, kimapenzi,kulea watoto na familia yote ukiwemo na wewe mwanaume, hata kama hana elimu ya kutosha. 2. Mrembo hadi wanaume wanajikwaa, lakini sifa ya kwanza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
dada mmoja mwenye umri kati ya miaka 30 - 35 alikuwa anaishi jirani na mtoto wa kike mwenye umri kati ya miaka 8 - 12. dada huyo alimpenda sana yule mtoto kwani yeye hakuwa na mtoto wala mume...
0 Reactions
77 Replies
6K Views
Mwanamke huwa kama pasi huchelewa kupata joto na hutunza joto kwa muda zaidi hata baada ya kumaliza kupiga pasi.Inatoke mwanaume anafika nyumbani kutoka kazini anamkuta mke naye yupo nyumbani...
30 Reactions
69 Replies
7K Views
"Whats wrong with 'ME'...I FEEL SOMETHING FOR MY SISTER WHOM WE SHARE A MOTHER BUT DIFFERENT FATHERS. I 'vent dared tell this to anyone not even her. I cann't get her out of my mind. What...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Makampuni ya ulinzi kwa kweli yanakwenda na wakati. Kwa sasa wanaajiri mabint warembo ambao siku za nyuma walikuwa wanapatikana kwenye mapokezi ya mahoteli na ya maofisi makubwa hapa town...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamii naombeni niwashirikishe katika jambo muhimu nalo ni msaada ni mambo gani muhimu ya kumuasa mwanangu wa ubatizo wakati wa kumpongeza na kutoa nasaha kwa kupokea kipaimara katika kanisa la...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hebu wadau sikieni hii,Baby naomba unirushie salio la ths 5,000/=halafu hivi niko njiani nakuja kwako ila sitakaa sana,kama dk 5 hivi, naomba uniandalie kuku na chips nakuja na rafiki zangu,halafu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nawasalimu Wakuuu!!! Kuna mdada tunafanya nae kazi leo kaniomba ushauri, sasa sijui imekuaje ofisi nzima aniombe mie ushauri, au nimekubuhu sana mpaka usoni nimenza kuonesha nini? Mimi humu...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
verytime you hurt me, but, i dont get angry with you. Everytime it pains, but, i dont say a word to you. Everytime you say sorry, i forgive you on the spot. Because.. Everytime you make a...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamii, nawaombeni kwa heshima na taadhima: Humu JF kuna watu wa kada tofauti tofauti, na watu wa age tofautitofauti. Nimekuwa nikichat na watu humu JF na kama mjuavyo tena humu...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
"WABONGO WENGI HUVUTIWA NA MAKALIO NA MATITI MAKUBWA, HIVYO NAAMINI NITAWANASA WENGI"......BABY MADAHA KATIKA kusaka mvuto wa kimahaba, msanii wa filamu na muziki, Baby Madaha...
1 Reactions
33 Replies
21K Views
Wandugu wana Jamvi natumaini mu-wazima na mmeamka mkiwa bukheri wa afya!!!! Asubuhi ya leo napenda tushirikiane katika kuimarisha mapenzi yetu katika ndoa zetu na mahusiano yetu!!! Hata mwili wa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari wakuu.Mimi mwenzenu niliachana na maisha ya ukapera yapata mwaka mmoja na nusu sasa baada ya kufunga ndoa takatifu na my beloved.Pia nashukuru Mungu kuwa ninaishi vizuri na shemeji...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Jamani kwa namna moja au nyingine nilijikuta na fanya utafiti usio rasmi. Nimeuliza wanawake kama 7(ninao waami kiasi chake) kujua kama wao huwa wanaota ndoto za kufanya mapenzi? Jibu nililopata...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Imezoeleka sana mtu anapokua na uhusiano na ukafikia ukomo huhuzunika,sijui kwanini?Lakini kitu kinachonishangaza zaidi ni pale mtu mmoja anapotakwa kuanzisha uhusiano anapokataa yule alieanzisha...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Research have revealed that the frequently asked question by girls immediately after SEX is "WHERE IS MY UNDERWEAR".what do you think guys!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom