Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Huyu mke wanu sijui nimfanyeje, anajiona ana akil na muweza kuliko kiumbe yeyote duniani. ananinadharau na kuniona mimi na ndugu tu mazuzu. Amevuka mipaka, hata na baba yake naye hamhehimu wala...
0 Reactions
117 Replies
11K Views
habari zenu wapendwa, kuna kaka mmoja alinipigia sim lakini akawa amekosea namba baada ya kujua kua kakosea akaniomba samahani nami nikaendelea na zangu, kilichonishangaza alinipigia tena na...
0 Reactions
90 Replies
8K Views
najitokeza mbele enu wana jf wenzangu!! Nipo kwenye mahusiano na binti mmoja ambae ninatumaini mungu akijali baada ya miaka 3 niwe nae! Nimekua ktk mahusiano kwa miezi 5 kutokana na tabia yake na...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimeshuhudia ndoa nyingi zinavunja kwa 7 ya cm ..wanawake kwa wanaume wote wanaumizwa na mapenzi kwa 7 ya cm kama unapenda mke wako au mume wako kwa nini ufutilie mpaka kwenye cm ,sms kwa wanaume...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Hii nimekutana nayo sehemu fulani hivi akina dada walikuwa wanamchamba mama mtu mzima ilivyoonekana huyo mama anapenda vijana.Hivyo hao dada walikuwa wanamwambia hukufanyw..... Ukaridhika enzi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Is it coz... 1) You won't get over your ex. 2.) You're Scared Of Commitment & Heart Break. 3.) Because you want what you cant have. 4.) You flirt too much. 5.) You don't act like you're ready for...
15 Reactions
64 Replies
5K Views
Ingredients: 4 Laughing eyes 4 Well-shaped legs 4 Loving arms 2 Firm milk containers 2 Nuts 1 soft, warm mixing bowl ... 1 Firm banana Directions: 1. Look into laughing eyes. 2...
15 Reactions
101 Replies
7K Views
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi unajisikiaje kumkuta binti kigoli hana kucha katika vidole gumba vya miguuni.wengine wanajitaidi kuvipga rangi lakini wapi! nitarejea kidogo
1 Reactions
47 Replies
15K Views
naombeni ushauri na nifanyeje ninampenzi wangu ambae tumekua kwenye mahusiano kama miezi 4 iliyopita amekua muongo kwangu kwani nimegundua historia aliyoniambia kuhusu maisha yake niyauongo yote...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Za siku nyingi wana Jf. Ebwanae, mimi nimepanga kama mjuavyo kupanga kuna mambo mengi. Sasa katika nyumba yetu hii kuna dada mmoja inasemekana ni mlokole[maana sijawahi kumwona anatembelewa na...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari wanaJF, Je ni mda gani unaeza kukaa bila kufanya ngono na mwenza wako ie boy/girlfriend?? Wht abt married couples???
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nlipokuwa form one mwaka 2004 nlitokea kumpenda sana msichana fulan, nilimpenda sana tena sana, nilipojaribu kum-approach alinkatalia (naamin alinikataa kipindi kile kwa sababu alijiona mdogo)...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi kwa nini mtoto anapozaliwa anabeba jina la baba, Mfano Jasmine Ali na isiwe Jasmine Sara....? Kwa nini wanaharakati wa mfume dume huwa hawalisemei hili jambo? Ili wanawake waweze kukomboka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habarini wanaMMU. leo asubh nikiwa kwenye dalax2 nilisikia mjadala ukiendelea, cjui ilikuwa ni cd ama radio station. mjadala ulikuwa unasema kwamba mwanaume ni dhaifu tangu mimba inapotungwa kwa...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
· I, with a deeper instinct, will choose a Woman who compels my strength, who makes enormous demands on me, who does not doubt my courage or my toughness, who does not believe me naïve or...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
mbona ijumaa ya leo hajaweka kesi yoyote....? Mi nasubiri hadi muda huu cjui kapatwa na nini leo.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf tushirikishane hili suala muhimu! wapenzi au wanandoa wengi wanapotaka kuanza mahusiano yao huulizana maswali kama haya...'unasoma wapi, unafanya kazi gani, we ni mnene au mwembamba n.k'...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
A LADY'S INBOX: 1..I luv u dear Invisible 2..Can i take u out tonite? Nyani Ngabu 3..I always feel bad when I see u with another man Asprin 4.. Sweetie don't forget d trip The Boss...
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…