Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Usitake kujua ni new member ama lah. Wewe nikaribishe tu hapa tuwe tunajadili yale ambayo yanafanya dunia izunguke na isife. Sex. Nikaribisheni tafadhali maana hii forum MMU wajua nini...
3 Reactions
238 Replies
14K Views
Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo.. Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kuna mambo huwa yanashangaza na pengine kuchekesha, ni kisa cha huyu Jirani yangu. Kila siku amekuwa akimsimulia mkewe juu ya wapenzi wake wa zamani hasa pale anapowaona akiwa na mkewe...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
habari za jioni wana jamii!? nipo kwenye costa natoka Bagamoyo kutembelea rafiki zangu. jambo ambalo limenituma hadi naanzisha hii thread ni kwamba kuna mtu amekaa siti ya nyuma yangu ana simu...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Someone once told me that:- "couple's first fight sets tone for all future's arguments" Je kauli hii ina ukweli? Tujikumbushe kwa kujibu maswali yafuatayo:- Do u remember ur first fight...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Nimekutana na rafiki yangu mmoja analalamika kuwa anaukilema yani ana mb*** kubwa(mguu wa mtoto)wanawake wengi anaowapata wanakimbia au wanatumia mikono kumzuia asiweze kushugulika vizuri hapo...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Unakuta ulikua na gal wako tangu zamani,ila inapofka kipindi anaingia chuo kikuu,anaanza kukupotezea kistyle.ivi siku akijidai kujirudisha kwako,utampokea kweli?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna watu wanatamani siku zirudi nyuma wasahihishe makosa waliyotenda.Sasa nakuuliza,je huyo mkeo/mumeo unajuta kuwa nae,huyo mchumba wako unajuta kumchumbia/kuchumbiwa nae?Vipi kama siku...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
hivi kuna faida gani kuhadahiwa na maumbile yenye mvuto halafu ukamshupalia mtu ambaye hana harufu hata ya kukupenda? Mimi wenzangu ninampenda yule tu anayenipenda.........mambo mengine...
1 Reactions
74 Replies
5K Views
Karibuni nyote Pemba huu ndo usafiri wetu Jamani karibuni sana Pemba tudumishe muungano. Tayari tumesha oa bara sasa mje hata huku kusalimia wakwe zenu. Pemba kuzuri jamani kuna kila aina...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Naomba kujua mawazo yenu juu ya hii habari... Nataka kupata jibu lako kama heading inavyojieleza wadau....
0 Reactions
36 Replies
2K Views
N i kisa cha kweli imenitokea leo. Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji, mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu. Hivyo tukawa tunawasiliana na...
0 Reactions
93 Replies
8K Views
Kwa mbwembwe nimeingia, salamu nawatakia Za watoto nawaitikia, wakubwa naamkia, Swali nawaulizia, natumai mtajibia, Mgeni siku ya kwanza, ale na kubakishia? Mgeni akikujia, kutoka maili mamia...
5 Reactions
29 Replies
5K Views
. . . .ever been told that? Kama ambavyo watu hua wanatamani kuambiwa "NAKUPENDA wewe" na kufurahia wanapoambiwa hivyo. . .je ni vipi ikiwa kinyume cha hapo? Ukiambiwa "NAKUCHUKIA wewe" na...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Familia moja ilikua na House Girl, alikua haruhusiwi kukalia sofa sebleni, haruhusiwi kula meza moja na familia ya mwajiri wake japo chakula kapika yeye, alilalia godoro jembamba la nchi 1.2...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wapendwa wangu wa jf nimekuwa na hili swali kitambo kidogo na nadhan hapa leo ntapata majibu hasa wakaka naomba mniambie kwa uzuri hivi inakuaje mtu mpenzi wako yeye anataka mchat tuu saana na...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Huyu kijana amegeuka kuwa hatari hapa mtaani ninapoishi. Mpaka sasa kuna ndoa kama saba hivi ambazo inaonekana jahazi linaelekea kuzama kutokana na ushushushu wa huyu kijana anayedai eti...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu mabibi na Mabwana Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema. Kitu kimoja...
26 Reactions
162 Replies
17K Views
hi m a Kamasutra teacher in Nirvaana school of sexual art. i m instructor of kamasutra an art of love making plz. Ask any question and i eill aanswer it. We are in kenya but want to open school...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Toka utotoni nimelelewa kwe familia ya watoto sita nikiwa wamwisho kwe madada watano ...mda wote nimezoea kupikiwa toka utotoni hadi namaliza chuo mwaka jana na kupata kazi..juzi nimerudi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…