Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

hajaoa, nimesikia kny hotuba yake..... jamani eeeh am singo..... nani hataki kupanda VX?lol
6 Reactions
114 Replies
13K Views
neno libwata linatumika wakati gani wa JF
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Nakumbuka ilikuwa mnamo mwaka 2007 Ndipo tukio hili la kufedhehesha lilipomtokea ndugu yetu wa karibu,kwa jina mangi toka moshi(samahan cyo mangi wa jf) akiwa na umri wa miaka 26,alikuwa ndio...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
akina dada uliweza kumwambiaje mama au baba ako kuwa unamimba wakati bado upo nyumbani? na makaka mliwaambiaje nyumbani kuwa kunabinti anamimba yako? je mlianza kumwambia baba au mama? na ulisemaje?
0 Reactions
3 Replies
961 Views
Jamani kwanini wanaume wakiafrika or let me put this way black men (blekiiiiiiiii men) wanamatatizo fulani mbona mimi naona idadi nyingi tu wenye vihela kidogo au majina yao kishapanda chati...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Mvua iliyonyesha jana hapa Jijini Arusha na hata pembezoni mwa mji imeleta maafa ya watoto watatu wa familia moja ya Mbayana Loshilaa anayeishi Wilaya Arumeru Mashariki Kata ya Mwandet karibu kbs...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mapenzi ni uwekezaji. Ukiwekeza sana utavuna mno. Na ukiwekeza haba utavuna kidogo. HIGH RISK HIGH RETURNS - NEGATIVE OR POSITIVE!
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Nimeipata hii kwenye mkasi EATV. "Mpende akupendae, asiyekupenda MHONGE" Imekaaje hii? Inamaana wote wanaohonga hawana mapenzi ya kweli? Na mapenzi ya kweli ni yale ya kupendana tu bila...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Tafiti mbalimbali zinaonyesha kwamba busu ni kitu muhimu sana katika kukuza UPENDO. Imefahamika kwamba kumbusu mwenza wako wakati wa kutoka nyumbani, kuteremka garini na wakati wa kurudi nyumbani...
3 Reactions
64 Replies
4K Views
Hahahahaha Nilikua na wakumbusha tu kwa sababu watu wengi sana hasa vijana wa sasa wamesahau kuhusiana ba hilo swala! Jihazarini!
9 Reactions
54 Replies
4K Views
Hi JF members,.. Nahitaji msaada wenu....hv karibuni nimetoa bikra yangu ingawa cna uhakika if kweli imetoka kwani nilickia ikitoka damu hutoka pia bt mimi cjaona damu..mnavyoona bikra imetoka au...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu marafiki mtakuwa mko poa na mnaendelea na majukumu ya kazi za kila siku. Kama kawaida kupitia safu hii tunapata kujifunza yahusuyo mapenzi.Ninapoandika makala haya, najaribu...
1 Reactions
14 Replies
8K Views
...nimezaa na wewe sikatai. ....cjafika kwenu sikatai. ...sijatoa mahari siikataaiikabsaaa. Lakini kumbuka kwamba tulivyo dondoka ktk penzî.... Wote tulikua vipofu...kwa nini leo uhatarishe...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za jumanne ya leo wana JF? Nadhani imekaa vyema kabisa.mimi leo ningependawasilisha ishu moja nimepewa na rafiki yangu mmoja wa kike. naomba nieleweke kuwa hatuna uhusiano wa aina yoyote...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Yamenikuta! Naambiwa fimbo yangu iko mbali nikubali yaishe! Matatizo ya maisha yametufanya mimi na mke wangu tukubali ushauri wa rafiki yangu wa kumruhusu mke wangu akatafute kibaruwa umangani...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
.....................
0 Reactions
15 Replies
4K Views
habari wanajf, nina rafiki ambaye tunachukuliana kama ndugu,ila undugu unaharibika sehemu moja tu,na jamaa/boyfriends wake.Nimekuwa nikisumbuliwa na kila jamaa anaekuwa nae,na mara jamaa akianza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, nadhani tuwe na uzi utakaotusaidia materials kuhusu mapenzi, mahusiano and related matters! Knowledge is power. 1. Love to dare. Hiki ni kitabu cha kikristo kinachoonesha how married...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Tulikuwa tumetoka outing kwa ajili ya kupata winywaji na kubadilishana uzoefu, na katika mazungmzo yetu tulifikia mahali tukajikuta tukizungumzia masuala ya familia na hapo ndipo aliponijulisha...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Nita list ambazo ni zangu.. Na ww weka zako 1-Freedom 2-Losing in love 3-Fear of being controlled 4-Responsibility - the biggest scare
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…