Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwa wahusika wote, nataka na ninapenda mashuga mamy,yaani I don't feel to be with Girls coz ni Wazinguaji sana,halafu waongo katika Mapenzi na wezi wa mifukoni. Hivyo Sasa,nikiwa serious kama...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
niliachana na mchumba wangu miezi 3 iliyopita baada ya kumfumania akiwa na kishanshuda po mwingine. niliumia sana ukizingatia alikua keshantolea mahari na tulikua kwenye process za kufunga ndoa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wadau ninashukuru kwa michango yenu yote.....,kila aliyechangia nimemuelewa, Pili nasikitika sana sikuwa hewani kwa muda kutokana na masuala ya kikazi hivyo sijaweza kuwajibu kwa wakati...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
enyi wanaume wenye nyumba ndogo,nawashauri kuwa,mnapoamua kuzaa na hao nyumba ndogo zenu,jitahidini kwenda kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa la sivyo mnatunza watoto wa wenzenu! kama hamjui hizo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama uchovu na ukosefu wa usingizi ndivyo vinavyowafanya wanawake ambao wamejifungua karibuni kutoshiriki kwenye tendo, hapa kuna sababu nyingine ambayo pengine ni muhimu zaidi. Ni ipi hiyo...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
Huyu m2 ni vip or ndo utoto unamsumbua ni demu wangu but sijawahi mshika hata mkono nikitaka kumkiss ananiambia hadi amalize form six daa au ni PCB inamchanganya embu naombeni msaada kuhusu uyu mtu!
0 Reactions
85 Replies
6K Views
Wanajamii hasa wanawake nataka kupata maoni yenu juu ya adhabu ambayo utampa mume0 ikiwa "kateleza" katembea na mdogo wako wa tumbo moja baba mbalimbali ukiwa mjamzito karibu na kujifungua!ukajua...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Wana JF siku zote wanaume ni wabunifu sana. Siku hizi wanaume wanaopenda kuchukua wale wanawake ambao wanakuwa na makubaliano ya wakishamaliza majamboozi wanawalipa, sasa kinachofanyika mwanaume...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Imeandikwa kwenye The Guardian on Sunday (1 Apr 2012) [siamini kama hii ilikuwa inahusiana na 'Fools Day prank] kwamba karibu asilimia 50% ya wanaokwenda kuangalia kama ni 'biological fathers'...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwalimu vs bankteller, yupi wife material? Hebu check ratiba za kila siku za mwalimu na bankteller. MWALIMU; Anaamka saa 12 asbuhi, anasafisha nyumba nakutengeza...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Picha haihusiani na habari hii................ Hebu tuchukulie kwamba, uko kwenye mizunguko yako mahali fulani kwenye mji unamoishi. Mara unamwona mumeo au mkeo, au inawezekana ni mpenzi wako...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
READ BELOW BEFORE LISTENING The story is this: a girl was out with friends having drinks on King St (in Toronto ). This guy approaches her and won't leave her alone -saying how cute she is...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana niliweka mada hapa kuhusu fumanizi au kutoka nje ya ndoa. Na leo ningependa kuzungumzia jambo hilo. Hebu fikiria kuwa umedhibitisha kwamba mwenzako sio mwaminifu, yaani ametoka au anatoka nje...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
.....d'u belive hiyo makitu hapo juu?.... Unaipa/ unayapa nafasi gani katika maamuzi ya matendo yako? Hebu tubadilishane mawazo aisee... Huenda nazeeka vibaya, au sijui ndio mid life...
3 Reactions
53 Replies
6K Views
Mara nataka ice cream saa saba usiku...mara nakuchukia kama nini...mara hamtaki tv ili mradi vurugu tu.. je kuna namna gani ya kupunguza hormones hizo za hasira na kulialia pia kuwachukia...
0 Reactions
60 Replies
5K Views
Najsikia vyema kuingia ktk dunia hii. Naombeni mnishauri nitanufaikaje na huduma hii ktk maisha yangu?
0 Reactions
5 Replies
885 Views
Bofloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukiwa na buku tu unafika popote na shemeji ukiwa umepanda na mpambe mnaenda kumfuata dada mtu mitaa ya kati. Kwa hali hii mikebe sasa kupanda watu tutakuwa tukipanda kipindi cha masika kiangazi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu kaja jana kunilalamika kuhusu mama yake mdogo kuwa ana roho mbaya sana hataki watoto wa dada yake wapate bali watoto wake tu. Jamaa kaniambia alikuwa anafanya kazi kongo kwenye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
NINALIOGOPA SANA JAMBO HILI: Amini usiamini, lakini huu ndio ukweli wenye uchungu! Hakuna jambo ninalolihofia zaidi ktk maisha ya ndoa kama kusalitiwa Na ndio linitialo khofu kuoa! Hiyo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…