Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

....Baada ya mpenzi wako kutoka kwenda uwani,unafungua simu yake kama kumchunguza ktk (inbox) unakuta ujumbe huu... "...Honey am sorry,ukweli nilikosa jinsi ya kuwasiliana na wewe kwa kweli...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
mitandao hii inamengi sana jaman......kwanza;habar wanajf nilipata email ambayo sikumfaham mtu huyo..akirequest friendship...sikujibu sikuileile,ilipita kama wiki tatu nikaijibu.Yule mtu akaanza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kulikuwa na msichana kipofu aliyejichukia mwenyewe kwa ajili ya upofu.Alimchukia kila mtu isipokuwa boyfriend wake.Siku moja akamwambia boyfriend wake kama ningefanikiwa kuona dunia tu kwa macho...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Mchakato wa Kumtafuta JF Man of the Year 2011 umekamilika baada ya kupigwa kwa kura za maoni na baadaye kuwashindanisha walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi JF. Tafadhali Rejea katika uzi ufuatao ili...
12 Reactions
230 Replies
11K Views
Hivi ukigundua kuwa jirani yako huwa anakupiga chabo kila siku wakati unaoga au umelala na mkeo/mumeo utafanya nini ili hali yeye mpiga chabo hajui kuwa umeshagundua hiyo tabia yake? Hebu toeni...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wana JF wenzangu, mwenzenu nina mchumba na ndie ninae tarajia kufunga nae ndoa, tunakutana muda tuutakao na kupeana mambo yote ya kimahaba na tunapendana sana. Tatizo langu ni kuwa NAPATA NDOTO ZA...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
WAPENZI WAKIWA KWENYE PIKIPIKI Msichana:mpenzi punguza mwendo hii ni hatari jamani. Mvulana:usijali mpenzi mi naona mwendo uko poa tu. Msichana:simamishaaaaaaa pikipikipi mpenzi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Source: Mwandishi Joseph Shaluwa, GP. Yes...sasa twende sawa katika mada yetu. Kama mtakumbuka vizuri wiki iliyopita, nilieleza kwa kirefu juu ya penzi lililojeruhiwa. Kwamba ni ile hali ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna kamsemo kuwa maisha huanza ukiwa na miaka 40. Je kuna ukweli kwenye kaulimbiu hii? Madai huwa kabla ya 40 bado ni limbukeni unarukia mambo kwa sababu hujakomaa na huna busara. lakini after...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
MKAZI wa Tungi Kigamboni, Dar es Salaam, Nicolaus Maganga(21) aliyevunjika mguu takribani miezi miwili iliyopita kutokana na ajali yapikipiki amefika katika ofisi za gazeti hili, jijini Dar es...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mchakato wa Kumtafuta Malkia Wa Jukwaa La MMU yaani "Queen Of MMU" for the Year 2011 umekamilika baada ya kupigwa kwa kura za maoni na baadaye kuwashindanisha walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi JF...
4 Reactions
66 Replies
4K Views
Mimi ninampenz wangu ambaye tumeishi naye karibia miaka miwili kwa sasa,tunaishhi vizuri sana pia huwa mara nyingi tunafanya mapenzi vizuri na tunaridhishiana lakini siku hizi nahisi nina tatizo...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Jana wife alizua varangati kubwa saa 3 ucku, akidai anataka kwenda kwao eti nyumba inatisha. Nikampoza kidizaini, akapoa. Leo tena saa 1 ucku kazua tafrani nyengine. Alitaka Ice Cream...
0 Reactions
3 Replies
803 Views
......Kwa wale wakristo wanafahamu kuna andiko kwenye Biblia linasema adui yako ni yule wa nyumbani mwako..Nilikuwa sielewi vyema msingi wa hili andiko..Lakini siku za karibuni nimeona wasichana...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Je inafaa kumlinda mpenzi wako au tuseme mali yako?? Na kuna mipaka ya kufanya hivyo ?
0 Reactions
5 Replies
940 Views
Asanteni wanaJAMVI kwa ushauri wenu wa hapa na pale, hata kwenu ninyi mliokejeli asanteni kwa sababu mlichangamsha JAMVI. Leo hii nimeamua kubadili namba zangu za simu kumwepuka huyu "dada" ambaye...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Jaribu kupitia maeneo mbalimbali ya burudani na starehe za hapa na pale utagundua hawa jamaa hauwez kuwakuta huko..ni jambo lililo wazi kwamba hawa jamaa wana-run uchumi wa Tanzania kwenye nyanja...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za wkt huu mabibi na mabwana!!ebana,kuna shori mmoja hvi yuko mwaka wa kwanza hapa ud,nlimpgaga sound tangu last semister,akawa kaingia line bt akawa ananchomolea kunionjesha tunda,sasa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wasalaam, Mimi ni kijana mwenye familia ya mke mmoja na mtoto. Sijwahi kuwa na ugomvi na mke wangu isipokuwa tangu mwezi uliopita, amekuwa yuko kimya sana (amepoa sana) na hachangamki hata...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dutroux Julie Lejeunes mhanga Melissa Russo Julie na Melissa Sabine Dardenne Dutroux akiwa mahakamani An Marchal na Eerfje Lambrechts Michel Lelievre Bernard Weinstein Jean Michel...
10 Reactions
25 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…