Nimewasikia Akinamama waliokuja kumfariji shangazi yangu baada ya mume wake kutafuta nyumba ndogo na kuelekeza nguvu zote huko wakimfariji na kumwambia kila jaribu lina mlango wake wa kutokea...
Inazidi kuthibitika sasa kwamba,wanawake huwa wanatoa harufu fulani chini ya kwapa zao ambayo huwafanya wanaume kuvutika kimapenzi kwao.Harufu hiyo ambayo inafahamika kama pheromone haisikiki...
mwanaume anapokuzushia kutembea na wewe kwa sababu ya uzuri wako,kutoelewana,kutaka kuonekana kijogoo
na jamii ikapotoka kuhusu wewe, ni nini utakachofanya dhidi ya mwanaume huyo?
Obama's transgender ex nanny outcast
JAKARTA, Indonesia (AP) Once, long ago, Evie looked after "Barry" Obama, the kid who would grow up to become the world's most powerful man. Now, his...
Tushirikishanie hii kama hatukuwahi kuisoma, ni habari toka kwa mwanajamii mwenzetu:
Kazi tunayo kizazi hiki,
Kuna hii nayo ilipatikana kanisani, pale mchungajai aliyealikwa
kutulisha neno...
Nimejaribu kila njia kueleza hisia zangu kwa member wa hapa JF lakini naona mwenzangu ni kama vile haoni jitihada zangu sijui nifanye nini zaidi ya hapa, inauma sana unapompenda mtu lakini yeye...
Kweli zinachosha na tabia zao za mizinga.
Halafu uankuta mna ka beef lakini lenyewe haliachi kutuma message za kupiga mizinga.
Utasikia jamani baby nina shida sijui ya nini, pumbavu nyie mkoma...
Ina sikitisha kwamba tabia hii bado ipo hadi leo.
Nakumbuka nikiwa mdogo (ingawa ilitokea mara moja tu) mjomba
wangu aliwahi nichapa kwakua nilienda kumuwashia sigara na nilipo
mpelekea ikawa...
Mara nyingi tunapo pata ajali tu na kupoteza baadhi ya viuingo vya
miili yetu tua mlalamikia sana Mungu.Lakini kuna wengine wanatamani hata huo mguu/mkono
mmoja ungekuwa nao.
Tumshukuru Mungu kwa...
MONDAY, JANUARY 3, 2011Episode 2: Why Should I Not Open My Legs?
Every girl at some point has dreams of a happy marriage and kids. We are not exceptional; we had those dreams and somehow still...
habari zenu wapwazi, cjakanyaga jukwaa hili kwa takribani mwaka na miezi kadhaa japo kila cku natembelea jamii forums kuliko akaunti yangu ya facebook na twetter, nimekuja na jambo moja jamani...
Wana JF Nakusalimieni
Kuna demu 1 niko naye kama miezi 5 sasa, ambaye nimepanga kufunga naye ndoa. Kabla sijachukua uamuzi wa kufunga ndoa nimekuja kwenu kupata nasaha zenu. Huyu mke...
Mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita na kuchaguliwa kuingia chuo fulani kikuu huko Dom mwaka jana. Nimelelewa kwa mapenzi makubwa ya baba na mama ambyo yamenifanya niwe na mafanikio sana ya...
Wajamen habari yenu! Naomba niwashirikishe hili jambo ili mnipe mawazo/ushaur wenu. Kuna jamaa yangu alikua na rafiki wa kike, walikua na urafiki tangu primary na urafiki ulianzia kwenye...
BY MARIE-CLAIRE NDIKUMANA, 2 MARCH 2012
Comment
Bujumbura Prostitution is no longer taboo in Burundi. It is quickly becoming a widespread phenomenon, due to the deteriorating living...
MAPENZI YANANITESA NIPENI USHAURI
Nimefikiria kwa muda mrefu naona nazidi kupoteza muelekeo. Naombeni ushauri wenu wa mawazo naweza kufarijika kwani nipo njia panda. Ninampenzi ambaye kwa kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.