Hellow MMU members, nawasalimu kila mtu kwa imani yake!
Ni mara chache mno watu huwa wanakuwa wazi esp ktk maswala yao ya kweli kwenye maisha! Nikezungumzia suala la mapenzi mm kwa namna moja...
Girl Friend wangu kanimwaga kisa nilichelewa siku ya father Valentine. Nilimpigia saa 3 usiku. Hakupokea baadae siku ya pili akaniambia yeye na mimi basi. Kwasababu sikumpigia simu mchana mzima...
WANA JF, kwa nini wanawake hawa wa mjini huwa wanajikiria wao tu, kuna mifano kadhaa kwa msichana wa kaka yangu, amemnunulkia zawadi mbalimbali ili aonekane wa kisasa.
cha ajabu msichana huwa...
Sijui ni nin kilitokea bt akaunt yangu ilifungwa kwa muda wa siku 90 kufuatia moja ya mchango wangu jukwaa la siasa, nakumbuka REJAO ndio chanzo cha yote. Katika kipindi chote hicho sikuwezajua...
jamani wapendwa niliwamiss sana .nashukuru kwa wale waliokuwa wamenimiss na kunitakia heri na fanaka.
wiki tatu hizi nitazitumia kupitia thread zilizopita ili niji update
Kuna kademu kamoja mimi napiga ila najua nako huwa kanapiga kazi zake za nje na ushahidi ninao. Ila mimi sitaki kukaacha mazima nataka niwe on and off yaani sitaki kubeba bendera. Shida kenyewe...
Ni katika kipindi cha MIKASA YA MAISHA NA RADIO FIVE siku ya alhamisi tarehe 16 febr.2012 ambapo palijadiliwa mkasa wa binti mmoja mkazi wa Moshi(alitambulishwa kwa jina la Yasinta) ambaye...
Wengi umekutana nao na wengi utakutana nao lakini ni vigezo vipi hukuongoza kukiri ya kuwaYes (s)he is the right one for you? 1) Uchangamfu wake kwako? 2) kauli yake kwake? 3) utii wa matakwa...
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba...
If you won't cheat to ur girl or to ur boy,he or she will love you forever,but if you do so,expect the worse.
kulalamika mara nimeachwa,mara hanipendi,mara hajibu message,kanizimia simu..kaniacha...
Habari zenu wana jf,naomba kujuzwa unapolea mtoto wa mwanamme mawasiliano ya maendeleo ya huyu mtoto yawe yanapitia kwa huyu mama wa kambo au wawasiliane wenyewe?
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.
mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua...
Moyo wake unamfahamisha ya kuwa hapo ndipo roho yake inapodundia lakini historia ya kijana ambaye anamfuatafuata kwa udi na uvumba ndiyo inamtia khofu.............................
Kijana ana...
@arusha, baba mngoni, mama mchagga
...unafki sitaki tuwe wakweli...HIVI KUNA MAPENZI NDANI YA UMASKINI??
nimepata kazi mpya mshahara ingalao unakidhi kimtindo, cheo kimebadilika nahisi ni wakati...