jamani kwanza ninawatakia valentine njema wale woote ambao mapenzi yao hayana matatizo wala migogoro..
pili ninaomba msaada kwa hili jamani.. i hav a girl who used to love me so much.. na siku...
Leo ni siku inayoitwa Valentine Day. Wengi wetu tunafahamu historia ya kidini ya siku hii. Sitaki nizungumzie hilo. Maoni yangu ni namna siku za hivi karibuni siku inavyopotoshwa kabisa. Leo...
Nilipo maliza kidato cha sita nilienda kuishi katika kijiji cha usangi,ambacho kipo wilayani mwanga mkoa wa kilimanjaro,nilikutan na mwanadada mmoja aliyeitwa neema.Ambaye nilifanikiwa kuanzisha...
Nimesoma sana posts za MMU na nimegundua kitu: wanaume wengi wanaamini kuna wife material na girlfriend material. Wife material ni mpole, mtiifu, ana background nzuri, ni msomi kiasi, future...
migogoro mingi ya maisha ipo kila kukicha,
mafarakano mengi ndani ya mahusianoi yapo kila dakika.
lakini hiyo bado haituzii kupenda, kutunzana namengineo mengi.
kuna mambo mengi yanayotufanya...
wana mmu,
First of all happy valentine's to you all. Baada ya salamu nauliza hivii, hivi inakuaje kwa wanaume kama mpenzi wako amekuzidi umri? Na kwa wanawake unajiskiaje kama umemzidi mpenzio...
Wadau toka asubuhi najaribu kutafuta sms nzuri nitakayo mtumia laazizi wangu yupo mbali nami masomoni Mwanza
Naombeni nisaidieni kwa kuweka sms mbali mbali za valentine so i can pick one,
iwe ya...
Nampa Valentine yenye upendo wa dhati - yule mama kayai wangu!!; kwa sababu anajua ID' yangu namdedicatiaa hii ngoma kali imfikie hapo hapo alipo.
Yaani nipo ki-REAL LOVE zaidi - Micing u my...
Yaani sijui watu hawazisomagi vizuri au hawajui maana yake???!!!
Namshangaa kweli, katumiwa msg ya u-valentine na jibaba lake usiku wa kuamkia leo halafu anai-fowadi kwangu saa hizi saa tatu na...
It is Valentines Day? So what, you might be thinking. But according to a Synovate report, 65 per cent of Ugandans fully intend to celebrate love this Tuesday.
It takes two, and this survey...
An email to a bride-to-be from her future mother-in-law has gone viral on the internet. Heidi Withers was sent a list of rules by Carolyn Bourne, the stepmother of her fiance Freddie Bourne, after...
Naomba ushauri ktk makabila haya,,chagaz,nyakyusa,waha en wahaya nmeambiwa nisithubutu kuoa btn them coz all of them are the money oriented,my family warned me although they are btful na wanajua...
Time is too slow for those who wait,
too swift for those who fear,
too long for those who grieve,
too short for those who rejoice,
but for those who love,
time is eternity
Happy valentine day
Wiki iliyopita, Ijumaa February 10 mwanangu wa kwanza, Benedikt Fulbright Makulilo alitimiza mwaka mmoja. Binafsi niliona kuachilia vitu kama keki na zawadi nyinginezo ndogondogo ambazo ni ngumu...
Wengi leo wanaamini wanasherehekea siku ya wapendanao kwa kuonyesha upendo kwa wenzi wao kwa kufanya hili na lile mradi tu ionekane kwamba anapenda / kumpenda. lakini hebu tuongee na mioyo yetu...
Kajamaa kamemzia mtu mzima umri kama wa mama yake. kusema kweli kazi
haziendi kila siku kakidai hakajiwezi kwa mama huyo mpaka kanaharibu kazi ofisini.
Washauri wengi wamekaambia kuwa, huwa sio...
WanaJF mambo vip? Jamani mwenenu nimetumiwa sms na mpenzi wangu wa zamani tuliyekuwa tumeachana naye kwa kipindi kilefu ananiambia eti anataka kuwa nami kesho ili tuisherehekee sikuku ya valentine...