Ni rahis sana kuwapoteza watu muhimu kwenye maisha yetu,either rafiki,mchumba,ndugu wa karibu rather than kuwapoteza watu tunaowachukulia kawaida tu.Inauma sana,na sijui kwa nin vitu hivi hutokea?
Hivi kwanini madem wanakuwa na moods? mara wako sawa na vicheko vingi mara gafla wanakuwa butu kabisa, kimya, huzuni, mawazo! ni kwamba hawajiamini au mambo mengi kichwani? Waheshimiwa...
Goodbye for now
You and I have been through everything together
Now it is time for us to part
You will always have a place in my heart
But not to worry
Friends never really say goodbye
six...
...KUFIKIRIA MAISHA KIVYAKO BILA MKE AU MUME KUMUHUSISHA
...MAMBO MABAYA NI MENGI KULIKO MAMBO MAZURI KWENYE NDOA YAKO
...UNAJISIKIA VIGUMU SANA KUWASILIANA NA MKE AU MUME WAKO
...KILA MMOJA...
Amerudi na mtoto wa kitasha ,aliniacha maskin sasa nina fedha si kama Lowasa aaa ,ya kubadilisha tu mboga yaaan tajiri wa kati nifanyeje ndugu .Ila Mtasha wake alifariki katk Vita huko Afghan
Nimepata Email hii kutoka kwa huyu jamaa yangu anataka ushauri,nimejiuliza cha kumshauri bado sijapata,naombeoi mnisaidie...........As u knw I'm 29 years old and have been living with my...
Asalaaam aleykum ndugu zangu, ninalo zito moyoni mwangu. Nilikuwa na mpenzi wangu tumefahamiana zaidi ya mwaka sasa. Mwezi wa tisa mwaka jana nikiwa field mikoa tofauti nilimwomba aje ili angalau...
Okoa mahusiano yako kwa kuepuka maswali ya kipuuzi kama haya....
1. Uko wap?
2. Wafanya nin?
3. Huli leo?..
.. Mengine mwayajua wenyewe.. Yanatukera. Take care.
Hii nchi haitokuja kuendelea kamwe ebu ona wananchi wake wanawaza mapenzi mda wote....maofisini watu wanawaza mapenzi,majumbani,vijiweni,kwenye madaladala mijitu imekaa kimya utazani inatafakari...
Mambo zenu ma G-thinker?
Nauliza hivi ni response gan huwa mnaichukua iwapo girlfriend wako anakuwa anachat muda wote hata mkiwa kwenye mazungumzo yenu serious? Coz kuna rafiki yangu kamtelekeza...
Umetokea kuwapenda watu wawili kwa wakati mmoja?.No,haiwezekani kwamba unawapenda wote,kuna yule wa kwanza kupendwa na wa pili kupendwa.Ninakushauri uwe commited kwa huyu wa pili kumpenda,yule wa...
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuhusu kitchen party. Nini maana yake? Je, ni sawa na unyago? Maana unakuta mwanamke anayefanyika kicheni pati, ni mjuzi wa mambo ya mapenzi na unyumba kuliko...
Wadau mlioko Dodoma hebu
tujuzeni, hivi haya ya kweli? Au soga tu za mjini kama ni kweli kumbe ndiyo
maana maisha ya wabunge yamepanda huko Dodona na hata wakaongezeana posho. Tujuzeni mlioko Dom
nimeanza na east africa nikaja clouds nikahamia radio one nikaenda kiss fm, majic fm, passion, 100.5, capital... Zote hizi mida hii mapenzi tu. Hivi hakuna zaidi ya hili?
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue...