Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ni rahis sana kuwapoteza watu muhimu kwenye maisha yetu,either rafiki,mchumba,ndugu wa karibu rather than kuwapoteza watu tunaowachukulia kawaida tu.Inauma sana,na sijui kwa nin vitu hivi hutokea?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi kwanini madem wanakuwa na moods? mara wako sawa na vicheko vingi mara gafla wanakuwa butu kabisa, kimya, huzuni, mawazo! ni kwamba hawajiamini au mambo mengi kichwani? Waheshimiwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
mimi siongei na demu namwambia twende hotel chukua chako
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Hello wapendwa kwa kweli nimemiss sn hili jukwaa na wadau wake. Niko likizo ya uzazi na namshukuru sn Mungu kwa kujaliwa baby boy.nawapenda wote
5 Reactions
35 Replies
2K Views
NDOA NILIYOIPENDA KIUKWELII UKIACHA YANGU NAAMINI UPENDO HUU BADO UNAENDELEA KAMA MWANA JF WISH YOU ALL THE BEST KUELEKEA VALENTAINO
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Goodbye for now You and I have been through everything together Now it is time for us to part You will always have a place in my heart But not to worry Friends never really say goodbye six...
8 Reactions
69 Replies
4K Views
habarini wanajf kati ya hivi kipi kizuri kupenda sana au kupedwa sana kipi bora?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
...KUFIKIRIA MAISHA KIVYAKO BILA MKE AU MUME KUMUHUSISHA ...MAMBO MABAYA NI MENGI KULIKO MAMBO MAZURI KWENYE NDOA YAKO ...UNAJISIKIA VIGUMU SANA KUWASILIANA NA MKE AU MUME WAKO ...KILA MMOJA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Amerudi na mtoto wa kitasha ,aliniacha maskin sasa nina fedha si kama Lowasa aaa ,ya kubadilisha tu mboga yaaan tajiri wa kati nifanyeje ndugu .Ila Mtasha wake alifariki katk Vita huko Afghan
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Nimepata Email hii kutoka kwa huyu jamaa yangu anataka ushauri,nimejiuliza cha kumshauri bado sijapata,naombeoi mnisaidie...........As u knw I'm 29 years old and have been living with my...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Asalaaam aleykum ndugu zangu, ninalo zito moyoni mwangu. Nilikuwa na mpenzi wangu tumefahamiana zaidi ya mwaka sasa. Mwezi wa tisa mwaka jana nikiwa field mikoa tofauti nilimwomba aje ili angalau...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Okoa mahusiano yako kwa kuepuka maswali ya kipuuzi kama haya.... 1. Uko wap? 2. Wafanya nin? 3. Huli leo?.. .. Mengine mwayajua wenyewe.. Yanatukera. Take care.
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Jamani mimi kwa macho yangu sijaliona jina langu kwenye listi ya wanaodaiwa hivyo nashukuru wamenitendea haki kabisa....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii nchi haitokuja kuendelea kamwe ebu ona wananchi wake wanawaza mapenzi mda wote....maofisini watu wanawaza mapenzi,majumbani,vijiweni,kwenye madaladala mijitu imekaa kimya utazani inatafakari...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Mambo zenu ma G-thinker? Nauliza hivi ni response gan huwa mnaichukua iwapo girlfriend wako anakuwa anachat muda wote hata mkiwa kwenye mazungumzo yenu serious? Coz kuna rafiki yangu kamtelekeza...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Umetokea kuwapenda watu wawili kwa wakati mmoja?.No,haiwezekani kwamba unawapenda wote,kuna yule wa kwanza kupendwa na wa pili kupendwa.Ninakushauri uwe commited kwa huyu wa pili kumpenda,yule wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuhusu kitchen party. Nini maana yake? Je, ni sawa na unyago? Maana unakuta mwanamke anayefanyika kicheni pati, ni mjuzi wa mambo ya mapenzi na unyumba kuliko...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Wadau mlioko Dodoma hebu tujuzeni, hivi haya ya kweli? Au soga tu za mjini kama ni kweli kumbe ndiyo maana maisha ya wabunge yamepanda huko Dodona na hata wakaongezeana posho. Tujuzeni mlioko Dom
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimeanza na east africa nikaja clouds nikahamia radio one nikaenda kiss fm, majic fm, passion, 100.5, capital... Zote hizi mida hii mapenzi tu. Hivi hakuna zaidi ya hili?
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…