Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani natamani ningerudi kama zamani... Mkuu 'PCM' amelalamika kuwa siku hizi nimebadilika, mpaka akadhani kuna mtu ame-hack ID yangu. Wakati najiunga JF, takribani mwaka mmoja uliopita...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
mimi naamini katika mahusiano ya mapenzi usiangalie kama mpenzi wako anakupenda bali wewe kama umemchagua mpende kwa moyo wako wote na yeye atakuchukulia hivyo Daima muamini na si yeye akuamini...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi wana jf, juzi wakati nasoma my bible niligundua kitu cha ajabu kweli Adam kwa mara ya kwanza alipoamka usingizini akakuta ameumbiwa mwanamke pembeni yake akasema “ huyu ni mfupa katika mifupa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sijui nifanyaje,yani kila nikiznguana kidogo na gelofrendi wangu,bac ye anakimbilia kuniambia tuachane,nkimbembeleza kdogo anajirudi..sa cjui hz ndo dalili za kuchokwa au vp wakuu?
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Je kuna ukweli katika hili? Nilikuwa na mahusiano na mwanamke; akawa amepata ujauzito lakini motto akampeleka kwa Mwanaume mwingine ambaye mi nilikuwa simfahamu. Baada ya mwaka mmoja wa motto...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimesikia sikia tu kwamba kuna za bwawa cjui na kavu, nimekuwa nikijiuliza hapo kwenye kavu ikatokea imetota kwa maujanja ulomfanyia mwenzio mwenyewe tayari ni bwawa? Mnapenda ifikie chapachapa au...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Guys, I was sharing some views with my neighbour.Among of his idea which at the outset Iam compelled to buy is that: "Men usually want three qualties in wives;Economist in kitchen,artist at...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Napenda kuwafahamisha kwamba kuna raha yake kama wanandoa wakiwa wote wa wili ni wacha Mungu.Jaribuni muone kumcha Mungu na baraka tele zitafunika maisha yenu yote na watoto wenu watabarikiwa kama...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Gianni Versace Akiwa na wanamitindo Maarufu Hayati Princess Diana Na Sir Elton John walimlilia Akiwa na Naomi Campbell na Cindy Crawford Muuaji Andrew Cunanan katika mionekano tofauti...
9 Reactions
32 Replies
8K Views
Ndugu zangu nauliza kwa vile kiukweli sifahamu kwanini ndugu zetu wa kike walio wengi huachia maungo yao kuonekana hadharani? Nazidi kuchanganyikiwa iwapo mwanamke huyo yuko tayari katika...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
A friend like you is like no other friend A friend like you is a friend I'm happy to have met A friend like you is a friend I can't scream at or fight with A friend like you is like having no...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
hi to all, ninampenzi wangu tuliachana tukarudiana lakini tangu tumerudiana mpaka leo hajawai kunitamkia nakupenda,nimekumic na maneno mengine mengi kama alivyonitamkia zamani,ila ninacho jiuliza...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Hamjambo wanajf .hivi jamani wanaume wenzangu ni sawa kwa mwanamke kumtongoza siku ya kwanza na anakubali siku hiyo hiyo. Mimi ninavyojua kwa kawaida mwanamke anatakiwa amsumbue kidogo mwanaume...
0 Reactions
62 Replies
13K Views
Wana MMU, Wote mnafahamu umuhimu wa first impression especially kwenye ki date. Kipindi nina date date nilikuwa kabla sijatoka lazima nijicheki jicheki najiuliza atanionaje nikivaa hivi? Nauliza...
6 Reactions
74 Replies
7K Views
ni mtoto pekee wakiume katika familia yangu...dada zangu wameolewa... juzi kati bimkubwa ameugua na akaenda kukaa kwa mmoja wa dada zangu,.. nimebaki mm na housegirl tuuuu niko karibu nae...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
MCHANA MWEMA KWENU MNAOENDA KUJIVUA MAGAMBA WIKI HII AKIKISHENI MNAYAVUA YOOTEE BORA MOTO AMA BARIDI KULIKO VUGUVUGUHealthy Fish Pie Recipe
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ilikua mwaka 2008 nilipokua mitaa ya nmb posta nikakutana na kimwana wa mwenge na tukajuana kama binadamu mana tulikua wote profassional moja,badae tukawa tunawasiliana na tukazoena.Alinitembelea...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
KWANINI MWANAMUME AKIFA NDUGU WA MWANAMUME WANADAI MALI ZA MTOTO WAO HATA KAMA ANA WATOTO KWA NINI NDUGU WA MWANAMKE HAWANA HAKI YA KUDAI? Mimi ni mwanamke niliyeolewa nimekuwa nikiona matukio...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni kitu ambacho nimesha-experience, lakini interaction na wanaume wenzangu nimagundua kuwa wengi tupo hivyo... Wanaume hawapendi kuachwa na mwanamke. Hata kama mwanaume yupo na mwanamke na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello people, Kuna mambo mengi sana yanatokea duniani kuhusu wewe na unaye mpenda, na watu wanajaribu kukosoa sehemu unayo penda. Huu ni mmoja wa mifano na mifano iko mingi sana. Mfano wewe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…