Umeingia kwenye Bus una safiri, safari inayochukua zaidi ya masaa 20.
Hukuwahi kukata ticket mapema, kondakta anakwambia zimebaki nafasi mbili ambapo unakuta seat ni
2 x 2 (abiria wawiliwawili)...
Nampenda na yeye ananipenda. Kinachoniumiza kuna watu wanaonifahamu wanamfeed mambo yangu ambayo hayamvutii. Kuna wengine wanamtajia wasichana niliowahi kuwa nao. Mwingine alifika mbali zaidi na...
Asilimia kubwa ya wanawake wanawaza kuwa na wanaume wenye fedha nyingi, magari mazuri nakadhalika, je ni wanaume wanangapi walivyo navyo hivyo vitu na je, hao wenye navyo wanakidhi idadi ya...
Jamaa alijikuta akimtongoza mkewe wa ndoa na kuumbuka kwa ukiwembe na tamaa zisizo na mpango maana mkewe ni mzuri na mwenye tabia njema. Kilichotokea ni kuwa jamaa alienda pale chuo cha IFM na...
wana jamvi habari za jioni? nimekuwa na jirani yangu mdada ambaye tumekuwa marafiki sana. ninamheshim mme wake na rafiki zake wengine wa kiume na yy anamfaham mpenzi wangu, lakini roho imeniuma...
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda mrefu sasa ingawaje kuna kipindi tulikorofishana na kutowasiliana nae kwa muda, lakini baada ya kuweka mambo yetu sawa na kuanza ukurasa mpya...
Mwenye kadhia hii jina kapuni......Anasema....Nakumbuka nilitembelewa na mama mkwe wangu,alikua anafanana sana na mwanae(mke wangu)siku ya fedhea hii nilichelewa kurudi kutoka kazini,nilipofika...
si swala la ukabila wala nini ni swala la ukweli halisi, hawa watu wanapenda hela balaa yani wako tayari kwa lolote ilmradi hela iwe mikononi mwao hasa mkiwa mmeshachumachuma vijimali utaipata au...
Imebainika sasa kwamba, kuweka kwetu ndita, kukunja uso kwa hasira na kutoridhishwa, hakutokani na kuiga kwetu kwa wazazi au walezi, bali zaidi hutembea katika kizalia (Genes). Watu wa familia...
Habari zenu wanajamvi (MMU)!
Napenda kuwatakia kila lililo jema katika sikukuu ya Noel na kuwatakieni nyote baraka za Mungu katika mwaka mpya wa 2012 unaokuja. Naenda kijijini kwa mapumziko...
WanaJF,
Napenda kuchukua fursa hii kuwajuza kuwa mwanaJF mwenzetu aitwaye LiverpoolFC amefiwa na mwanae mchanga leo asubuhi muda wa saa tatu na nusu katika hospitali ya Mount Meru iliyo jijini...
Kwa nini unakuta either msichana au mvulana,anaekupenda humpendi,na asiyekupenda,ndo unampenda kwenda mbele.Maana sijielewi..anaenipenda simpendi,yule asiyenipenda ndo nampenda.Hili ni tatizo gani?.
Ni kweli wapo ambao wamepata watoto kwa bahati mbaya, wengine walijaribu
hata kutoa mimba ikashindikana. Ninaowakusudia hapa ni wale ambao wamedhamiria
kupata hao watoto. Tena wengine wamethubutu...
Natarajia kudhuru South Carolina kwa siku kuu ya X-mass nitakuwepo kuanzia Ijumaa, so kama kuna member yupo pande hizo ningependa tufahamiane, maana mnapokutana wote toka sehemu moja ina leta furaha.