@arachaga, baba mngoni,mama mchagga
inabidi uanzie mbali na kimafumbo kumkosoa mpenzi wako kwa mambo ya chumbani na hasa kitandani ila kuendelea kikaa kimya wakati unapunjwa ni upuuzi pia...
Napenda kuwashukuru sana wadau wote walio changia mada yangu na wale ambao hawakubahatika kuchangia mnamo mwezi AGOSTI, ushauri wenu na mawazo yenu niliyazingatia na kuyafanyia kazi kwa ipasavyo...
Samahani wadau, ningependa kujua ni nini hasa faida ya kuwa na nyumba ndogo? Binafsi naona kama nyumba ndogo ni resource consuming in terms of muda na pesa, pia zina inconviniences nyingi kwenye...
Jamani wana jamvi habari zenu dada zangu. pamoja wale kaka zangu ambao mmeingia hapa kwa bahati mbaya.
Leo nimeona nishirikiane na ninyi kuhusu jinsi ambavyo naweza kumconnect mtu (lady) kupata a...
Matiti ni Mali ya nani?
Matiti ni chakula cha mtoto!Linapokuja suala la matiti wanaume wengi (si wote) hunyang'anyana hati miliki ya matiti na watoto wanaonyonya hata hivyo wanawake nao kila...
Now I appreciate wholeheartedly when a woman say "I'm going to have my hair did"*. To keep clean, health and strong hair takes time and effort. Of all the features of a lady beside "those" others...
A parable is told of a
farmer who owned an
old mule. The mule fell
into the farmer's well.
The farmer heard the
mule 'braying' -- or
whatever mules do
when they fall into wells.
After...
Mwanangu Koku,leo nakuandikia waraka huu nikiamini utakusaidia leo na siku za usoni hata kama sitakuwepo duniani.
Mwanangu,najua unatamani uwe mtu mzima ikiwezekana hata leo ili uondoke nyumbani...
Kwanza nianze kwa kuwasalimia Great Thinkers na naamini mtanipa ushauri wa Hekima na Busara.
Mimi ni kudume ambaye kwa sasa nina mke na watoto watatu kwa ufupi niko kwenye ndoa huu mwaka wa...
Nilibahatika kusikiliza mazungumzo ya wadada fulani wakisema ati wanaume wazuri ni wale waliopata malezi ya karibu ya mama zao.
Wakatoa mifano ya ni vipi waliliona hilo:
Wanaume hao wanajua...
SONG BY GREGORY ISAACK
Please give me a chance
So I can make my confession
Or do I was wrong?
Won't you please overrule your objection
And give me one chance
So that I can make things up with you...
Kwa wanaojua suala la 'sick building syndrome' watakubaliana nami kwamba mtu unaweza ukawa mgonjwa ili hali si mgonjwa. Kwamba baadhi ya vitu unavyoishi navyo ndani ya nyumba au nje vikawa...
Tunapo ingia tarehe 1.12.2011,...siku ya kwanza kabisa katika mwezi wa mwisho wa
mwaka,....Umeweza kujiuliza mahusiano yako yamekuwa vipi katika mwaka huu wote?
Sio lazima yawe mahusiano ya...
mimi sio mdau wa mambo ya udaku kiviile ila katika mishe mishe zangu nilikutana na habari kwamba irene uwoya ameachana na mume wake katika sababu zake alisema hv;kwanza sijawahi kumpenda...
Ni matumaini yangu kuwa nyote muwazima na mnajiandaa na maandilizi mema ya weekend. Kwa muda mrefu sana toka nikiwa mtoto hadi nimekuwa mtu mzima sasa nimeshawahi kusikia mara nyingi sana kutoka...
Wadau naomba mnisaidie, nina experience ya kukutana na vibinti yaani niko kwenye hatua za awali za kutongoza hata kabla jibu la kukubaliwa au kukataliwa, binti anaanza kumwaga matatizo yake.... na...
Nachukua fursa hii kuwakumbuka ndugu, jamaa na marafiki wote waliopoteza maisha yao kutokana na janga hili la HIV-AIDS. Toka balaa hili lilipoingia Tanzania katikati ya miaka ya 80's limeleta...
wht up jf!? poleni kwa kazi, npo mapumzkoni hapa chuga, nmekutana na mutoto nyeupe kama muzungu, nme-spend nae km cku 3 ivi, ana cm yake ya mchina anaizima kusudi pindi cpo nae, 2kikutana anaxema...
Wana JF mara nyingi katika jamii tunamoishi tumeshuhudia ama kuhadithiwa na wakati mwingine kuona Mwanandoa fulani anaisaliti ndoa yake, unapochunguza upande wa pili unamkuta mtu huyohuyo ana mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.