nimefanya utafiti juu ya tabia za watu ambao hawanywi pombe si kwa sababu ya dini yao ila walizaliwa hivyo, asilimia 80% nikagundua wana matatizo sana ya kupenda wanawake , yaani wapenda ngoo...
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wanaume/wanawake kuwalazimisha wapenzi wao hasa wanapokuwa wanaelekea kuoana ama baada ya kuoana kubadilisha namba zao za simu au kuachana na marafiki wote waliokuwa...
Miaka michache nyuma, nikiwa ndiyo nimemalizia shahada yangu ya pili na kuanza kazi kwenye kampuni moja ya Insurance, nilibahatika kukutana na dada mmoja, mpole na mwenye muonekano wa unyenyekevu...
Kuna maharusi walipokuja kufungua zawadi zao wakakuta kuna zawadi moja ina hirizi ambayo kwa maelezo yao ilikuwa inapumua, Wakaita watu na kuipeleka kwa mchungaji, wakafanya maombi na kuishia...
Wadau mi naona kuwa na rafiki wa kike ambaye si
mpenzi wangu inaniwia ngumu sana sasa sijui ni
mimi tu au hata nyie inakua hivyo hivyo .
maana unaweza kukuta unae rafiki wa disign hiyo halafu...
Baba X aliondoka nyumbani kwake miaka 7 iliyopita na kuambatana na nyumba ndogo yake,na kumwacha mkewe akiwa mjamzito miezi tisa na watoto wakubwa wawili, ,bila hata huruma,na hakuwa na...
Kama mnakumbuka kuna kijana aliniomba mtoko juma lileee lililopita, nikaja hapa kuomba ushauri wa kivazi cha kutupia. Nawashukuru saaana, maana kila aloniona alinisifu kuwa nimependeza, maana hata...
Habari za wakati huu wananchi wenzangu.ebana,nina rafiki yangu wa kike{urafiki wa kawaida}ambae bahati mbaya ye hana bumu so anategemea kila kitu toka kwa wazazi wake,cha kushangaza huyu bidada...
kama umezoa kulala na mwanaume bila kumpenda jua wewe ni kahaba
sasa basi kama unaishi na mume ambae umpenddi na unajua huna mapenzi yake
rudi tu kwenye ukahaba muwachie nduguyo aendelee na...
Sijui ni maisha au nini!
Style za mahusiano siku hizi yanaenda kinyume nyume.
Kijana(ME) anataka aliyemzidi umri(JIMAMA/SUGARMUMMY) ajitimizie mahitaji yake.
Kijana(KE) anataka...
hasira za mkizi hutuponza kujenga makusudio ya kulipiza kisasi..............................lakini hayo huwa ni kivuno cha mvuvi................kisasi humfunga mlenga kwa...
Habari zenu wanajamvi? Ni matumaini yangu wote mu wazima na wenye furaha tele.
Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda...
Kama mjuavyo ndoa za nyakati hizi zimekta tofauti kabisa na kipindi cha wazazi wetu na bibi na babu zetu.Ndoa za enzi hizi zimekua ni kama mbwembwe tu ila watu wengi hawadumu kwenye ndoa zao ,nini...
Sielewi kwa nini wazo hili limenijia kichwani ghafla sasa hivi, ila ngoja niwashirikishe!
Nafikiria kama ningekuwa na uwezo wa kufanya mabadiliko ya system ya utendaji kazi wa akili, utu, upendo...
Kauli kama hii hutoka vinywani mwa wanaume wengi. Lakini, je, unajua ni kwa kiasi gani kauli hii huwa haina ukweli hata chembe? Huenda hujui kabisa, au inawezekana pia nawe ni mmoja kati ya wale...
Umri wangu ni miaka ishirini na mmoja. Wazazi wangu hawakuwahi kuoana wala kuishi pamoja kwani nilipokuwa conceived (wazazi) wangu walikuwa bado kwenye late teens, wakati huo wanafunzi. Katika...
Ndugu Wana JF,
Jana baada ya kutoka safari, jirani yangu alinipigia simu akinieleza kuwa amekorofishana na mke wake na kuamua kuondoka nyumbani mpaka yule mke wake atakapoondoka nyumbani...
Natubu kwa MWENYEZI MUNGU NA KWA MKE WANGU, NAMWOMBA SANA ANISAMEHE. nilimwoa mke wangu nikiwa sina chochote na kwa msaada wake wa mawazo na msaada wa Mungu tulifanikiwa kujijenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.