Wapendwa uvaaji wa suruali huku shati umechomekea kwenye chupi ni sahihi?
Kuna brazameni mmoja nilimwona kaulamba safi ila shati kachomekea kwenye chupi sasa bahati mbaya au nzuri ile chupi...
Kwenye mahusiano/ndoa watu hua wanapiga picha pamoja . . . kwaajili ya ukumbusho.
Kwa wale mlioko facebook mnajua siku hizi hizo picha haziishi kwenye album makabatini tu na ukutani ila mpaka...
Nina Gf ambae nimeiishi naye miaka 4 bila kufunga ndoa na bahati mbaya kwa muda huo wote hakuweza shika mimba wala kuwa na mtoto before I meet her. Niliweka agano la ndoa na yeye, lakini kwa kuwa...
Wife is like a TV, Girlfriend is like a mobile, At home you watch TV , but when you go out u take your mobile. Sometimes you enjoy TV, but most of the time you play with your mobile, TV is free...
wakuu ma greater thinker...nawakilisha,kuna habari mmoja imenisikitisha sanaa,nanukuu ''mwanaume mmoja amefikishwa polisi na mkewe,kwa kufumaniwa/kukutwa na picha za mama mkwee[mama wa...
Jaman kuna sto
r,nimeisikia radio one,imenichosha kwa kweli,yani kweli mkeo au mumeo,au wachumba mnasaviana majina ya ajabu ajabu kwenye simu,unadiriki kumuita au kumsave mkeo au mmeo...
haya tena wapendwa wa jf......habari za masiku teele!!
bwana nakaa nawaza sipati jibu.........la haraka!!maana ni miezi kadhaa kijana nimebahatika kupata kibarua cha mkoani...juu kabisa kaskazini...
Assalam aleukum ndugu zangu,nina jambo moja nataka kuliweka hapa japo tusaidiane katika hili!nimekutana na dada mmoja bahati nzuri nakaa nae mtaa mmoja nikatokea kumpenda sana ila cha ajabu huyu...
Habari za jumamosi waungwana wenzangu,nafikiri wote mko safi mnaendelea na shughuli za kila siku,jana nilikwenda bar kufurahisha macho kidogo na kupiga stori na wabongo wenzangu,basi kuingia...
Sitaki kabisa kukuona na wale wanawake. Utakuwaje na urafiki na Malaya wale. Sasa hivi watakuuza kirahisi kabisa. Ukitaka kuifanya ndoa yetu ianze vurugu, endelea kuwa na urafiki nao. Wanawake...
Wana JF
Russian Roulette is one of the Mods ambae yupo saana nasi hapa jamvini katika mijadala mbali mbali as much as anatu-moderate na hata kumoderate threads. Hio imefanya awe na members wengi...
Kuna mfanyakazi mwenzangu anataka kumwoa binti ambaye wamedumu ktk uhusiano mwaka mmoja na nusu,
tatizo ni background ya binti huyo,.kwani kipindi jamaa anaanza uhusiano naye iligundulika kuwa...
Have you visited me ? Kids Fun Spots, Shopping areas, Movies, Bar and Lounge, Supermarket etc etc..
Click on the Like button to join the fan page and share with friends and family ;-)
Here is...
habari za jioni wana jf,poleni na mishughuliko na pilika pilika za hapa na pale za kutaka kujikwamua kiuchumi huku wakubwa wakiwa bado wamekaba hadi penalty.Kwa wana jf waliopo tanga wote naomba...
Ninachokisema hapa ni serious na naomba comments also seriously! Nina mpenzi wangu nampenda kw dhati, kadhalika kiasi flani nashawishika kuamini nae ananipenda kufatana na mambo flaniflani...
hivi kweli kuna mahusiano ambayo yana uaminifu 100% jamani? namaanisha watu wanaanza mahusiano, wanaoana na kufa bila kusalitiana?
kama yapo ni kwa asilimia ngapi? na tafadhari hebu nipeni siri...
Mimi ni mwanamme mwenye miaka takriban 40 pia nina mke na watoto. Kweli nimepata ka sub house ni kazuri sana na kananipenda pia. Shida yake ni kwenye kutiana yani kanataka bao 3 na kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.