Heshima wakuu
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na...
Jamani nimekumbuka kisa kimoja cha rafiki yangu wa karibu sana aliniambia amepata mchumba kwenye mtandao na mchumba mwenyewe ni mbongo anaeishi marekani basi wakawa hawajuani lakini mapenzi yao...
WANA JF NA WATANZANIA KWA UJUMLA TUJIJENGEE MAZINGIRA YA KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAJANE KAMA DINI ZETU ZINAVOSEMA....EMBU GONGA HAPA NA UFANYE MABADILIKO KWENYE MAISHA YA HAWA WATOTO...
WACHUNGAJI wanane wa makanisa ya Kipentekoste wanaotoka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Arumeru wamezihama nyumba zao na kwenda mafichoni wakihofia kukamatwa, kuvuliwa nguo, kutembezwa...
Tafadhali akina dada mniwie radhi lakini jambo hili nimekutana nalo mara kadhaa na hata marafiki zangu wamenithibitishia kwamba ni kweli. Kwa ujumla, wanawake wakiwa 'wamekolea' huwa hawajitambui...
IT can happen in the blink of an eye. Attraction. Excitement. Romance. But for too many Sisters who are searching for Mr. Right (not Mr. Right Now), the game of love is a crooked road of broken...
Katika hali isiyo ya kawaida,mke wa ndoa wa jamaa mmoja mtaani kwetu hapa amegeuka kuwa House girl ghafla.
Ilikuwaje?
Jamaa mwenye mke pamoja na mke wote ni wafanyakazi wa Maofisini-mume ni...
Wana Jf,
Nina mke ambaye sasa ni mjamzito wa miezi 8 sasa. Kiukweli tabia yake imenishinda. Ni mtu wa kununa nuna muda wote, sijisikii furaha kuwa nae though ni mke wangu na niliapa kuwa ni yeye...
Hey guys...
I hope y'all are doing great!!
Neway nahitaji msaada wenu kidogo...
Ntakua Dar katikati ya Dec - katikati ya Jan na nnahitaji sehemu ambayo naweza kufanya kazi... VOLUNTARILY.
Not...
Story by SAM KIPLAGAT :
Publication Date: 3/6/2008
Is your spouse cheating on you? If yes or in doubt, it is now easier and cheaper to find out.
For only Sh15,000, a spouse can acquire a...
Hi friends,
I love this song & i feel like sharing with you!!!
Justin Beiber - mistletoe
It's the most beautiful time of the year
Lights fill the streets spreading so much cheer
I should be...
Askofu apekuliwa uwanja wa ndege akidhaniwa kabeba 'unga' Send to a friend Sunday, 20 November 2011 20:51 0diggsdiggMoses Mashalla, ArushaASKOFU Mkuu wa Kanisa la International Evangalism...
TYPES OF HUSBANDS
MR MONKEY
Mr Monkey is only married on paper but in
reality he is still a bachelor. He married
because of some family pressures, maybe
impregnating the girl out of wedlock...
Ikiwa mmekuwa na tatizo la muda mrefu na mwenzi wako,mmejitahd kulitatua ila linaonekana halitoisha,ukaamua kupotezea.Ila imetokea tatizo hilo limekupelekea wewe upunguze upendo kwa mwenzio.Je ni...
SOMO KUU MSAMAHA
WENGI WAMESHINDWA KUELEWA UMUHIMU WA KUKIRI NA KUOMBA MSAMAHA.BINAFSI NAOMBA NIKUJULISHE SIO TU NI MALAIKA BALI TUNAKOSEAGA LAKINI TUMEPEWA UFAHAMU WA KUWAHI KUJUA UMEKOSEA WAPI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.