Je! Unaamini ya kuwa Mungu anaweza kusema na watu kwa njia ya ndoto? Najua ni rahisi kuamini kuwa Mungu alisema na watu zamani kwa njia ya ndoto kama tunavyosoma katika Biblia; lakini je! Unaamini...
MWANAMKE mwenye umri wa miaka 60, mkazi wa Kibaoni mjini hapa, amewavunja mbavu wasikilizaji wa kesi katika Mahakama ya Mwanzo Ipembe, baada ya kumjibu Hakimu kuwa kijana aliyemfikisha...
Siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.
Kama...
Ndugu zangu,usiku huu wa manane nimekosa usingizi kabisa cuz of ths lady who is seriously driving me craizy,nakiri ni kweli nilimkosea,nikajutia kosa langu bt suprisingly,she is stil mad to...
jamani inasikitisha na ni kwani ukubali kufunga ndoa kama inaweza kudumu kwa siku mbili tu na sio maisha.
wana mmu ndoa imefungwa jmosi trh 5/11 na imevunjika trh 6/11 jpili wakiwa kwenye...
Hawa nao ni Adamu na Eva! NDOA, TALAKA NA KUOLEWA TENA
UTANGULIZI
Ndoa ilianzishwa (instituted) na Mungu. Mungu aliumba mke kwa ajili ya Adamu kwa kuwa Mungu aliona Haikuwa vema kwa Adamu kuwa...
Mamemba wa mmu hebu nisaidieni kutegua hiki kitendawili.Kinahusu hizi avatars.Kwa muda mrefu nimekuwa najaribu kupata mwelekeo wa hizi avatars na nimekonklud kwamba:
Avatars za kinamama wengi ni...
Habari zenu wapendwa wote wa jukwaa letu pendwa la MMU.
Natumaini wote muwazima kabisa na ni buheri wa afya japokuwa ya kwangu si njema sana ila nashukuru nimeweza hata kuandika haya.
Nimekuwa...
Wadau, najua hoja nyingi zimo humu kuhusu hawa wasichana ambao ni "natural"! Unajua wife hapa ninapochar kashika remote anachange cahnnel tu kwenye dish akkiagiza hili na lile, na nimetoka kuomba...
Wadau,eti kuna rafiki yangu amebreak na gal wake hata week haijapita,jamaa kammiss gal,kajipendekeza kumpgia sim,gal kapokea fresh,ila ndo hvo mmanzi kamwambia mshkaji tayari ana mtu mwingne,hvi...
Mambo ni vipi? mara nyingi imekuwa kawaida kwa wasichana kuwabambikizia mzigo usio wao wanaume,je huwa wanania nzuri? kama wewe ukigundua kati ya watoto 6 ulionao watatu siyo wako utachukua...
Kwa mujibu wa maandiko ya Dini zetu TAKATIFU, zimeelezea kuhusu mwanzo wetu sisi wanadamu, kwamba, Mungu alimuumba Adam kisha akamlaza usingizi akamtoa ubavu wake mmoja na kumuumba Eva na kumfanya...
.......kati ya wanaume na wanawake linapokuja swala la kutoka kwenye mahusiano na kuingilia mapenzi ya wengine.
Haya mawazo nimeyapata baada ya majadiliano yaliyokuwepo kwenye mada ya NK...
Imekua ni kawaida wanaume na wanawake kulaumiana kuhusu nani hasa ambae sio mwaminifu katika ndoa,lakini hebu tujiulize uaminifu tunaouzungumzia ni upi ni ule wa kushiriki tendo la ndoa na mtu...
Ni kauli ya mpenzi wangu toka juzi hatuna story anasubiri jibu, nichague kuwa na yeye au jamii forums.....nakiri kuwa toka nimejiunga na JF ni mimi na simu,..simu na mimi, nikiamka jf, nikienda...
"What's your number? According to a survey of adults aged 20 to 59, women have an average of four sex partners during their lifetime; men have an average of seven. Source: National Center for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.