Unaweza kufikiria vitu vitatu au vinne ambavyo kwa kweli kwenye mahusiano watu wanakubali kuishi navyo lakini kwa kweli vinakera sana. NI vitu ambavyo unatamani mwenzako angeweza kuvibadilisha...
INAWEZA kuwa kama simulizi lakini ni ukweli mtupu. Baada ya kujikuta nikimuoa shangazi yangu kutokana na kufanya naye mapenzi kwa njia ya simu kwa muda wa mwaka mmoja.
Uhusiano wetu ulianza baada...
Wapendwa napenda tu kujua mwanamke akitoa mimba au mimba kutoka yenyewe twajua kuna muda kizazi cha kuwa wazi na akisex tu bila kinga anapata tena mimba je hali hiyo inadumu kwa muda gani? (baada...
The first question that comes to mind when a spouse cheats is: Why? (because they`re in loooooove!) A recent study by the attempted to answer that question and found that the reasons behind...
Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti...
Habari ndugu mwana JF
Katika sayansi ya kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasilianao (ICT), tunapozungumzia SIMULATION tunamaanisha kufanya practical katika mazingira yasiyo halisi (virtual...
Dada na Member mwenzetu Msindima wa Arusha amenipigia jana kuwa usiku wa kuamkia Jumapili 30/10/2011 saa 9.00 za usiku alijaaliwa kupata Babygirl.
Ikumbukwe kuwa Msindima alifunga ndoa...
Kama ikatokea umekutana na mpenzi wako wa kwanza kabisa,yaani yule 'aliyelianzisha' na mna mahusiano na watu wengine tofauti,say umeoa/olewa na akataka 'kukumbushia'.Je una ubavu kweli wa kumkatalia?
1.Mvulana atatembea na msichana bila kinga,halafu akiletewa taarifa ya mimba,ataruka
na kukimbia....Mwanaume atajadili na huyo msichana nini kifanyike.....
2.Atamuacha mkewe ambae hana kazi wala...
Kichaa siyo maradhi ,bali wataalam wengi wa saikolojia wanasema ni mtindo wa maisha ambao mtu ameamua kuishi.Nataka nikuulize swali hivi unapokwenda kuoa au kuolewa,ni nani atakwambia kwamba...
habari zenu wana mmu.
leo nimekutwa na tukio ambalo sijajua tatizo ni nini na nifanye,
nina gf wangu ambaye kwa sasa yuko kwao nje ya mkoa,na kipindi fulani tulikuwa na matatizo ya mawasiliano...
BASE ON TRUE STORY.
Ilikua mida ya saa 10 alasiri baada ya kujikuta amemmiss mpenzi wake ndipo akaamua kumpigia simu ambayo iliita zaidi ya mara 3 bira ya kupokelewa. Alijaribu tena kupiga...
Wana JF, naomaba tafadhari nieleweshwe....Hivi wanawake sex maniac ndo wanasifa zipi. Kuna kakazi nimekapata sikaelewielewi! Please react positively and be optimistic to this. I need your help.
Nina mpnz wangu sasa tuna miez 9, ninampenda lakn simuelewi kabsa Hajawah kuniambia i love you wala i mic you yan tuko kama marafiki coz hatufanyi chochote kichoashilia mapenzi, kanitambulisha...
Umewahi kujiuliza hili?
Kuna asilimia chache sana sana wanaokuwa na urafiki mavyuonina kifuikia kuoana kama mume na mke
hii ni kwa wale wanaume walio mavyuoni sasa ya kufungua vichwa vyenu muwache...
Wakuu mimi ni kijana mvulana miaka 30.Nimewai kuwa na wapenzi lakini wawili tu ndo wamenifanya nisifikilie kupenda.
Mpenzi wangu wa kwanza kabisa na ndo mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.