Mapenzi yamekuwa yakichukuliwa na baadhi ya watu kama fasheni hali inayowasababishia washindwe kudumu kwa muda mrefu na wapenzi wao.Kimsingi ipo hali ya kujisahau baada ya wapenzi na wanandoa na...
WALIOSEMA bora ukose mali upate akili hawakukosea kuna wengi wanateseka kwa vile wamekosa uelewa wa nini wafanye ili waishi vema.
Kuna watu wanaishi maisha yasiyo na raha kwa sababu wanaumizwa...
Habari zenu wadau!!kuna msichana nimemwambia tuachane kwa kumtumia txt kwenye simu but cha kushangaza kakaa kimya hadi sa hz,na leo ni siku ya 3 tangu nimtumie hyo txt,tatzo ni nin,hana crdts au...
Ndugu wana JF. Walichokifanya Wazungu ni kutusihi kutambua haki za mashoga ambao tunao. Hatuwezi kulikataa ombi lao kwa kuwa mashoga tunao katika jamii yetu na hakuna jutihada zozote za hata...
By SarahAbell
A first date is loaded withexpectancy will she/he like me and will I like them? Is this person going tobe the One or will I want to run for the hills before the starter? Will I...
Hivi jamani chozi la mwanamke linamaanisha nini ???
kwa kuwa kwenye shida analia, kwenye furaha pia hutokwa na machozi, akimuona mume/mchumba na mwanamke mwingine pia hulia, ukimfumania na...
Nilisema nahitaji haraka mwanamke mtu mzima mwenye umri kati ya miaka 42 mpk 50. Naona wasichana wadogo wanazingua tu. Tatizo wanakuwa na tamaa sana ya mapenzi, hawana mapenzi ya kweli. Sibagui...
Kizazi Cha Mababu Zetu:1920 - 1950, kijana akimwona binti akampenda,mshenga anatumwa kupeleka barua kwa familia husika kuhusu lengo la ndoa alilo nalo, sometimes hata binti hamjui kijana husika...
Eti wakubwa,hawa wadada huwa wanaweza ku2lia na mpenzi mmoja wakiisha fiksha umri gani?maana me nimeisha toka na wa age ya 19-24 bt naona tabia zao zko sawa tu,yani wote niliokutana nao ni mapepe tu.
Imefika mahali hebu tuende kinyume kidogo na mazoea au namna jamii inavyotuambia namna ya kuyatazama mambo,kuna hii hisia inaitwa Wivu,imesababisha madhara sana jamii kama kujiua,kuwa wendawazimu...
On Oct. 31, 2011, the world was blindsided by the news that reality TV star Kim Kardashian was divorcing her husband, National Basketball Association star Kris Humphries. The couple had married on...
Hepi furahi day brodaaaaaz. & Sistaaaaaaaazz....
Hivi mwamaune akimwambia mwanamke ai mwanamke akimbwambia mwanauem amempenda huwa anaangaliaga nini??
Maana weingine wanabase sana kwenye sura...
Wapenzi wa JF, ni miezi sita kamili tangu Mamsapu wangu apate ajira katika kampuni moja ya umma hapa jijini Dar. Siku tu ya kwanza amekwenda kuripoti aliporudi home aliniambia kwamba hajaona...
Jaribu kuangalia mambo haya sita na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - yaani namba 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka hadi 6 jepesi zaidi kusameheka. Yaani lile la kwa 1 kimsingi linaweza...
Bado sijapata jibu kuhusu hii kitu. Kwa muda sasa kumekuwa na hii kitu mjini dodoma. Nyakati za jioni kunakuwa na wakina dada wengi 'wanajianika' eneo la Nyerere Square mijni dodoma...
Tunapopatwa au kuingia kwenye hali ambapo tunajikuta tumeshindwa kufanikiwa au kupata matokeo tuliyoyataka, kuna njia kadhaa katika kuitazama hali hiyo ili isituumize.
Kwanza inabidi tujiulize...
Kama mlivyopata taarifa kutoka kwa mwana JF mwenzetu Cantalisa.
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia...