Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwenye makongamano, warsha, semina na makongamano mbalimbali huwa kuna makamera mani wavamizi. Hupiga picha na mwisho wa shughuli huzisambaza chini na kuziuza. Swali langu ni hili, je unajua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back to Blog Entry | More from this Blogger Why I Cheated on My Husband partner by Woman's Day, on Tue Oct 25, 2011 2:40pm PDT 1849 Comments Post a Comment Read More from This Author » Report...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Kwanza kwanini baadhi ya wanaume wanapendwa sana na dada wenye nia ya dhati lakini wao hawatilii maanani?.Wandugu ukipedwa raha. Naukiona umependwa bila usumbufu kwa maisha ya sasa basi shukuru...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
katika maisha yangu nimeona wasichana wengi ambao kimaisha wanajiheshimu either hawaolewi au wanachelewa kuolewa lakini wengi wahuni ninaowafahamu wengi wanaollewa why this?
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Habarini wanajamvi, Inahitaji moyo wa ujasiri sana kutokeza kwenye jukwaa lililojaa wasomi, wacha Mungu, na watu wenye exposure ya kutosha kuja na mada ya uchawi. Hadi naandika haya sijui am...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Wana jf nimekuja kwenye hili jukwaa naomba mnisaidie,kuna tatizo limenipata kama wiki hivi,kila ninapotakakuchakachuana na shemeji yenu mwanzo jogoo anawika vizuri ila nikianza tu kunanihi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna wakati wanaume hudhani kwamba, wanawake wanaovaa nusu uchi huwa wanafanya hivyo kwa sababu ya kutafuta soko kwa wanaume. Inawezekana kukawa na wale ambao wana sababu hizo, lakini wapo wale...
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Duniani kuna mambo niko lunch moja hapa karibu na sheraton ya mwanyamala dada mmoja anasikika akimwambia mdogo mtu we kama uwezi kumtunza si tutakusaidia na kama uji mbona nimeshamfulia sana mumeo...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tabia ya madada kuacha kucha ndefu bila kupunguza imefikia mahali tuulize kuwa ni kwa kusudi gani hasa. Hivi karibuni nilikuwa safarini toka Tanga wilaya ya Handeni. Kuna dada alipanda kwenye gari...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
katika mahusiano ya kimapenzi, wanaume wanatawaliwa na mcho na wanawake wanatawaliwa na masikio. ndio maana hata katika hali ya kawaida anayeanza kutoa neno ni mwanaume na ina kuwa baada ya kuona...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Mara nyingi msema kweli ni mpenzi wa Mungu leo nimeona niseme hili ambalo kwangu huwa linanikera hata kama wewe sikujui sisemi nawaonea bali nimeona niliweke wazi kuwa TABIA YA WANAWAKE KUVUTA...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Je ni kweli kwamba women hupenda kusmile sana wanapokua na majamaa kuliko wakiwa wenyewe(women)
0 Reactions
1 Replies
857 Views
Natanguliza heshima mbele kwanza!Wanajf naombeni ushauri juu ya mdogo wangu anayesoma chuo jirani na nchi yetu yaani Kenya.Mdogo wangu(MME) anatatizo ambalo nashindwa hata mimi kufahamu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eti wadau mbona, mi huwa naogopa kuanza kuongea na hawa Csterz we2, eb anzeni basi nyie, mi cjui naogopa.
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Ndoa ngumu jamani!! Kuna mjamaa baada ya kuwa baba wa ubatizo, akawa anatumia sana hiyo kofia kwenda nyumbani alipo mtoto kwa nia ya kumsalimia. Kumbe Jamaa alikuwa anakula yule mama wa yule...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Babu ataki mchezo kang'oa vijana wameshindwa!!
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Katka maisha ya mapenz nimeptia vioja ving kias kwamba kuna mambo mengne niksimulia uwa watu wanadhan ni story za ku2nga mfano kuna post nliwah post hapa baadh ya wachangiaj wakadai ni adith za...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Jaman nahitaj galfrind sichagui chochote ni yeye na mapenz ya ukweli.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
kuna jamaa ananilazimisha nikiri nimetembea na mkewe!kila nikikataa haamini na ameniambia nikikiri atanisamehe ila nikiendelea kukataa atanifanyia kitu kibaya!ukweli sijatembea nae.....naombeni...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…