Couple No.1:
Mume: We mwanamke naona umechoka kuishi na mimi! Huniheshimu kabisa siku hizi
Mke: Nakushangaa wewe mwanaume suruali, mume gani hunijali siku hizi!
Couple No. 2: (Mume wa mtu na...
First time nafanya sex nilikuwa na 21 yrs lakini cha ajabu imekua karaha na sio raha tena maana kila ninapo sex na wasichana wamekuwa wakizimia na nimekamatwa na polisi mara 3 mara ya 3 ilikuwa...
1. Kuna familia baba, mama , na watoto wanalala chumba kimoja na hao watoto ni wakubwa miaka hata 10, sasa sijui huwa wanaenda guesthouse.
2. Wengine watoto wa kiume na wakike wanalala kitanda...
Wana jf hebu mnishauri kuna rafiki yangu wakike tunapenda sana kiasi kwamba moyo wangu umetua kwake cjamwambia lkn hana kipingamizi hata nikimwambi tatizo tunalingana umri je inaweza ikawa kikwazo?
Wana JF.
Maisha ni kitendawili usemi huu una maana kubwa sana, kwa nini?
Hakuna binadamu ambaye anajua litakalotokea kesho. Lakini katika maisha yetu ya kila siku hata katika uhusiano ya...
Fanya yafuatayo atarudi ndani ya siku 2
1. Kwa aliye kimbiwa / achwa na mke: Nenda kariakoo nunua vyupi kama 15 vya rangi tofauti, zianike kwenye kamba nje. Kila siku chache na rangi tofauti. Mtu...
Habari wana JF???
Wewe ni baba umeoa mwanamke aitwaye Bahati (Jina ni Mfano tu) na umezaa nae mtoto aitwae Zawadi.
Siku zote una gari yako na mkeo pia anayake ya kuendea ofisini kwake, siku ya...
Wewe ni mke/mume,mwenzi wako anarafiki wa jinsia tofauti wako karibu saaana,yatokea mko wote wa3,mara mwenzi wako anaomba simu ya rafikie wa jinsia tofauti na ku2mia ku2ma sms anakokujua.Je ni...
binamu yangu ana nyumba ambayo anaishi na kupangisha pia. mumewe ni mkali sana hivyo basi watoto wake wa kike uwa hawatoki ovyo na kila mtu pale mtaani ana wasifia kwa tania njema. sasa ana mtoto...
Leo nataka niwape story ya mkasa flani uliyo nikumba kipindi nimemaliza kidato cha sita.
Wakati niko katika kusubiri matokeo ya mtihani wa kidato cha sita nilikuwa sina kazi maalimu hivyo...
Nyie ndoo mnaojua ndoa ni nini. Naomba kuwa uliza jambo moja tuu.
" kitu gani kilikuboa siku zako ulizokuwa honeymoon kutoka kwa mwenzi wako" usiseme hakipo??
Tulimpenda sana, na tulipenda awe sehemu ya familia yetu, nilifurahi wakati ule ambapo ndugu yangu wa damu alipokuja kuniarifu kuwa amekwisha mpa ujauzito ...na wanatarajia kuoana. Hata hivyo...
ndoa nyingi siku hizi hazidumu kwa muda mrefu .Ninavyodhani tatizo lipo kwenye hatua ya uchumba.Swali langu ni hili:Ni mambo gani ya msingi kabisa mtu mme au mke anatakiwa kuyafahamu au...
Nina dem wangu (shori) ambae yuko mbali nami kijiografia na mahusiano yetu yanaendeshwa sana kwa sim, sasa inafikia kipindi inapita siku bila kunipigia wala sms, nikimuuliza kwanini hajapiga...
Nazima Tv, halafu nakwambia kitu!! Picha kwa hisani ya inmagine
Je unadhani wewe ni mwanaume mzuri kitandani? Hapa kuna maswali kwa ajili yako.
Je ni mara nyingi mke wako huwa anakuhitaji kwa...
Inaelezwa kwamba kupuuzwa kwa mila na desturi na maadili ya kidini kumechangia sana kuharibu tabia za vijana ikiwa ni pamoja na mambo ya urafiki, uchumba hadi ndoa. Ndio maana uchumba umegeuzwa...
...pamoja na kupendana saaaaaaana na mke/mume, binafsi nadhani kuna haja ya 'kuungama' kwa mwenza wako katika hatua za awali mfano;
"mwenzangu, pamoja na kukupenda saana mpaka usiku kucha silali...
Nimesikia kwenye vyombo vya habari hasa katika mapitio ya magazeti leo asubuhi kichwa cha habari 'Mbegu za kiume zatumika kwa ushirikina'. Natamani kuifahamu habari hiyo kwa undani kwani inagusa...