Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Couple No.1: Mume: We mwanamke naona umechoka kuishi na mimi! Huniheshimu kabisa siku hizi Mke: Nakushangaa wewe mwanaume suruali, mume gani hunijali siku hizi! Couple No. 2: (Mume wa mtu na...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
First time nafanya sex nilikuwa na 21 yrs lakini cha ajabu imekua karaha na sio raha tena maana kila ninapo sex na wasichana wamekuwa wakizimia na nimekamatwa na polisi mara 3 mara ya 3 ilikuwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
1. Kuna familia baba, mama , na watoto wanalala chumba kimoja na hao watoto ni wakubwa miaka hata 10, sasa sijui huwa wanaenda guesthouse. 2. Wengine watoto wa kiume na wakike wanalala kitanda...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana jf hebu mnishauri kuna rafiki yangu wakike tunapenda sana kiasi kwamba moyo wangu umetua kwake cjamwambia lkn hana kipingamizi hata nikimwambi tatizo tunalingana umri je inaweza ikawa kikwazo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF. Maisha ni kitendawili usemi huu una maana kubwa sana, kwa nini? Hakuna binadamu ambaye anajua litakalotokea kesho. Lakini katika maisha yetu ya kila siku hata katika uhusiano ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ivi mkeo au mchumba wako wa kike akikuuliza hili swali utajibu vipi. " ivi nikifa utaoa mke mwingine"?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Fanya yafuatayo atarudi ndani ya siku 2 1. Kwa aliye kimbiwa / achwa na mke: Nenda kariakoo nunua vyupi kama 15 vya rangi tofauti, zianike kwenye kamba nje. Kila siku chache na rangi tofauti. Mtu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wana JF??? Wewe ni baba umeoa mwanamke aitwaye Bahati (Jina ni Mfano tu) na umezaa nae mtoto aitwae Zawadi. Siku zote una gari yako na mkeo pia anayake ya kuendea ofisini kwake, siku ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wewe ni mke/mume,mwenzi wako anarafiki wa jinsia tofauti wako karibu saaana,yatokea mko wote wa3,mara mwenzi wako anaomba simu ya rafikie wa jinsia tofauti na ku2mia ku2ma sms anakokujua.Je ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kunaathari gani ya kuchelewa kuoa au kuolewa,umri kuanzia miaka35?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
binamu yangu ana nyumba ambayo anaishi na kupangisha pia. mumewe ni mkali sana hivyo basi watoto wake wa kike uwa hawatoki ovyo na kila mtu pale mtaani ana wasifia kwa tania njema. sasa ana mtoto...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Leo nataka niwape story ya mkasa flani uliyo nikumba kipindi nimemaliza kidato cha sita. Wakati niko katika kusubiri matokeo ya mtihani wa kidato cha sita nilikuwa sina kazi maalimu hivyo...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nyie ndoo mnaojua ndoa ni nini. Naomba kuwa uliza jambo moja tuu. " kitu gani kilikuboa siku zako ulizokuwa honeymoon kutoka kwa mwenzi wako" usiseme hakipo??
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Tulimpenda sana, na tulipenda awe sehemu ya familia yetu, nilifurahi wakati ule ambapo ndugu yangu wa damu alipokuja kuniarifu kuwa amekwisha mpa ujauzito ...na wanatarajia kuoana. Hata hivyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
ndoa nyingi siku hizi hazidumu kwa muda mrefu .Ninavyodhani tatizo lipo kwenye hatua ya uchumba.Swali langu ni hili:Ni mambo gani ya msingi kabisa mtu mme au mke anatakiwa kuyafahamu au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina dem wangu (shori) ambae yuko mbali nami kijiografia na mahusiano yetu yanaendeshwa sana kwa sim, sasa inafikia kipindi inapita siku bila kunipigia wala sms, nikimuuliza kwanini hajapiga...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Nazima Tv, halafu nakwambia kitu!! Picha kwa hisani ya inmagine Je unadhani wewe ni mwanaume mzuri kitandani? Hapa kuna maswali kwa ajili yako. Je ni mara nyingi mke wako huwa anakuhitaji kwa...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Inaelezwa kwamba kupuuzwa kwa mila na desturi na maadili ya kidini kumechangia sana kuharibu tabia za vijana ikiwa ni pamoja na mambo ya urafiki, uchumba hadi ndoa. Ndio maana uchumba umegeuzwa...
1 Reactions
50 Replies
4K Views
...pamoja na kupendana saaaaaaana na mke/mume, binafsi nadhani kuna haja ya 'kuungama' kwa mwenza wako katika hatua za awali mfano; "mwenzangu, pamoja na kukupenda saana mpaka usiku kucha silali...
4 Reactions
57 Replies
5K Views
Nimesikia kwenye vyombo vya habari hasa katika mapitio ya magazeti leo asubuhi kichwa cha habari 'Mbegu za kiume zatumika kwa ushirikina'. Natamani kuifahamu habari hiyo kwa undani kwani inagusa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…