Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna ripotii nimeangalia jana na kuona kuwa kumbe katika Tanzania watu wengi walioambukizwa HIV ni wale walioko kwenye mahusiano ya kudumu (ndoa). HIvi ni kwanini hili na wanandoa wanaweza vipi...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Juzi kuna rafiki yangu mmoja kanipa stori kwamba wana rafiki yao mmoja wa kike huwa anakula kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa boyfriend wake kiasi cha huyo dada kuwa na alama kama amewahi kuugua...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Wadau habar zenu!natumaini wazima!katika pitapita yangu leo nimevutiwa na ujumbe ufuatavyo!kama ulishawahi kupostiwa hapa JF niwieni radhi! Hakika Mugu ni mkubwa anaweza kila kitu chini ya jua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hivi kwanini napotongoza mwanamke napata shida kumfukuzia halafu nikishampata,nikilala nae nimpe hela wakati raha tunapata wote?kwanini?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna best(msichana) rafiki pia ni ndugu kwangu, alikuwa na mpenz toka yeye akiwa kidto cha tano na uyo mkaka anafanya kazi sehemu fulani hivi, yule mkaka alikuwa msaada mkubwa kwa uyo binti ile...
0 Reactions
83 Replies
6K Views
Kuna dada etu kaolewa dom lakini tangu kaolewa miaka 3 iliyopita amekuwa akichezea kichapo sana tokakwa mumewe ambaye ni mlevi na mkorofi sana ameshamvunja mkono dada mara mbili kwa kipigo.. Nipo...
3 Reactions
148 Replies
10K Views
So many women want to be married, yet for all the wrong reasons. They say things like, "I want somebody to make me happy," or "I need help with these bills," or, "I'm just tired of being alone!"...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Everyone already knows that they probably won’t have a romantic long lasting relationship with a woman who is a stri**er, for example. But besides this more obvious type of women, there are a lot...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama huyo ndiyo mke wako na kwa bahati na wewe umekuwa mnene na unakitambi 1. mnaweza kuenjoy tendo la ngono? 2. Mtakuwa mnafanyaje? 3. Nahisi magogoni (Ikulu) unaweza usikuone
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hivi ni kwa nini akina dada na mama ndo wanalalamika hasa kuhusu kusalitiwa, lakini wao hawajioni. Mi nshafanya uchunguzi utakuta boy akikutana na dem hata km hamjui anahapa kuwa atampata na kweli...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Take action to day!!
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Sizungumzii kwamba ulikuwa unampenda zamani halafu baadaye mapenzi yakachuja. Sizungumzii kwamba ulikuwa unampenda mtu kiukweli kabisa na ukajitoa jumla jumla katika taasisi takatifu ya ndoa na...
3 Reactions
17 Replies
7K Views
Wapendwa, Salaam poleni na majukumu, tatizo langu ni kwamba nimeachana na mume wangu takribani miaka sita sasa, mtoto wangu wa kawnza ndio alimaliza darasa la saba mwaka huu, katika kuhangaika...
0 Reactions
174 Replies
12K Views
Aslm waungwana....Bwana Yesu asifiwe....Mamboz Habari za masiku tele....wapinzani hongereni kwa ushindi Igunga. Naomba kukaribia tena baada ya muda mrefu natumai wana Jf mpo wote na Mola...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani ushauri wenu ni muhimu., Ni rafiki yangu ambaye tumemaliza naye chuo, katika kurupukushani za kutafuta kazi amegundua kuwa kuna boss mmoja ambaye alimhaidi dada yake kuwa atamtafutia...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Siku ya Ijumaa tarehe 7/10/2011 mke wangu alijifungua mtoto wa kiume na tulikubaliana kuwa yeye ndo amchagulie jina mtoto. Sasa leo usiku narudi home toka kwenye mishemishe zangu, mke wangu...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Anakufa mtu unayemjua tangu akiwa mzima wa afya hadi alipougua na kufariki. Kabla hujajua amekufa kwa maradhi gani, unaanza kupita ukinong'ona kwamba, amekufa kwa Ukimwi. Inawezekana ni kweli...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Eti wakuu,ukimvalisha m2 pete ya uchumba ndo ina maansha nin,na je unaweza kumvka m2 pete thn ucmuoe??
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kawaida najongea ktk hili jamvi ila mwenzenu nina matatizo sana yaani kila demu ninae mpata hatukai muda mrefu ananimwaga,kama kuhonga naonga,kukalua ndo usiseme,halafu ni hb kinoma sasa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari Familia yangu ya MMU na wana JF woote... Hopefully you and your Loved ones woote ni wazima and have spent the Weekend to perfection.... Leo nimeona tuweke maswala ya Wapenzi pempeni na...
6 Reactions
71 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…