Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Unafanya kazi ofisi ya selikali, bahati mbaya, mko wengi mno ikatakiwa kwenye ofisi/chumba chako mkawekewa meza mbili zinazotazamana, wewe ni mwanaume na mwingine ni mwanamke au wewe ni mwanamke...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Imekuwa ni kawaida kwa wanawake wengi kuomba salio kwa wapenzi wao, ajabu ni kwamba huwa hampigi simu bali mmezoea kubeep, tena hata ukitumiwa salio bado utabeep Asubuhi tu umetuma 5,000 Jioni...
1 Reactions
122 Replies
8K Views
Habar zenu! Wan JF Kuna Mambo humu watu wanaleta na hata mtu ukifikiria unasema kweli huyu anahitaji msaada! lakini kuna mambo Mengine huwa najiuliza hvi mtu amekaa kwanza akafikiria jinsi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mwanaume kumpiga mpenzi/mke wake ni kitendo cha udhaifu na sihafiki nacho kabisa....
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Zamani wakati nilipokuwa mtoto, ilikuwa ni aibu kubwa mtu kuambiwa amefumaniwa. Kama ni vijijini, wapiga ngoma wa kijijjini wakiongozwa na Manju wao walitunga nyimbo kuzungumzia jambo hilo...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Tushirikiane kumshauri mtu huyu jamani: Naomba ndugu muniombee niko kwenye majaribu makubwa hadi inafika wakati najisikia sina hata nguvu ya kuomba. Mara kwa mara huwa najiuliza kama kweli Mungu...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana...
0 Reactions
105 Replies
7K Views
Najiuliza ninani mwalimu wangu wa mapenzi jibu sina na simjui!ajabu nakutana na mwanamke najipanga kaama naenda vitani nikikutana naye kwajinsi navyo mshushia misitari hata mimi ninashanga je...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
hili swali linahitaji majibu yenu wana MMU
0 Reactions
61 Replies
15K Views
Wana JF hivi hili suala la kuasili mtoto (nadhani ndicho kiswahili chake? i stand to be corrected) au adoption kwa Kiingereza kwa hapa kwetu hali ikoje? sheria/sera (kama zipo) zinasemaje? Je...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jaman wana jf kuna kabinti 2napendana sana lkn hanijui wala cmjui but 2najuana kwa cm 2 na yeye anaonekana ananipenda coz haipiti cku bila kunipigia cm na wakati mwingine hunipigia cm na huni2mia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
What causes divorce? Seems like a complicated question, but in reality, it is quite simple. Researchers like Drs. Scott Stanley, Howard Markman, and John Gottman have all discovered bascially...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CLEAVING AND LEAVING - Marriage Message #167 Some spouses set themselves up to leave their marriages because they never properly "cleaved" to their spouse in the first place. The Bible says in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yaani ukisikia stori za kinamama wanavyokwenda kwa Kalumanzila utachoka kabisa.Kusema kweli kinababa sijui huwa tunalishwa uchafu kiasi gani.Wengine nasikia wanawapikia waume zao kwa maji...
1 Reactions
68 Replies
8K Views
"uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu wenyewe hutegemea uhai wa mtu mwengine" mimi nani?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Swali linanitatiza, jawabu natafutia, Nimebaki ninawaza, nani atanipatia, Sina wa kunijuza, bora kuwaulizia, Mtu akila ndotoni, huamka ameshiba? Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji a.k.a...
1 Reactions
30 Replies
18K Views
HOME INTERNAL MEMO FROM: FATHER TO: ALL DE PENDANTS AND RELATIVES CC: MOTHER DATE: TODAY ECONOMIC SITUATION AND GROUND RULES Due to the current economic...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Labda leo niwaulize wana JF wenzangu..................... 1. Matusi ni nini? 2. Nani alikuambia kwamba kuna matusi, au ni nani alikufundisha matusi? 3. Matusi yana athari yoyote? 5. Zipi hizo...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
4 HAPPY MARRIAGE. 1.never both be angry at the same time 2.never yell at each other unless the house is on fire 3.if one of you has 2 win an argument,let it be your mate 4.if you have 2 criticize...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina rafiki yangu,anapenda kwenda uvunguni hadi aibu.Amemaliza masomo yake UDOM mwaka huu. Kwakua maisha ya mtaani ni magumu,akaomba tempo kufundisha katika shule moja inaitwa brain trust mjini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…