Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani mapenzi nikitu muhimu na mapenzi nikitu chakushikwa kama chupa yenye madini ya nyukilia!!Namapenzi nikitu kigumu kuyahandle hivyo vyote nikuonyesha mapenzi nikilakitu kwenye maisha...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kufuatia utafiti uliofanywa East, Southern and Western Africa, imegundulika kuwa wanawake wenye 'maamuzi ya mwisho' juu ya sex ndani ya ndoa zao hupata huduma hiyo less than wale ambao waumezao...
2 Reactions
101 Replies
9K Views
Sijui lengo la vyandarua hivi vya JK ni nini zaidi ya kutukinga na malaria,.... Naona kama vina punguza nguvu za kiume ingawa kwenye tangazo lao wana kana kata kata. Toka nimeanza kutumia...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Jamani nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini wanaume huwa tunapenda sana, kila jambo baya linalohusiana na mapenzi, kuwazushia wanawake kuwa ndio chimbuko la matatizo. Kwa mfano utakuta mtu anafanya...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna majamaa wawili ambao wanafahamiana kwa muda mrefu tangu wakiwa masomoni, kwa bahati nzuri au mbaya wamejikuta kila mmoja anatarajia kufunga ndoa kwasababu zisizozuilika mwezi wa kumi na moja...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
LONDON, Sept 30 (Reuters) - The wife of an MP was found guilty of burglary on Friday after being caught on camera breaking into his lover's home and stealing her kitten. Christine Hemming, 53...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Jamani niko serias natafuta private consultant ambae anaweza kunishauri. Nataka nianze maisha yangu upyaa.nina mambo mengi kichwani nahisi kichwa kinataka kuburst. Aweze kunishauri katika nyanja...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
[expired]
0 Reactions
32 Replies
3K Views
tafadhali msaada wako unaweza kuinusuru roho ya dada huyu kuna shost wangu anampenda sana mume wa mtu kinoma yani na kabla ya kuingia ktk mahusiano na huyo jamaa aliambiwa ka jamaa anamke na mtoto...
1 Reactions
156 Replies
9K Views
Katika baadhi ya maeneo ya uchagani hasa Rombo, kuoa suria ina maana kuishi na mwanamke bila ndoa. Sasa nakumbuka staili iliyokuwa inatumika mabayo kuna jamaa yangu ananiambia anataka akaipraktiz...
3 Reactions
37 Replies
8K Views
kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama 1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
Imebainika kwamba wanandoa ambao wakikasirishwa wanatoa hasira zao, wanaishi zaidi kuliko wale ambao hukaa kimya lakini wanaumia kwa ndani. Kuna wanandoa ambao wanaitwa wapole, ambao wala sio...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu mmoja alifunga ndoa zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Hata hivyo, hivi majuzi alinidokeza kwamba tangu afunge ndoa na mke wake alijisikia furaha ya ndoa katika wiki ya kwanza tu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani naomba mnisaidie, nawezaje kugundua kama mke wangu ama mpenzi wangu ametoka kufanya mapenzi leo leo kabla mimi sijakutana naye. Hebu nipeni mbinu waungwana nitagunduaje jambo hilo? Mfano...
0 Reactions
24 Replies
10K Views
mwanamke anatakiwa aweje(tabia)ili aweze kuishi vizuri na mwanaume anayetarajia kuwa nae kwenye mahusiano?
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Duniani kuna mambo, mkasa huo; DUBAI (AlArabiya.net) A 50-year-old Saudi woman asked for divorce after her husband lifted her face veil while she was sleeping, local press reported. For...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
What would you do if you woke up one day to the news that one of your children didnt belong to you? Not many men imagine this can happen to them until that fateful day when they discover the...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
sema chochote
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Ndugu wana JF, kuna hiki kitu ambacho mimi huwa nashindwa kuelewa, ni kwanini mdada anapokuwa mcheshi wakaka/wanaume huwa wanachukulia kuwa she is easy to get. Utakuta wakaka wengine wanamsema...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Mimi niko nje ya nyumbani(TZ) niko ugenini, kazini kwangu kuna dada wa miaka kati ya 24-30 ni mfanyakazi mwenzangu na ni mke wa mfanyakazi mwenzetu, ananitaka kwa nguvu ametumia email ameona...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Back
Top Bottom