Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au...
Jamaa kazoea kuwarusha mabinti wa watu ukuta sasa naye anawaota hao warembo nao wakimrusha ukuta kwa kutumia dildo..........................lol...........................anadhani ni popo...
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi ...
Mke wa rafiki yangu anataka anipe dawa ya kuacha pombe nimuwekee mumewe yaani rafiki yangu kwenye pombe.ananibembeleza hadi imeshakua karaha.kisa akilewa anamsumbua na hatimizi malengo sababu ya...
hadi sasa hivi hawa wasichana wa kileo sijawaelewa lengo gani.mimi napenda niwe na mwanamke mmoja mwaminifu.lakini asilimia kubwa ambao nimewatongoza hawataki kuwa kwenye uhusiano.wenyewe...
Kanidokeza kwamba huwa yeye akitaka kunanihii hataki kumask ile tree yake kwa sababu inakua kama ubuntu.hvyo ili yeye aenjoy lazima iwe kitu pure leather na yuko tayari ile flash yake ipate...
Matatizo ya ndugu au wazazi kuingilia ndoa ni suala linalotajwa sana katika kuvunjika kwa ndoa nyingi. Wengi wetu tunajua kwamba kwa mila na desturi zetu(ambazo ni potofu hata hivyo) ndoa inakuwa...
Natumaini wote mu wazima,
Tafadhali naomba mnisaidie kweli nahitaji ushauri.
Mimi ni msichana, Nina mpenzi wangu tumeanza nae uhusiano wa kimapenzi mwanzo wa mwaka huu na kabla ya hapo tulikuwa...
Nina gf wangu kila cku ninapowasiliana nae ananicctizia nisije NIKAMWACHA.sa kutokana na kulirudia hlo neno mara kwa mara,me naanza kuhic ananizuga 2 ili nimuone ananipenda sana.je hzi fikra zangu...
Ningeomba kusisitiza tena kwamba hupaswi kuwa mtumwa wa mwanamke au mwanaume. Leo hii kuna wanawake na wanaume ambao maisha yao ya ndoa yamekuwa ni jela zao wenyewe. Wanaume na wanawake hawa...
Imefikia wakati wazazi lazma tujue mahusiano ya watoto wetu. Si wakati wa kuwafanya watoto kujificha. Mahusiano si mabaya ila mabaya ni matendo yanayofanyika ndani ya mahusiano.
Ni bora...
Habar ya wakti huu wanajamvi,
naombeni mnipe njia za kumsahau mtu mloachana ukiwa bado unampenda coz naumia kupita kiasi jamani najitahidi kila namna nimsahau lakini wapi tuna mwezi na nusu sasa...
Wadau, habari za jioni?
Naombeni ushauri wenu katika hii ishu kuna binamu yangu mtoto wa shangazi yangu anataka kunifanyia uhuni kwa Girlfriend wangu.
Nina Mpenzi wangu ambaye tumeanza kuwa na...
Happiness is what u perceive..Have ur own checklist and once a substantial part of it is fulfilled then you are Happy!... Be happy my friend, cause no matter how long we wait, the World is Not...
Wanajf natumai mkop poa,kama sijakosea nadhani kuna wazazi humu na natumai itasaidia japo kidogo...samahani kama ntakua nimekosea sehemu ya kupost........
Can you relate? If so, here are eight...