Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

SIRI ZA MAISHA (SECRETS OF LIFE) by Kahabi Isangula in Sex & Relationships Baada ya 'kudownload' nakala yangu na kulipia vidola kadhaa kwa kutumia CRDB Visa kadi yangu. Nimeridhika kutoa fedha...
1 Reactions
2 Replies
9K Views
Imetokea huko Longido, mkoani Arusha. Watoto wa kiume wakimsaidia mama yao aliamua kumfuata baba yao ambaye alikuwa nyumba ndogo kwenda kumfumania baba yao. Kwa bahati mbaya mzee akachoropoka na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nina mpenzi ambaye nimedumu naye kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu hivi sasa. Lakini toka mwezi wa tatu nimetokea kupoteza ham ya mapenz juu yake. Yeye anaingia mwaka wa 3 sauti nami naingia mwaka...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
There are three (3) types of women according to men's perspective. 1. HOUSEWIVES Advantages * She stays home and takes care of kids and household chores. * She is always good in bed...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Hivi kwa nini kila inapotokea tafrani kidogo huwa mnapenda kuwaadhibu wenzi wenu kwa kuwanyima ile shughuli pevu? Yakitokea mabishano kidogo basi mdomo utavutwa mchana kutwa na ikifika usiku...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hii ni research nimefanya kwa watu ninaowajua na nisiowajua kuna wanaume wengi waliokwenye ndoa wameshindwa kuweka sawa mambo yao kwenye ndoa lakini wakitoka kwa nyumba ndogo kuna ambao walikuwa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Demu wangu mpya hatakaki tufanye mapenzi eti hadi tufunge,ndoa,nikamuuliza kama ni bikira,aksema ni mipango ya Mungu dah hapa sijielewi,au ndivyo illivyo?
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wana JF, Last week kipindi cha Jahazi - Clouds FM walitangaza au walisema kuwa wanandoa wanao tembea nje ya ndoa zao kwa wanaume ni 70%(hutoka nje ya ndoa) na kwa wanawake ni 60%(hutoka nje ya...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
kuna jamaa mmoja majuzi alikuta pakiti ya kondomu katika pochi ya mke wake ambayo ilikuwa imebaki na kondomu moja, kwa maana hiyo pengine zilikuwa zimetumika mbili kwani kwa kawaida huwa zinakaa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Do you remember those days,when you couldn't even eat before you saw or talked to your love? Yes,i do. My first love was when i was back in secondary school. I was young,but am sure that is...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Najua ni kweli kuwa kwa % nyingi mwanamke ameumbwa kimatamanio mbele ya macho ya wanaume hivyo kutongozwa ni lazima bt kwa leo Napenda kujua kama ni jambo la busara kwa wanawake/mpenzi/mke...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Hivi leo si ajabu kumsikia mwanamke akikueleza kuwa amedumu kwenye ndoa/uhusiano miaka kenda, lakini hajawahi kufika kwenye kilele cha huba, anatamani kumsaliti mwenzi wake ili kupata raha...
2 Reactions
21 Replies
29K Views
shemeji wa kike wa baba yaNGU mdogo anani hitaji kimapenzi,tena ana niambia mimi na yeye si ndugu kabisa,zaidi baba yangu mdogo kumuoa dada yake.Na akaonggeza wazazi wake yeye waliooana ndugu...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Jamani wana JF maji yamenifika shingoni, Ni mume wangu nampenda na kumuheshimu sana ila kuna mambo yanayonikera,mda mwingine ananilazimisha nikae naye kwenye baa mpaka usiku sana nikimshauri kuwa...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Ndugu zangu naomba msaada katika maisha yangu nimedanganywa mara nyingi lakini mara tatu nimefanywa mjinga hadi najiona sifai 1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha 2.nilipata...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Una shosti wako mpenzi; wote mmeolewa na mnaishi vizuri na waume zenu! Kutokana na ukaribu wenu, waume zenu wamejikuta na ukaribu fulani. Umepata safari ya kikazi nje ya mji, na umepata room...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Nilimfahamu mwaka 2000,wakati huo wote tulikua waajiriwa wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta,kwa sasa ni mfanyabiashara binafsi na ni rafiki yangu,aliniambia tatizo lake kama ifuatavyo;ana...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Hivi hapa MMU mpo na Mkeo/Mumeo?je mnajitambua mnajijua?kila mmoja wenu anajua ID ya mwenzie?Je ndani simnajimwaya?kwani hapa ni somo tosha!Au kila mmoja kimyakimya?Maana kama mnajuana ID lazima...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wapendwa wanaJF Ni matumaini yangu wote mu wazima. Nimewamiss sana wote. Kwa mara nyingine tena ninawaomba tushee pamoja baadhi ya kumbukumbu (memories) ambazo tulishawahi kuzipitia kwenye...
13 Reactions
491 Replies
26K Views
Jamani i have been seeing this kwenye maeneo mengi na kwa wanawake wengi, hawapendi kutaja umri wao kabisa hasa wale ambao tayari kaumri kao kamevuka miaka 25, why?
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…