Ni kweli kwa mtazamo wangu na utafiti wangu waafrika wengi wanapenda sana kufikiria masuala ya mapenzi zaidi kuliko masuala ya maendeleo zaidi,mfano watu wengi wakiwa na mawasiliano ya jinsia...
Nisaidieni jamani kwani naweza kuwehuka. Ni wiki ya pili sasa tangu nianze field ktk shule moja huku Kilimanjaro. Cku 3 za mwanzo ckuona shida kwani ckupata usumbufu ila kuanzia jtatu nimeanza...
Jamani me mpya hapa ila nimeshangazwa na large number of coments ktk post tofauti tofauti wanawasema wamachame hasa wadada vibaya! Mume kapigwa vibao na mkewe...mmachame, mke hachangii matumizi ya...
Salamu wanawake Mliomo humu JF!
Nina swali moja kwenu.
Je unapotongozwa na mwanaume mgeni kwako ni vitu gani unapenda kujua kuhusu yeye lakini unaogopa kumuuliza directly
(siku alipokutongoza)...
Katika harakati za kujipanga na kujiandaandaa,mwanaume kukaa kwa dadako aliyeolewa, wengi hawapendi na jamii inamchukulia kama "he is not man enough"yuko tayari kuishi hata kwa rafiki kuliko kwa...
Ni wiki Kadhaa Tangu mpenzi wangu anipige Kibuti katika mazingira ya kutatanisha.
I just met another woman whoa I have been dating for the last two weeks now.
Nimekuwa nawasiliana nae mara...
"Mwanaume kila kitu unachomwambia yeye ni sawa tu,na hata ukimkosea haonyeshi kukerwa na kosa_aaah mwanaume gani wa hivyo bana,mwanaume ni lazima achukue nafasi yake bwana"....siyo maneno yangu,ni...
Jamani wa jamii, naombeni ushauri wa bure
Mke wangu kanicheat kwa wanaume mbalimbali, nilipomwuliza mara ya kwanza ilkataa na kutaka kuapa through bible, baadaye baada ya kumbana na kuleta...
Wandugu nimeobserve ki2 kimoja nadhani mtakubaliana na mimi. Lately heshima kwa wababa imeshuka sana tena hata kuliko kwa vijana wa 25-35 kutokana na tabia za kifataki zilizokithiri. Siku hizi...
Hivi imeshawai kutokea msichana mmoja akatembea au kuzaa na mtu na kaka ake. Au x-wife wa mtu akaja kuzaa na mdogo wa aliyekuwa mume wake?
AU
Imeshawai kutokea kaka mmoja akatembea au...
Jamani yamenikuta mwenzenu leo baada ya kumjibu rafiki wa boyfriend nimefanya kazi mpk kiuno kinauma!eti naulizwa nimemjibu hvyo ili anisaidieje??punguzeni wivu jama khaa!
Kuna thread iliwah kuletwa humu,bahat mbaya niliipoteza.kimsing inafanana na hii nataka kuwauliza..kuna rafiki yangu ana grfnd wake muda sasa wako nae.na ana mpango wa kumuoa kabisa kwa...
Ni kweli watoto wanalelewa pasipo baba yao huwa anti-social?
Soma hapa chini
Without dads, kids grow up to become anti-social
A new study has shown that fathers play a crucial in the...
Wana JF heshima kwenu wote, nimekuwa nikifuatalia visa na mada mbalimbali humu kwa muda na kuvutiwa sana. Hivi kibongo bongo haiwezekani kuwa na partner wa opposite sex ambae hakuna relationship...
kama ni msichana ukiwa una date na mwanaume mdogo unajifeel unconfortable kwenye iyo relationship hata kama anakupenda, jamii nayo midomo juu
ukidate na mwanaume wa rika lako mwanaume anaringa...
Asalaam, kuna mshkaji ana dem wake wameishi takribani miaka 3 na wamebahatika kupata mtoto. Kutokana na maelezo ya mshkaji ni kwamba dem ndio alipenda kuzaa wakati mchizi bado hajaamua, basi msela...