Kwa faida ya wewe mwenyewe, watoto wako, mwenzio na familia yako kwa ujumla. Inashauriwa kuwa inapotokea wanandoa wametengana kwa mmoja wao kusafiri kwa kipindi cha angalau miezi mitatu, then...
Pale ambapo mtu ana taarifa ya mapema kwamba , mumewe au mkewe anazini na Fulani, kisha akajiandaa kwa silaha na kuwavizia wahusika halafua akawafumania na kumuua mmoja au wote, sheria inambana...
Kuna baadhi ya mabinti ukijitusu kumega (kufanya nae ngono) kuna mawili
1. Kama unafanya kazi lazima upoteze gazi
2. Upoteze uhai
Inshort utaandamwa na mikosi mpaka hapo utakapo amua kuachana...
Nawasalimu wote kwa miyo wa dhati. Nina jambo ambalo linanisumbua sana nashare na ninyi mpate kunipa ushauri pls. Mimi ni binti wa makamo, nimeshamaliza chuo na nina kazi tayari. Kuna kaka mmoja...
Mu wazima wanajf wenzangu. Nimekuwa naona watu wakibishana eti ni wakati gani wa kula malavilavi wakati wa usiku. Je, ni wakati wa kulala baada ya chakula, usiku wa manane au alfajiri na kibaridi...
Siku moja mume aliwasili nyumbani akiwa na habari ya kusikitisha kwa mke wake ...!
Mume: Mke wangu, nimepokea simu, kuwa mama amefariki dunia. Tafadhali jitayarishe ili tupitie na sokoni ili...
kuna usemi wa kiingereza usemao ASK YOUR HEART BEFORE U TELL HIM/HER GOODBYE usemi huu unanipa wakati mgumu sana katika kufanya maamuzi magumu.Naombeni ushauri juu ya hili lifuatalo:mwaka 2005...
Wana jf i xpect to get ur advice though am a new member to this site nina gf wangu nampenda na tumeaidiana kuoana badae na kaniambia ye n virgin so suala la sex mpaka tuoane nina wasiwasi naye...
Ni kweli kubakwa ni udhalilishwaji kijinsia na tuendelee kuutupia madongo
lakini ni ukweli pia kila inapowezekana mwathirika mtarajiwa pambana kujinusuru na suluba...
mimi nina mume wangu niko nae leo miaka sita na nimezaa nae watoto watatu lakini tatizo ni kwamba mume ananitesa sana ananipiga hata nikiwa na mimba ya miezi 8,na pili ni malaya sana anaenda nje...
Kuna dada tuliachana vibaya miaka mingi iliopita na muda huo akataka eti tuendelee kuwa marafiki mimi nikampotezea.Sasa kuna siku moja moja tunagongana mitaani na hunilaumu sana eti kwanini...
Wanajamvi,
As usual... katika dimbwi kubwa la mawazo, nimejikuta nashangaa sana kwa kushindwa kuelewa, kati ya emotional abuse and physical abuse kipi kinauma zaidi
Nimekua nikisikia akina dada...
Kuna dada nafahamiana naye vyema sana. Baada ya kuachana na mvulana wake akajiapiza kuwa hataki tena mahusiano na mwanaume yeyote na akajiingiza kwenye vitendo vya kiusagaji kiasi kwamba wazazi...
Utafiti uliofanywa nchini Uingereza umeonesha kwamba wa wanawake hutumia saa 5 kwa umbea, udaku na mambo kama hayo ndani ya siku 1.
Soure: tbc, uchambuzi wa magazeti.
My take: Kama hali ipo...
Kate Moss, George Clooney, Natalie Portman or Cristiano Ronaldo may be many people's ideas of dream dates, but pioneering research that combines economics with biology suggests they may not be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.