Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna mdada ambaye nimetokea kumpenda sana, at first hakuonekana kuniaccept akanishauri kusaka girl friend. Niliufuata ushauri wake na kweli nakabahatika kumnasa mdada mwingine. Cha ajabu huyu...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
The friendship we have is so rare to find, We hate to see each other in a bind, We have made each other laugh so hard we have cried, We feel each others pain if we are hurt inside, We always can...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Mara nyingi kinamama mnatusimanga kuwa wanaume ni dhaifu, hatuna uaminifu kwenye kwenye mapenzi in short mnasema we are born cheaters,ngojeni sasa niwaeleze sababu: Wakati ninyi wanawake mmeumbwa...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Do you remember Ocol? He said, What is Africa To me? Blackness, Deep, deep fathomless Darkness; Africa, Idle giant Basking in the sun, Sleeping, snoring, Twitching in dreams...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Mambo ni aje wana JF!! Hatimaye nimerejea tena jamvini. Sio siri huu mwezi naona dada zangu wengi wanavaa mavazi mazuri na ya kupendeza!! Mavazi yenye heshima mbele za watu na yanayositri maungo...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Wanajamvi natumaini mu wazima wa Afya!<br /> Nimekuwa nikifiria sana kwa muda mrefu na nikaona ni vizuri kushirikiana mawazo,<br /> Ndugu yangu MKESHAJI AMEWEKA CLEAR MAWAZO yangu kwa thread...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Rest. Take time to refresh your body, mind and spirit. Throughout the day, find times to stop and breathe. Stretch your body. Get up and move. Plan longer get-aways for total renewal. You...
1 Reactions
1 Replies
824 Views
Habari zenu mabibi na mabwana? kweli hapa jamvini kunavitu vingi sana nimevipata kutokana na michango yenu kwenye topic au maswali mbalimbali ninayo uliza sasa kunakitu kimoja kinanichanganya sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Waungwana naomba msaada wenu, naishi na virusi vya ukimwi yapata miaka 7 sasa,mwenzi wangu ametangulia mbele za haki miaka 4 iliyopita. Nahitaji kuowa tena, nitampataje atakaye nikubali na hali yangu?
4 Reactions
22 Replies
5K Views
mmejiandaje kukabiliana na tatizo hili? tusaidiane jamani maana mnh! we acha tu!
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Mwenzenu nimekaa na kutathimini historia ya mapenzi yangu tangu nilivyoanza mahusiano ya kimapenzi, nikagundua kuwa wanaume ambo niliwapenda sana hatukuweza kudumu kwa mda mrefu, ila ambao...
0 Reactions
79 Replies
9K Views
Mimi nafanya kazi taasisi moja ya serikali. Ktk ofisi yetu niko mm na dada mmoja sijaoa na yeye hajaolewa na tumetokea kupendana sana, binti kwa kwel anatabia nzur kwa ujumla yake mpaka kunawatu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
tulikua tunawasiliana kabla ya kuonana na baadaye tukapanga kukutana na kuishia kuwa wapenzi,ni mwaka miwili sasa niko nae. mwanzoni sikuona tatizo,tatizo lilianza pale yeye mwenyewe alipanza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mpaka sasa niko na laptop, mchumba kalala, ni kesi kwa kesho asubuhi, nisaidie mawazo!
0 Reactions
35 Replies
3K Views
kama nimesomeka,agree/Disagree with reasons the topic above.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wanajf!kweli cjui huyu wifi yangu ana matatizo au vp maana tangu aolewe ni mwaka mmoja tu umepita lakini ye anachowaza ni lini atapata mimba maana keshatuambia ana mimba karibu mara tatu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wasalaam ndugu wapendwa.. Nina mpenzi wangu kwa zaidi ya miaka mitatu,tulifahamiana wakat huo yeye akiwa bado chuoni,nilimpenda kweli na yeye nafikir alinipenda..tumeendelea kwa...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Mwanzon tulikuw tukiend had gol 6, kw ss n bao 1 tu mpak kesh yke ila yy anakuw hoi, lkn baadae mm mnara unakuw full ila nakuw cn ham y kuendelea nay, badal yke huw nataman kupat ki2 kingin lkn...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Na Luqman Maloto Tupo kwenye Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Leo ni chungu cha 13. Jumatatu tutakuwa tunazungumzia habari ya kuugawa mwezi. Namshukuru Mungu kwamba tunaendelea kukutana kwa njia ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom