Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habarini Wana Jf Hili imebidi nililete hapa kulichangia kuona kama kuna ukweli wowote! Leo nikiwa lunch sehemu flani nzuri sana nilikuwa nimeketi karibu na group (nafikiri ni watu wanafanya kazi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
jamani mwenzenu natafuta mchumba.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Toa sababu kuntu kutetea jibu lako .
0 Reactions
29 Replies
3K Views
The link below raised a heated debate among my colleagues. Is this benefiting the girls or the selfish men? British girls undergo horror of genital mutilation despite tough laws | Society | The...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndg wana JF Najua wengi mna hasira kali na mgomo wa wakubwa wa mafuta. Lakini naomba mchukue dakika zenu chache mnishauri. Kwa kawaida nikitenda dhambi huwa naandikaga mahala ili kuepusha...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
K
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Sasa tukiangalia baadhi ya topic zetu mbalimbali na attitudes zote kuhusiana mahusiano kuna uwezekano taarifa hii ya Unicef ina ukweli. Tanzania study shows one in three girls sexually abused...
5 Reactions
60 Replies
6K Views
Kila mtu anajua nini haswa kilichomvutia/mpendeza hata kutaka/kukubali kuo/kuolewa au hata kua na mpenzi aliye nae.Hata wale ambao hawana wapenzi wana idea ya nini kinachoweza kumvutia kwa...
16 Reactions
245 Replies
14K Views
habari zenu! Ninae jamaa yangu anae friend wa kike ambae amekua akishauriana nae kuhusu maisha. Lakin amekua akilalamika kwa tabia zake huyo dada...amekua akimlazimisha mara kwa mara ampe pesa za...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
1. UKITAKA Kumjua Mume mwenzio, mwache MKeo!!
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Kuna jamaa yangu amekuwa rafiki wa karibu na binti ambaye ana asili ya Wameru! Urafiki wao hauna uhusiano wa kimapenzi, ila kutokana na ukaribu walionao anajisikia kuingia katika mapenzi na huyu...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndoa nyingi sana hivi sasa zinafungishwa na maajenti wa shetan...kuna wengi wamekuwa wakitayaruki jinsi gan mwenza anavyobadilika kwenye ndoa siku hadi siku kuna waliofikia kuitana majina ya...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Jamani hivi ingekuwa vip kama wanaweke nao wangepewa uwezo wa kutoa talaka kwa waume zao? cos unakuta mwanaume anamyanyasa sana mke wake na kila akiomba talaka yake hapewi wakati yeye mwanaume...
0 Reactions
1 Replies
962 Views
Hebu tujadili kisa hiki: Umekwenda mahali Fulani(ofisini au nyumbani kwa mtu), Ukakaribishwa vizuri, Umesha zoea kukuta watu wengi, Bahati mbaya siku hiyo ukamkuta Jamaa huyu peke yake ambae...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimesikitika leo baada ya kumwona Mwanamziki ajulikanae kwa Jina la JAFFARAIH anaendesha gari ya Shyrose banj Toyota Herrier na anaingia kwake leo tarehe 6/8/2011!Kwajinsi alivyo mwanika kajamaa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
What is the purpose of your mariage?Nini lengo na matarajio ya mahusiano uliyoanzisha?Wengine hudai wametoka kwao wameacha chakula,vitanda nk ila hakikuwepo kitu kimoja tu(sex)je hiki ndo...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Kubebana! Kwa nini jamii nyingi za vijana wa leo huchukua uamuzi wa kuanza kuishi pamoja kinyumba kabla ya kuoana rasmi na ndipo kuanza maisha?Wengi hutoa sababu nyingi mojawapo ni kuokoa fedha...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie...
1 Reactions
170 Replies
11K Views
Wote sisi, kama binadamu huwa tunashikwa na hasira kutoka muda fulani hadi mwingine, lakini kushikwa na hasira na kuziacha hasira hizo ziwaumize wale tunaodai kuwa tunawapenda ni jambo tofauti...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Baada ya furaha za mwanzo za maisha ya pamoja kuna baadhi ya wanaume huanza kunyemelea nyumba zao wenyewe. Mtu toka anatoka kazini anapiga mahesabu ya jinsi gani ataingia nyumbani bila kusababisha...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…